Gucci gang
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 2,682
- 5,277
πππ ah atlist sina uzi wa kihasibuπππππππππππ
Wangenikaanga kama wanavykaanga shabiki mwenzangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππ ah atlist sina uzi wa kihasibuπππππππππππ
πππ ah atlist sina uzi wa kihasibu
Wangenikaanga kama wanavykaanga shabiki mwenzangu
vipi inanyesha au bado?Shirikisho na club bingwa tofauti shehe ngoja inyeshe tuone panapovuja
Kolo wizard fufuka uje kutetea hoja yako.Yanga Champions league bado mwaka jana alipata bahati ya kucheza na timu nyingi zilizokuwa hazina ubora mechi inayo fuata atapigwa na Al Ahyl na kinachomuangusha Yanga anacheza bila malengo wakati hii ni Champions League ligi ya kikubwa asipokuwa makini mechi ijayo ndio inaweza kumaliza kundi mapema maaana Al Ahyl anaweza shinda na Wababe wa Uto wanaweza shinda shughuli ikaisha hapo walivyokuwa wanaona Simba anaishia robo wakazani ni rahisi na bado mtapigwa sana Champions league unaenda ugenini kucheza na timu za warabu huku unajishaua badala ya kucheza kwa malengo unawachukulia poa watakukanda sana usipobadilika kima wee
Rudi hapa wewe Kolo utetee huu upuuzi wako.CRB ana misimu minne mfululizo anaingia quaterfinal vipi utaweza kumchomoa Al Ahly mkapenya quarters na CRB ?
Vitoto vya mudi Kwa SASA vimechanganyikiwa. Hii ni Yanga,kila goti litapigwa.Utopolo kama kweli walikua na uhitaji wa kusonga mbele game ya jana ilikua ya kuforce sale itoshe kusema kwenye hili kindi utopolo atakua mtu wa 3
Endelea kuwakatia viuno. Shinda mechi acheni kuwabembeleza.Simba hajawahi mnyanyasa Alhly ila Simba anamheshimu, akicheza naye anacheza kwa adabu na tahadhari.
Watoto WA mudi hawakukuelewa ujue.Kitu msichokijua kuhusu Yanga anaweza pata matokeo hata huko Misri. Msituchukulie poa kisa tumebomolewa tatu Algeria.
Jogoo jike.. (Mtetea)[emoji1787]Yanga hatoboi hilo grp....
SawaYanga Champions league bado mwaka jana alipata bahati ya kucheza na timu nyingi zilizokuwa hazina ubora mechi inayo fuata atapigwa na Al Ahyl na kinachomuangusha Yanga anacheza bila malengo wakati hii ni Champions League ligi ya kikubwa asipokuwa makini mechi ijayo ndio inaweza kumaliza kundi mapema maaana Al Ahyl anaweza shinda na Wababe wa Uto wanaweza shinda shughuli ikaisha hapo walivyokuwa wanaona Simba anaishia robo wakazani ni rahisi na bado mtapigwa sana Champions league unaenda ugenini kucheza na timu za warabu huku unajishaua badala ya kucheza kwa malengo unawachukulia poa watakukanda sana usipobadilika kima wee
Masikini halafu akapata ni kelele na mitusi tu.Endelea kuwakatia viuno. Shinda mechi acheni kuwabembeleza.
Amina. Majini tu...Asante
Sasa mbona Yanga alipita kwenye kundi lake ππYanga Champions league bado mwaka jana alipata bahati ya kucheza na timu nyingi zilizokuwa hazina ubora mechi inayo fuata atapigwa na Al Ahyl na kinachomuangusha Yanga anacheza bila malengo wakati hii ni Champions League ligi ya kikubwa asipokuwa makini mechi ijayo ndio inaweza kumaliza kundi mapema maaana Al Ahyl anaweza shinda na Wababe wa Uto wanaweza shinda shughuli ikaisha hapo walivyokuwa wanaona Simba anaishia robo wakazani ni rahisi na bado mtapigwa sana Champions league unaenda ugenini kucheza na timu za warabu huku unajishaua badala ya kucheza kwa malengo unawachukulia poa watakukanda sana usipobadilika kima wee
Sawa na jamaa akaenda mbele na bado ubingwa mkakosa wa ligiMlisema Simba inaishia robo na mkaibatiza mwakarobo kwenye Klabu Bingwa
Sasa ninyi Uto nendeni hadi fainali kama Shirikisho,maana mmezoe kukariri.
Nawashauri:Uto ijikaze la sivyo itaishia ilipoanzia.