Yanga yupo kwenye kundi gumu ila fixture inaweza kumbeba

Yanga yupo kwenye kundi gumu ila fixture inaweza kumbeba

Yanga Champions league bado mwaka jana alipata bahati ya kucheza na timu nyingi zilizokuwa hazina ubora mechi inayo fuata atapigwa na Al Ahyl na kinachomuangusha Yanga anacheza bila malengo wakati hii ni Champions League ligi ya kikubwa asipokuwa makini mechi ijayo ndio inaweza kumaliza kundi mapema maaana Al Ahyl anaweza shinda na Wababe wa Uto wanaweza shinda shughuli ikaisha hapo walivyokuwa wanaona Simba anaishia robo wakazani ni rahisi na bado mtapigwa sana Champions league unaenda ugenini kucheza na timu za warabu huku unajishaua badala ya kucheza kwa malengo unawachukulia poa watakukanda sana usipobadilika kima wee
Kolo wizard fufuka uje kutetea hoja yako.
 
Utopolo kama kweli walikua na uhitaji wa kusonga mbele game ya jana ilikua ya kuforce sale itoshe kusema kwenye hili kindi utopolo atakua mtu wa 3
Vitoto vya mudi Kwa SASA vimechanganyikiwa. Hii ni Yanga,kila goti litapigwa.
 
Yanga Champions league bado mwaka jana alipata bahati ya kucheza na timu nyingi zilizokuwa hazina ubora mechi inayo fuata atapigwa na Al Ahyl na kinachomuangusha Yanga anacheza bila malengo wakati hii ni Champions League ligi ya kikubwa asipokuwa makini mechi ijayo ndio inaweza kumaliza kundi mapema maaana Al Ahyl anaweza shinda na Wababe wa Uto wanaweza shinda shughuli ikaisha hapo walivyokuwa wanaona Simba anaishia robo wakazani ni rahisi na bado mtapigwa sana Champions league unaenda ugenini kucheza na timu za warabu huku unajishaua badala ya kucheza kwa malengo unawachukulia poa watakukanda sana usipobadilika kima wee
Sawa
 
Yanga Champions league bado mwaka jana alipata bahati ya kucheza na timu nyingi zilizokuwa hazina ubora mechi inayo fuata atapigwa na Al Ahyl na kinachomuangusha Yanga anacheza bila malengo wakati hii ni Champions League ligi ya kikubwa asipokuwa makini mechi ijayo ndio inaweza kumaliza kundi mapema maaana Al Ahyl anaweza shinda na Wababe wa Uto wanaweza shinda shughuli ikaisha hapo walivyokuwa wanaona Simba anaishia robo wakazani ni rahisi na bado mtapigwa sana Champions league unaenda ugenini kucheza na timu za warabu huku unajishaua badala ya kucheza kwa malengo unawachukulia poa watakukanda sana usipobadilika kima wee
Sasa mbona Yanga alipita kwenye kundi lake πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Back
Top Bottom