mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,586
- 11,227
On my side......
Nafikiri ifikie hatua africa tukubaliane kuwa huu ndio mchezo wetu. Mashabiki wa soka hususani Tanzania wasifananishe soka la africa na ulaya.
Wajapo waarabu ni muhimu kuwalaza kwenye mabangaloo morogoro au Tanga isiwe mbali sana na dar. Wale ugali kwa kabeji.. uwanjani waletwe kwa gari kisha kila shabiki na wachezaji asisahau bisibisi ama nondo ndogo ndogo.. teknolojia ya mafataki ni muhimu kwetu hasa hasa timu inapo lemewa. Tukifika hatua hii hakika soka la Africa litakuwa bora na la kupendeza hata msumbiji watafika robo fainali
Nafikiri ifikie hatua africa tukubaliane kuwa huu ndio mchezo wetu. Mashabiki wa soka hususani Tanzania wasifananishe soka la africa na ulaya.
Wajapo waarabu ni muhimu kuwalaza kwenye mabangaloo morogoro au Tanga isiwe mbali sana na dar. Wale ugali kwa kabeji.. uwanjani waletwe kwa gari kisha kila shabiki na wachezaji asisahau bisibisi ama nondo ndogo ndogo.. teknolojia ya mafataki ni muhimu kwetu hasa hasa timu inapo lemewa. Tukifika hatua hii hakika soka la Africa litakuwa bora na la kupendeza hata msumbiji watafika robo fainali