Yanga wangetoa malalamiko CAF mbungi irudiweYanga wamechukua hatua gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanga wangetoa malalamiko CAF mbungi irudiweYanga wamechukua hatua gani?
Mgeni huyo, kaanza jana kufatilia mpira. Yeye ni tamthilia tuunasema kama umeshindwa kufunga dakika 90 tatu ndio utaweza? Ka angalie mechi ya KRC Genk Vs Royal Antwerp uone dakika 1 tu imenyima watu ubingwa, Real Madrid Vs Atletico Madrid final UCL, Manchester United Vs Bayern Munich UCL, kwenye mpira dakika moja ni kubwa sana na ina badili kila kitu
Waliokuona hauna akili walikuwa sahihi sana,na Mimi naungana naoLakini mpira ilisimama vipindi vyote viwili. Ulivyosimama kipindi cha kwanza, muda uliopotea ulifidiwa kabla ya mapumziko. Dakika 5 sijui 6 zilizoongezwa kipindi cha pili ni fair kwa muda uliopotea kipindi cha pili kwa sababu nadhani haukusimama kwa zaidi ya dakika 2. Kama unashindwa kufunga kwa dakika 90 toka goli la kwanza, kulilia dakika 3 za nyongeza ni kutafuta kisingizio tu.
Kawaida mashindano haya, tegemea timu ya nyumbani kupata favour fulani. Hata Yanga game ya kwanza alipewa dakika 10 za nyongeza. Je alistahili? Na hili nililisema mapema msitegemee nyongeza za namna hiyo kule nikaonekana sina akili
SIYO KWELI...Motsepe aliwai kuifafanua hii kwamba ikiwa final mechi moja itapigwa uwanja wa neutral mashabiki wengi awana msuli wa pesa,Africa njaa waya mkali mashabiki watashindwa gharama za kukwea pipa,gharama za hoteli n,k
mfano final iwe Yanga Vs Usm Alger alafu mbungi ikapigwe Lagos mashabiki wangapi wataenda Lagos Nigeria kucheki game!
kumbe dakika za nyongeza zina umuhimuPicha linaanza muda wa nyongeza ni dakika 6 wakati mpira ulisimama zaidi ya hizo dakika.
Me hata ligi ya bongo nimeacha rasmi ni ujinga na uhuni na upangaji matokeo tu.Hakuna ligi ni ujingaFainali ma mechi mawili ni uhuni tu Mi Naacha kuangalia Haya mamipira ya Afrika ni ujinga Mtupu.
Hivi huwa mnasema uongo kumfurahisha nani?Uwanja ulijaa...
Utopolo mliupiga mwingi ingawaje haikua zari lenuUjumbe wa nyota wa zamani wa Barcelona na Man City, Yaya TOURE juu ya uwepo wa fainali mbili kwenye michuano ya Afrika.
Wakati umefika kwa mashabiki wa soka wa nchi zetu barani Afrika kudai HAKI YA MICHEZO kwa kuitaka CAF kuwa na mechi moja pekee ya fainali kwenye uwanja wa usiofungamana na upande wowote (neutral) au fainali mbili kwenye Uwanja wa neutral.
Ni aibu kwa bara letu kuona unyonge wa mchezo bora pendwa wa fainali ya soka duniani (ukitazamwa na mamilioni ya watu duniani) kushuhudia udhalilishaji wa timu ya ugenini kukumbana na mashambulizi ya kuvizia kwa fataki nyakati za usiku wakiwa wamepumzika katika uwanja wao wakiwa hotelini.
Kana kwamba haitoshi, wakati wa mchezo tulishuhudia (vijana waokota mipira (ball boys) wakirusha mipira mingi kwa wakati mmoja ili kupoteza muda kwa ajili ya timu za nyumbani, zaidi ya fataki mbili nzito zilipigwa kiasi cha kupelekea mechi kusimamishwa (mara tatu) ili kuruhusu moshi huo kutoweka, yote haya yalifanywa mbele ya rais wa CAF na ulimwengu mzima wa mashabiki wa soka wakitazama.
Hii sio mara ya kwanza barani Afrika Basi aibu kwenu CAF & FIFA kwa kujua haya yote yatatokea na bila kufanya lolote ila kukaa tu na kutazama onyesho la kupendeza la uharamu na kumtawaza mpiga picha na kombe la ubingwa akiota na kufikiria kuwa hii ingekoma?
Natumai FIFA ingefanya soka kuwa mchezo mzuri tena.View attachment 2646419
Chanzo: Kitenge TV
Mashabiki sio wanaocheza mpira. Kipinsi cha CORONA timu zilikuwa zinacheza bila mashabiki na maisha yaliendelea.Tatizo huku kwetu mechi bila mashabiki bado sana.
Hatuna u big fish wa kuwa na mashabiki nje ya milaka yetu kiasi cha kujihakikishia upate sapoti sehemu yeyote.
Mevhi iwe bure ndio iliyowapoyeza yanga. Kwanza final inakuwaje bure. Hayo mambo ya wana siasa. Final mtu anunue ticket yake kama kweli anapenda ballMechi iwe bure uwanja utajaa popote pale hata Kwa Mkapa ukileta al-ahly Vs Wydad uwanja unajaa...
Lengo la mashindano ni kuzalisha pesa sio kufanya bonanza, unless wewe ulupie ticket zote ili watu waingie bure.Mechi iwe bure uwanja utajaa popote pale hata Kwa Mkapa ukileta al-ahly Vs Wydad uwanja unajaa...
Acha tu.Fainali ma mechi mawili ni uhuni tu Mi Naacha kuangalia Haya mamipira ya Afrika ni ujinga Mtupu.
Lagos mbali hapo tu rwanda,kenya,burundi,congo,au uganda tu.Motsepe aliwai kuifafanua hii kwamba ikiwa final mechi moja itapigwa uwanja wa neutral mashabiki wengi awana msuli wa pesa,Africa njaa waya mkali mashabiki watashindwa gharama za kukwea pipa,gharama za hoteli n,k
mfano final iwe Yanga Vs Usm Alger alafu mbungi ikapigwe Lagos mashabiki wangapi wataenda Lagos Nigeria kucheki game!
Kwahiyo ile game mliipoteza kwasababu ya dakika? Ile game hamukuwa na uwezo wa kufunga tena, plan yenu ya kushambulia ilikuwa imebanwa tayari ndiomaana ilifikia hatua kocha akaamua kujaribu bahati kwa kufanya sub holela.unasema kama umeshindwa kufunga dakika 90 tatu ndio utaweza? Ka angalie mechi ya KRC Genk Vs Royal Antwerp uone dakika 1 tu imenyima watu ubingwa, Real Madrid Vs Atletico Madrid final UCL, Manchester United Vs Bayern Munich UCL, kwenye mpira dakika moja ni kubwa sana na ina badili kila kitu