Yaya Toure akosoa uwepo wa Fainali 2 kwenye Michuano ya Afrika

On my side......
Nafikiri ifikie hatua africa tukubaliane kuwa huu ndio mchezo wetu. Mashabiki wa soka hususani Tanzania wasifananishe soka la africa na ulaya.
Wajapo waarabu ni muhimu kuwalaza kwenye mabangaloo morogoro au Tanga isiwe mbali sana na dar. Wale ugali kwa kabeji.. uwanjani waletwe kwa gari kisha kila shabiki na wachezaji asisahau bisibisi ama nondo ndogo ndogo.. teknolojia ya mafataki ni muhimu kwetu hasa hasa timu inapo lemewa. Tukifika hatua hii hakika soka la Africa litakuwa bora na la kupendeza hata msumbiji watafika robo fainali
 
zero shot on target FC siwezi kuongea na wewe
 
Me hata ligi ya bongo nimeacha rasmi ni ujinga na uhuni na upangaji matokeo tu.Hakuna ligi ni ujinga
kabsa yani ni Ligi za kitoto sana yan watu wanauza mechi had mashabki tunaon kabsa, kiukwel mi naach kuangalia haya mashudu ya Afrika acha nibaki na Liverpool na Napoli Tu.
 
Hata ingekuwa fainali moja shughuli ilishaisha kwa mkapa.2-1.
 
Zibakie mbili tu ili kila timu ifaidi 'home advantage'.
 
Utopolo wahed , kuingia fainali moja tuu ya kombe la loosers na kupoteza kizembe kabisa kutokana na makosa ya kiafrica wanataka kuipangia CAF sheria ya fainali

Last season fainali ilikua mechi moja kati ya mabingwa Waydad dhidi ya AlAhly pale Morroco

Fainali ilipoisha msimu huu wakaona warudi tuu kwenye fainali mbili ( maoni ya ma Giant wa Africa) na wao wanaona ni sawa tuu

Sasa ninyi wala mihogo baada ya kufungwa mnatafuta kuchaka cha kujifichia
 
CAF walifanya hivyo msimu wa 2020, 2021 na 2022 lakini waliona viwanja vilikuwa havipati mashabiki.

Kumbuka logistics za kusafiri kwa mashabiki katika nchi nyingi za Africa ni changamoto sana. Kufika West Africa na North Africa lazima uende Asia kwanza ndiyo Urudi Africa hata katika nchi za COSAFA lazima ufike South Africa kwanza ndiyo uweze kufikia nchi hizo zingine.

Kingine travel documents kwa Africa bado sana kulinganisha na nchi za Europe ambapo wako kwenye EU hakuna mahitaji ya Visa na mambo mengine.
 
Ilitakiwa vikifanyika vitendo vya makusudi kama tulivyoshuhudia wakifanyiwa, waliofanyiwa vitimbi wapewe ushindi papo hapo kabla hata ya nechi kuchezwa au kumalizika.
Mnataka ushindi wa mezani ?
 
Mama Samia atatoa ndege mbili.
 
Sawa mchambuzi JEMEDARI wetu, tumekusikia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…