>>>>>>>>
Kila mtu atabeba msalaba wake mwenyewe mkuuTulianza na wasemaji wa Hammas, tukaja Hezbollah, sasa ni Yemen.
Siku zake zinahesabika!Wanaukumbi.
Yemen warned the settlers that Tel Aviv has been designated as an unsafe area and will be targeted by the Yemeni Armed Forces, they didn’t listen🤷🏻♂️
=========================
Yemen iliwaonya walowezi hao kwamba Tel Aviv imeteuliwa kama eneo lisilo salama na lingelengwa na Wanajeshi wa Yemen, hawakusikiliza
View: https://x.com/suppressednws/status/1870296538016297191?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
😇🙄😜
View: https://x.com/suppressednws/status/1870289726118212007?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Siku zake zinahesabika!
Muda utasema.
Kujificha Kwake Iran haitomsaidia!
Tunaomba baadae msianze kilio.Wanaukumbi.
Yemen warned the settlers that Tel Aviv has been designated as an unsafe area and will be targeted by the Yemeni Armed Forces, they didn’t listen🤷🏻♂️
=========================
Yemen iliwaonya walowezi hao kwamba Tel Aviv imeteuliwa kama eneo lisilo salama na lingelengwa na Wanajeshi wa Yemen, hawakusikiliza
View: https://x.com/suppressednws/status/1870296538016297191?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
View: https://x.com/suppressednws/status/1870289726118212007?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Yaani sijui tatizo tatizo ni ni? Au ndivyo wanavyofundishwa hivyo misikitin?Tulianza na wasemaji wa Hammas, tukaja Hezbollah, sasa ni Yemen.
Hiii ngoma sio poa kweli zayuni atatoboa kwa Myemen kitu kama icho akipo kwaa washaanza kukimbia Israel huuu mwaka sijuu lkn uko twendako Marekani na washilika watajuta kutaka Ardhi kibabe.
Yemen Hana cha kupoteza .mwenye chakupoteza ni Israel kwanza usalama .uwekezaji. Na uchumi. Israeli atrusha ndege tu lakin hiyo vita itaendelea kumnyomya kila sikuIdf sio wajinga mtakacho kipata msije na zile kauli tu
Ndio icho alichofanya Iran kaitoa vita Lebanon baada ya kuona IDF inapigana na majengo ya Beirut Iran akaona isiwe tabu kuku wangu sio lazima kumsubilia nyumban napiga mawe ukouko alipo kitu Live Bwaaaaaaaa akuna aja ya kusubilia siku3 zije picha!!! Unaambiwa watu wanatafutana kwenye vifusi.Yemen Hana cha kupoteza .mwenye chakupoteza ni Israel kwanza usalama .uwekezaji. Na uchumi. Israeli atrusha ndege tu lakin hiyo vita itaendelea kumnyomya kila siku
Haujawahi kudhulumiwa ndo maanaSema mwarabu ana roho ngumu sana,kwa Yale yalitokea Gaza na rebanon,mi nikajua hakuna wa kuendeleza vita kwa sasa labda badae sana