Yaya Toure akosoa uwepo wa Fainali 2 kwenye Michuano ya Afrika

Yaya Toure akosoa uwepo wa Fainali 2 kwenye Michuano ya Afrika

unasema kama umeshindwa kufunga dakika 90 tatu ndio utaweza? Ka angalie mechi ya KRC Genk Vs Royal Antwerp uone dakika 1 tu imenyima watu ubingwa, Real Madrid Vs Atletico Madrid final UCL, Manchester United Vs Bayern Munich UCL, kwenye mpira dakika moja ni kubwa sana na ina badili kila kitu
Mgeni huyo, kaanza jana kufatilia mpira. Yeye ni tamthilia tu
 
Lakini mpira ilisimama vipindi vyote viwili. Ulivyosimama kipindi cha kwanza, muda uliopotea ulifidiwa kabla ya mapumziko. Dakika 5 sijui 6 zilizoongezwa kipindi cha pili ni fair kwa muda uliopotea kipindi cha pili kwa sababu nadhani haukusimama kwa zaidi ya dakika 2. Kama unashindwa kufunga kwa dakika 90 toka goli la kwanza, kulilia dakika 3 za nyongeza ni kutafuta kisingizio tu.

Kawaida mashindano haya, tegemea timu ya nyumbani kupata favour fulani. Hata Yanga game ya kwanza alipewa dakika 10 za nyongeza. Je alistahili? Na hili nililisema mapema msitegemee nyongeza za namna hiyo kule nikaonekana sina akili
Waliokuona hauna akili walikuwa sahihi sana,na Mimi naungana nao
 
Motsepe aliwai kuifafanua hii kwamba ikiwa final mechi moja itapigwa uwanja wa neutral mashabiki wengi awana msuli wa pesa,Africa njaa waya mkali mashabiki watashindwa gharama za kukwea pipa,gharama za hoteli n,k

mfano final iwe Yanga Vs Usm Alger alafu mbungi ikapigwe Lagos mashabiki wangapi wataenda Lagos Nigeria kucheki game!
SIYO KWELI...

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Ujumbe wa nyota wa zamani wa Barcelona na Man City, Yaya TOURE juu ya uwepo wa fainali mbili kwenye michuano ya Afrika.

Wakati umefika kwa mashabiki wa soka wa nchi zetu barani Afrika kudai HAKI YA MICHEZO kwa kuitaka CAF kuwa na mechi moja pekee ya fainali kwenye uwanja wa usiofungamana na upande wowote (neutral) au fainali mbili kwenye Uwanja wa neutral.

Ni aibu kwa bara letu kuona unyonge wa mchezo bora pendwa wa fainali ya soka duniani (ukitazamwa na mamilioni ya watu duniani) kushuhudia udhalilishaji wa timu ya ugenini kukumbana na mashambulizi ya kuvizia kwa fataki nyakati za usiku wakiwa wamepumzika katika uwanja wao wakiwa hotelini.

Kana kwamba haitoshi, wakati wa mchezo tulishuhudia (vijana waokota mipira (ball boys) wakirusha mipira mingi kwa wakati mmoja ili kupoteza muda kwa ajili ya timu za nyumbani, zaidi ya fataki mbili nzito zilipigwa kiasi cha kupelekea mechi kusimamishwa (mara tatu) ili kuruhusu moshi huo kutoweka, yote haya yalifanywa mbele ya rais wa CAF na ulimwengu mzima wa mashabiki wa soka wakitazama.

Hii sio mara ya kwanza barani Afrika Basi aibu kwenu CAF & FIFA kwa kujua haya yote yatatokea na bila kufanya lolote ila kukaa tu na kutazama onyesho la kupendeza la uharamu na kumtawaza mpiga picha na kombe la ubingwa akiota na kufikiria kuwa hii ingekoma?

Natumai FIFA ingefanya soka kuwa mchezo mzuri tena.View attachment 2646419

Chanzo: Kitenge TV
Utopolo mliupiga mwingi ingawaje haikua zari lenu


Punguzen kuweweseka
 
Tatizo huku kwetu mechi bila mashabiki bado sana.

Hatuna u big fish wa kuwa na mashabiki nje ya milaka yetu kiasi cha kujihakikishia upate sapoti sehemu yeyote.
Mashabiki sio wanaocheza mpira. Kipinsi cha CORONA timu zilikuwa zinacheza bila mashabiki na maisha yaliendelea.
 
Mechi iwe bure uwanja utajaa popote pale hata Kwa Mkapa ukileta al-ahly Vs Wydad uwanja unajaa...
Lengo la mashindano ni kuzalisha pesa sio kufanya bonanza, unless wewe ulupie ticket zote ili watu waingie bure.

Bado sioni sababu ya kuzikataa pesa ili kuridhisha baadhi ya raia wanaokosa makombe maana kila mtu anapata nafasi ya kucheza kwake.

Cha maana ni kuondoa goli la ugenini ili game ziwe moto muda wote.
 
Km sio mfuatiliaji wa mpira unaweza kuhisi hii sheria ya goli la ugenini ni yanga pekee imewaathiri. Ukamkufuru mungu na kuwaonea huruma yanga kwa yaliyowakuta ukihisi hiyo sheria ilitungwa hapo uwanjani baada ya mechi kuisha.
 
Motsepe aliwai kuifafanua hii kwamba ikiwa final mechi moja itapigwa uwanja wa neutral mashabiki wengi awana msuli wa pesa,Africa njaa waya mkali mashabiki watashindwa gharama za kukwea pipa,gharama za hoteli n,k

mfano final iwe Yanga Vs Usm Alger alafu mbungi ikapigwe Lagos mashabiki wangapi wataenda Lagos Nigeria kucheki game!
Lagos mbali hapo tu rwanda,kenya,burundi,congo,au uganda tu.
 
Huu uzi umetawaliwa na watu wenye machungu ya kupoteza fainali hivyo watu wanatoa maoni bila reasoning.


Yani mtu anadai eti fainali iwe bure, na wakati huohuo bado anayataka mabilion ya CAF. Sasa hayo yatakuwa mashindano au bonanza?

Point ya msingi ni kufuta goli la ugenini, hilo la fainali mbili bado ni sahihi kwa aina ya walala hoi waliopo Africa.
 
unasema kama umeshindwa kufunga dakika 90 tatu ndio utaweza? Ka angalie mechi ya KRC Genk Vs Royal Antwerp uone dakika 1 tu imenyima watu ubingwa, Real Madrid Vs Atletico Madrid final UCL, Manchester United Vs Bayern Munich UCL, kwenye mpira dakika moja ni kubwa sana na ina badili kila kitu
Kwahiyo ile game mliipoteza kwasababu ya dakika? Ile game hamukuwa na uwezo wa kufunga tena, plan yenu ya kushambulia ilikuwa imebanwa tayari ndiomaana ilifikia hatua kocha akaamua kujaribu bahati kwa kufanya sub holela.

Bila ile penalty sidhani kama kungekuwa na lolote la maana.
 
Back
Top Bottom