Sultan MackJoe Khalifa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2022
- 6,782
- 14,148
njaa kaka hata wakitoa ndege mia bado kuna watu watashindwa kwenda kilipia Visa ni pesa sikwambii gharama za hotel.Ni kweli kwa nchi zetu hizi sjui serikali itatoa ndege ngapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
njaa kaka hata wakitoa ndege mia bado kuna watu watashindwa kwenda kilipia Visa ni pesa sikwambii gharama za hotel.Ni kweli kwa nchi zetu hizi sjui serikali itatoa ndege ngapi
kabisa.Lagos mbali hapo tu rwanda,kenya,burundi,congo,au uganda tu.
Kweli mkuu, jamaa hajui mpira ni gharama na ni biashara piaYeah mashabiki awakwenda kwasababu marumo ni kama stand united ya shinyanga icheze na al ahly hapa bongo unazani wabongo wataenda kucheki ata ikiwa bure[emoji1787][emoji1787]
Ona huyu, kipindi kile baadhi ya timu ziliwaomba wachezaji wao wapunguze mishahara hali ilikuwa ni teter na hapo ni club kama Barcelona vp hizi zetu za ilala boma fc😀Mashabiki sio wanaocheza mpira. Kipinsi cha CORONA timu zilikuwa zinacheza bila mashabiki na maisha yaliendelea.
Mimi sijasema nayataka ila kusema muda haukufidiwa pia siyo sahihi sana. Nimekuwa nawaita waarabu wahuni kwenye mambo ya mpira kitambo sana.Hayo unayozungumza ndio maana watu hawayataki.
Iwe kweli au la, tatizo lipo na imeonekana wazi jumamosiNina MASHAKA na source ya Hiyo habari.
Nimejaribu KUMUULIZA Kitenge amejibu heeeee si unajua Tena.......
SIDHANI KAMA NI HABARI YA KWELI.
Hivi huwa mnasema uongo kumfurahisha nani?
Ushahidi
Kwahiyo hizi match 2 ni kwa ajili ya mashabikiii? Basi wanayo haki hao mashabiki kupuliza moshi na kupiga mafatakiiii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Motsepe aliwai kuifafanua hii kwamba ikiwa final mechi moja itapigwa uwanja wa neutral mashabiki wengi awana msuli wa pesa,Africa njaa waya mkali mashabiki watashindwa gharama za kukwea pipa,gharama za hoteli n,k
mfano final iwe Yanga Vs Usm Alger alafu mbungi ikapigwe Lagos mashabiki wangapi wataenda Lagos Nigeria kucheki game!
Kila mtu ashinde kwaooo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Lakini mpira ilisimama vipindi vyote viwili. Ulivyosimama kipindi cha kwanza, muda uliopotea ulifidiwa kabla ya mapumziko. Dakika 5 sijui 6 zilizoongezwa kipindi cha pili ni fair kwa muda uliopotea kipindi cha pili kwa sababu nadhani haukusimama kwa zaidi ya dakika 2. Kama unashindwa kufunga kwa dakika 90 toka goli la kwanza, kulilia dakika 3 za nyongeza ni kutafuta kisingizio tu.
Kawaida mashindano haya, tegemea timu ya nyumbani kupata favour fulani. Hata Yanga game ya kwanza alipewa dakika 10 za nyongeza. Je alistahili? Na hili nililisema mapema msitegemee nyongeza za namna hiyo kule nikaonekana sina akili.
View attachment 2646558Ujumbe wa nyota wa zamani wa Barcelona na Man City, Yaya TOURE juu ya uwepo wa fainali mbili kwenye michuano ya Afrika...
Hata mlie machozi ya damu.Bingwa ni USMA.
Sema Simba vs WydadMechi iwe bure uwanja utajaa popote pale hata Kwa Mkapa ukileta al-ahly Vs Wydad uwanja unajaa...
habari ya kweli inafafanaje, wapumbavu km wewe ndio mnafurahia huo upuuzi. Hovyo kabisa, ulitegemea source ya itoke wapi. Hata km ni nani angeandika ni ujumbe murua uliokuja kwa wakati sahihiNina MASHAKA na source ya Hiyo habari.
Nimejaribu KUMUULIZA Kitenge amejibu heeeee si unajua Tena.......
SIDHANI KAMA NI HABARI YA KWELI.