Yemen iliwaonya kwamba Tel Aviv imeteuliwa kama eneo lisilo salama kabisa

Yemen iliwaonya kwamba Tel Aviv imeteuliwa kama eneo lisilo salama kabisa

Nakuelewa sana mkuu, madhara na hatua walizo zifanya Houthi wala sio jambo la mjadara, linajulikana. Mwaka jana nilikua nafanyia kazi taasisi fulani ya nje ya nchi na imekua inaagiza vitu kadhaa overseas. Vitu kutoka China vilikua vinafika salama, vitu kutoka Ulaya through Suez canal imekua shida kubwa kwasababu ya Houth, jamaa wamekua wanateka meli nk, baadhi ya meli ziliazimia kupita kupitia bahari ya Atlantic to South Africa then wanakuja bahari ya Hindi. So madhara ya Houth sio jambo la mjadara, linajulikana na ni kweli kwamba Iran ndio amekua ana finance kila kitu kwao; well kwa mazingira ya Iran na wasaidizi wake unadhani bado ana jeuri hiyo? Russia sidhani kama yupo interested with them anymore, Syria ndio hiyo, kabaki Iran in his own, China kigeu get, hatabiriki. So usiitegemee Iran katika hili, uchumi wake umeyumba sana
Mkuu Iran ushirika wake na Russia sio chanzo cha yeye kuwa tishio.
Iran tangu 1970s ilikua tishio kabla hata uhusiano baina ya Russia na wao haujakomaa.
Iran ni nchi isiyotabirika mkuu.
Tupo hapa tutaona.
 
Nyie mizwazwa ndio mlivo akili ndogo lkn unajiona naww mjuaji ukitoka apo unaenda kuuziwa udongo !!! Kwani kunatofauti gani kati ya Iran na iyo Israel Iran aina Waziri mkuu lkn ina Rais ambae ndio mtendaji na ina kiongozi mkuu uyu sio mtendaji lkn Rais anakuwa mdogo kwake kuna baadhi ya nyakati. Tu Nipe ww tofaut apo Israel kuna Waziri mkuu ambae nae ndio mtendaji lkn pia kuna Rais ambae nae sio mtendaji lkn kuna wakati uyu Rais anakuwa mkubwa wa Waziri mkuu sasa tofaut ipo wapi!!!!
Angalia duties za ayatollah halafu utuambie Rais ana kazi gani hapo?

The duties designated for the rahbar in the constitution are broadly defined, allowing significant room for the rahbar to intervene in political affairs, maneuver the armed forces, and make appointments that determine the makeup of the government. The powers delineated in Article 110 include:

  1. determining the political direction of the government (in consultation with an advisory committee);
  2. overseeing the correct implementation of the general policies of the government;
  3. calling referenda;
  4. commanding the armed forces;
  5. declaring war, peace, and the mobilization of armed forces;
  6. appointing and dismissing:
    • six of the twelve jurists of the Council of Guardians;
    • the head of the judiciary;
    • the head of the state broadcasting agency;
    • the chief of the general staff;
    • the commander in chief of the Islamic Revolutionary Guard Corps (IRGC);
    • the highest commanders of the armed forces and security bodies;
  7. facilitating relations between the legislative, executive, and judicial branches;
  8. resolving issues in governance that cannot be settled through ordinary means;
  9. approving the appointment of the president after the presidential election;
  10. dismissing the president after a judicial conviction or legislative vote of no confidence;
  11. pardoning or commuting sentences upon recommendation of the head of the judiciary.

Ukishindwa kutafsiri sema....
Fananisha na Rais wa israel

(a)The President of the State -

(1)shall sign every Law, other than a Law relating to its powers;

(2)shall take action to achiever the formation of a Government and shall receive the resignation of the Government in accordance with Law;

(3)shall receive from the Government a report on its meetings;

(4)shall accredit the diplomatic representatives of the State, shall receive the credentials of diplomatic representatives sent to Israel by foreign states, shall empower the consular representatives of the State and shall confirm the appointments of consular representatives sent to Israel by foreign states;

(5)shall sign such conventions with foreign states as have been ratified by the Knesset;

(6)shall carry out every function assigned to him by Law in connection with the appointment and removal from office of judges and other office-holder's.

(b)The President of the State shall have power to pardon offenders and to lighten penalties by the reduction or commutation thereof.

(c)The President of the State shall carry out every other function and have every other power assigned to him by Law.

Sasa nani mungu mtu Kati ya hao wawili?​

 
Zayuni wa wa ukala umechafukwa.upo ndugu Telaviv imepigwa tena juma3 kuakia juma4 ni moto tu adi tena vitu Live sio mipasho yenu ohh Iran kapigwa Iran kapigwa akuna ushahidi wowote na watu wote waliona Anga la Iran lilivozuiya ilo shambulizi. Lkn ndio ivyo sasa mmeamua kulpiga nyinyi Iran kutumia propaganda!!! Kazi kwelikweli!!
Nini madhara ya hilo shambulio zaidi ya utoto,tu,Irani kapigwa ndo maana katepeta kaachia Syria,Lebanoni mtoto wake Hezbolah kaufyata na yeye anatetemeka kutekeleza promise lll yake😥
 
Angalia duties za ayatollah halafu utuambie Rais ana kazi gani hapo?

The duties designated for the rahbar in the constitution are broadly defined, allowing significant room for the rahbar to intervene in political affairs, maneuver the armed forces, and make appointments that determine the makeup of the government. The powers delineated in Article 110 include:

  1. determining the political direction of the government (in consultation with an advisory committee);
  2. overseeing the correct implementation of the general policies of the government;
  3. calling referenda;
  4. commanding the armed forces;
  5. declaring war, peace, and the mobilization of armed forces;
  6. appointing and dismissing:
    • six of the twelve jurists of the Council of Guardians;
    • the head of the judiciary;
    • the head of the state broadcasting agency;
    • the chief of the general staff;
    • the commander in chief of the Islamic Revolutionary Guard Corps (IRGC);
    • the highest commanders of the armed forces and security bodies;
  7. facilitating relations between the legislative, executive, and judicial branches;
  8. resolving issues in governance that cannot be settled through ordinary means;
  9. approving the appointment of the president after the presidential election;
  10. dismissing the president after a judicial conviction or legislative vote of no confidence;
  11. pardoning or commuting sentences upon recommendation of the head of the judiciary.

Ukishindwa kutafsiri sema....
Fananisha na Rais wa israel

(a)The President of the State -

(1)shall sign every Law, other than a Law relating to its powers;

(2)shall take action to achiever the formation of a Government and shall receive the resignation of the Government in accordance with Law;

(3)shall receive from the Government a report on its meetings;

(4)shall accredit the diplomatic representatives of the State, shall receive the credentials of diplomatic representatives sent to Israel by foreign states, shall empower the consular representatives of the State and shall confirm the appointments of consular representatives sent to Israel by foreign states;

(5)shall sign such conventions with foreign states as have been ratified by the Knesset;

(6)shall carry out every function assigned to him by Law in connection with the appointment and removal from office of judges and other office-holder's.

(b)The President of the State shall have power to pardon offenders and to lighten penalties by the reduction or commutation thereof.

(c)The President of the State shall carry out every other function and have every other power assigned to him by Law.

Sasa nani mungu mtu Kati ya hao wawili?​

Mimi sijaona tofauti zaid ya uzwazwa wako ata kutumia kingeleza ndio zaid umejionesha ulivo uzwazwa unadhani kujua kingeleza ndio kuelimika au kujua kingeleza ndio ww ni msomi mada ilikuwa ya kiswahili vipi uibadili iwe ya kingeleza mizwazwa amuwezi kujificha ujinga wenu kimsingi rais w Iran yupo huru lkn kuna seem inabidi tu jambo lake lipitie kwa kiongozi mkuu. Ndio ivyo na Israeli ndio ivo na UK Ufalme upo lkn kuna seem tu ndogo ndio anausika zaid kuidhinisha mambo yalioafikiwa na viongozi Watendaji kwa lkn msingi wake ni kufanya talatibu ziende kwa kwafaida na usalama wa kiTaifa ukikosa Iran kiongozi mkuu UK utakunana na kingdom lkn ndio ivyo ivyo kama kwetu mtendaji mkuu Waziri mkuu lkn ukitafuta kiongozi mwenye nguvu yani sain yake kwenye mambo ya msingi lazima asaini mfalme au rais kwa kwetu na kwa Israel ni ivyoivyo uwezi kumtoa Rais wao kwenye majukum makubwa ya Israel uyu Benjamin Netanyahu majukum yake ni utendaji tu lkn majukum makubwa na muimu kwa mustakbar wa Israel yapo chini ya Rais lazima asaini yeye sio PM na Ayatollah ni ivoivyo akuna tofaut zaid ya uwelekeo wakufanana. Apa kwetu mfano Waziri mkuu ndio kiongozi mkuu wa shuhuri zote za Serikali Bungeni yani yeye ndio Serikali ndio mana anaweza Rais kuwafuta kazi mawaziri ata w5 au 6 lkn bado Serikali ipo sawa lkn akitaka kumfuta kazi Waziri mkuu ujue Serikali imeanguka yote mawaziri wote wamepoteza nafasi zao lkn yote na yote rais ndio mtu muimu na sain yake ndio inanguvu kushinda zote. Ndio uko Israel ndio Iran msingi wake ndio uwo. Akuna mungu mtu uwelewa wako tu ndio shida. Nairobi Zambia Liberia ombaomba chokolaaa wanatumia kingeleza punguza ujinga ndugu.
 
Mkuu Iran ushirika wake na Russia sio chanzo cha yeye kuwa tishio.
Iran tangu 1970s ilikua tishio kabla hata uhusiano baina ya Russia na wao haujakomaa.
Iran ni nchi isiyotabirika mkuu.
Tupo hapa tutaona.
Muda ni kila kitu bro; naifahamu sana Iran, nimeisoma sana Iran, naitambua vizuri sana historia yao even kabla ya Kristo; ni watu wenye akili sana, waliwahi kutawala dunia ya wakati huo baada ya dola ya Babel kuanguka, so sibahatishi kuhusu wao. Naijua pia Iran ya baada ya mfalme Shah, I mean baada ya Ayatollah Khomein na rafiki yake Khashim Rafsanjani kumpindua Shah wakiwa wanatokea uhamishoni France. Kwa dunia ya sasa, vita ni WASHIRIKA bro, kubali ukatae. Kwa zaidi ya miaka almost 100 iliopita, Russia na USA ndio wamekua wanatawala ulimwengu wa intelligence na vita duniani but guess what? Hakuna vita USA kaenda kupigana pekee yake, USA kabla ya ujio wa Mchina amekua anaongoza uchumi wa dunia akiwa anamuacha mbali mno mtu/taifa linalo mfuatia but still ana heshimu nguvu ya umoja. Unakumbuka lile sakata la Ghuba ya Uajemi, ile vita ya kumtoa Saddam Hussein nchini Kuwait mwanzoni mwa miaka ya 90? USA alikua na uwezo wa kumchapa Saddam pekee yake but guess what? Alikusanya rafiki zake 29 na kwenda nao vitani; ndio dunia ilivo. Iran akibaki pekee yake atakua kama yatima, atapigwa asubuhi tu. Ndio maana kama unatazama mambo kwa jicho la kawaida, ukiliondolea jicho la kidini na mahaba/chuki utagundua kama Iran kapunguza mikwara tofauti na miezi 6 iliopita. Alikua akipigwa na USA anamrudishia ASAP, Israel the same alikua hachelewi; sasa hvi ni kama kaufyata. Sidhani kama kaogopa, but I think amegundua kwamba anahitaji kujipanga zaidi, taarifa za ki intelligence alizokua nazo is either hazitoshi or alidanganywa so he need more information kuwahusu adui zake hasa Israel na Marekani. Let's wait, muda utaongea
 
Sawa myaudi wa buza kwa mpalange!!
Mimi najadiri hoja mambo ya uraia wangu yanatoka wapi? Ndio maana huaga sipendi kumjibu kila mtu, wengine badala ya kujikita kwenye hoja mnajadiri mtu, sasa Uyahudi wangu wa kwa Mpalange hapa unaingiaje? Nimekwambia, "hakuna silaha za ulinzi ambazo accuracy yake ni 💯, nimekupa na mfano kwamba Osama tu kawahi kupiga makao makuu ya jeshi la USA pale Pentagon, unadhani hakuna ulinzi pale bro? Vitu vingine ni rahisi mno kuvielewa. Taifa gani kubwa halijawahi kupigwa? Iran kapigwa, USA kapigwa tena na kundi la mtu mmoja na sio nchi, juzi pia China ilimpelekea PUTO tu la upelelezi, hatujui lilichukua data gani, Russia kapigwa nae na makombora. Hakuna silaha ambayo ina accuracy ya 💯. So niwe natokea kwa Mpalange or wapi, haibadiri mtizamo huo.
 
IRAN AKILI KUBWA kataka vita isiendelee Lebanon sasa kaipeleka Yemen mbali na Israel wkt Yemen kashaandaliwa vitu Vyakutua Israel yote chap chap sasa IDF inaogopa kuuwa raia w YEMEN imepiga miundombinu tu akuna cha Uk wala Marekani wote wamelenga miuondombinu washajua kuna kitu kinatafutwa watu sasa wamechoka wanataka kulenga raia wa Israel iwe fundisho .
Utakuta weee ndo unayeaminiwa kwa akili hapo masjid!
 
Yemeni wananifurahisha na mikwara yao. Unaweza ukafikiri ni bonge la jeshi.
 
Muda ni kila kitu bro; naifahamu sana Iran, nimeisoma sana Iran, naitambua vizuri sana historia yao even kabla ya Kristo; ni watu wenye akili sana, waliwahi kutawala dunia ya wakati huo baada ya dola ya Babel kuanguka, so sibahatishi kuhusu wao. Naijua pia Iran ya baada ya mfalme Shah, I mean baada ya Ayatollah Khomein na rafiki yake Khashim Rafsanjani kumpindua Shah wakiwa wanatokea uhamishoni France. Kwa dunia ya sasa, vita ni WASHIRIKA bro, kubali ukatae. Kwa zaidi ya miaka almost 100 iliopita, Russia na USA ndio wamekua wanatawala ulimwengu wa intelligence na vita duniani but guess what? Hakuna vita USA kaenda kupigana pekee yake, USA kabla ya ujio wa Mchina amekua anaongoza uchumi wa dunia akiwa anamuacha mbali mno mtu/taifa linalo mfuatia but still ana heshimu nguvu ya umoja. Unakumbuka lile sakata la Ghuba ya Uajemi, ile vita ya kumtoa Saddam Hussein nchini Kuwait mwanzoni mwa miaka ya 90? USA alikua na uwezo wa kumchapa Saddam pekee yake but guess what? Alikusanya rafiki zake 29 na kwenda nao vitani; ndio dunia ilivo. Iran akibaki pekee yake atakua kama yatima, atapigwa asubuhi tu. Ndio maana kama unatazama mambo kwa jicho la kawaida, ukiliondolea jicho la kidini na mahaba/chuki utagundua kama Iran kapunguza mikwara tofauti na miezi 6 iliopita. Alikua akipigwa na USA anamrudishia ASAP, Israel the same alikua hachelewi; sasa hvi ni kama kaufyata. Sidhani kama kaogopa, but I think amegundua kwamba anahitaji kujipanga zaidi, taarifa za ki intelligence alizokua nazo is either hazitoshi or alidanganywa so he need more information kuwahusu adui zake hasa Israel na Marekani. Let's wait, muda utaongea
Jomba upo vizuri lkn umekwama seem 1 kusema Iran kawa mdogo Iran sasa kapoa Iran ajapoa mkuu YEMEN anapeleka moto Israel vizuli mikama tuseme kaamua kuitumia YEMEN kuichapa Isreal lkn kila ntu anajua naww unajua kuwa Yemen ni Iran ndio mwenye uwamuzi, nakukumbusha kukadhia hoja yangu. Wkt wa Vita kati ya YEMEN na Saudi Arabian na YEMEN kulitokea upatanishi lkn upatanish zaid ulikuwa kati ya IRAN na Saudia Arabia ndio vita vikaisha vya YEMEN. Kwaiyo ni kusema Israel inapigwa na Iran kutokea YEMEN.
 
Mimi sijaona tofauti zaid ya uzwazwa wako ata kutumia kingeleza ndio zaid umejionesha ulivo uzwazwa unadhani kujua kingeleza ndio kuelimika au kujua kingeleza ndio ww ni msomi mada ilikuwa ya kiswahili vipi uibadili iwe ya kingeleza mizwazwa amuwezi kujificha ujinga wenu kimsingi rais w Iran yupo huru lkn kuna seem inabidi tu jambo lake lipitie kwa kiongozi mkuu. Ndio ivyo na Israeli ndio ivo na UK Ufalme upo lkn kuna seem tu ndogo ndio anausika zaid kuidhinisha mambo yalioafikiwa na viongozi Watendaji kwa lkn msingi wake ni kufanya talatibu ziende kwa kwafaida na usalama wa kiTaifa ukikosa Iran kiongozi mkuu UK utakunana na kingdom lkn ndio ivyo ivyo kama kwetu mtendaji mkuu Waziri mkuu lkn ukitafuta kiongozi mwenye nguvu yani sain yake kwenye mambo ya msingi lazima asaini mfalme au rais kwa kwetu na kwa Israel ni ivyoivyo uwezi kumtoa Rais wao kwenye majukum makubwa ya Israel uyu Benjamin Netanyahu majukum yake ni utendaji tu lkn majukum makubwa na muimu kwa mustakbar wa Israel yapo chini ya Rais lazima asaini yeye sio PM na Ayatollah ni ivoivyo akuna tofaut zaid ya uwelekeo wakufanana. Apa kwetu mfano Waziri mkuu ndio kiongozi mkuu wa shuhuri zote za Serikali Bungeni yani yeye ndio Serikali ndio mana anaweza Rais kuwafuta kazi mawaziri ata w5 au 6 lkn bado Serikali ipo sawa lkn akitaka kumfuta kazi Waziri mkuu ujue Serikali imeanguka yote mawaziri wote wamepoteza nafasi zao lkn yote na yote rais ndio mtu muimu na sain yake ndio inanguvu kushinda zote. Ndio uko Israel ndio Iran msingi wake ndio uwo. Akuna mungu mtu uwelewa wako tu ndio shida. Nairobi Zambia Liberia ombaomba chokolaaa wanatumia kingeleza punguza ujinga ndugu.
Wewe naona madhara ya madrasa ndio yanayokusumbua. Hizo katiba zimetafsiriwa vizuri kwa lugha nyepesi ambayo ni kiingereza halafu eti wewe unakuja kubisha sasa sijui ulitaka ziandikwe kwa lugha ya kiarabu au kiluguru ndio ufurahi..!!

Ni ukweli usiopingika kwamba nchi kama Iran ni nchi ya kiimla na huwezi kuifananisha na nchi kama Israel ambayo ni nchi ya kidemokrasia na anayepinga hilo anapinga tu kwa sababu za kidini, (ambayo ni ujinga), lkn sio kwa hekima.

Shida ya siku zote kwa baadhi ya watanzania ambao hawajiwezi katika lugha ya kiingereza ni kuwaona wenzao wanaojiweza kwenye lugha hiyo kama wanaoringa au wanaojifanya wasomi lkn watu haohao kama ni wa imani ya kiislam wakikuona unaongea kiarabu wanakuona wa maana sana.

Huu ni ujinga tu na ulimbukeni.
 
Jomba upo vizuri lkn umekwama seem 1 kusema Iran kawa mdogo Iran sasa kapoa Iran ajapoa mkuu YEMEN anapeleka moto Israel vizuli mikama tuseme kaamua kuitumia YEMEN kuichapa Isreal lkn kila ntu anajua naww unajua kuwa Yemen ni Iran ndio mwenye uwamuzi, nakukumbusha kukadhia hoja yangu. Wkt wa Vita kati ya YEMEN na Saudi Arabian na YEMEN kulitokea upatanishi lkn upatanish zaid ulikuwa kati ya IRAN na Saudia Arabia ndio vita vikaisha vya YEMEN. Kwaiyo ni kusema Israel inapigwa na Iran kutokea YEMEN.
Sahihi kabisa. Tuanzie kwa mifano hiyo hiyo ulioitaja. Ni kweli kwamba Saudia alikua anapelekewa moto na Yemen but rudisha kumbukumbu zako nyuma wakati ule ule wa vita, same Iran ilipiga visima vya mafuta Saudia, kitu ambacho sasa hivi Iran hafanyi. Mwaka juzi nadhani, USA iliwahi kuwaua makomandoo wa Iran pale Syria, Iran ilimuonya USA kwamba italipiza kisasi, USA hakuamini, Iran ilimpelekea salamu nzuri tu USA na kila mtu duniani alishangaa, how? Iran haogopi? USA hakuwahi kujibu. Juzi hapa, Israel iliua makomandoo 7 wa Iran pale Syria same as ilivofanya USA, iran haikujiuliza mara 2, ilimshambulia Israel kwa makombora na rockets za kisasa, walikwenda mbali zaidi wakashambulia na makazi binafsi ya Netanyahu yaliopo Kaisaria, USA ilimuonya Israel asilipize kisasi, Israel haikuelewa somo, ilipiga Tehran though makombora yao mengi yalikua intercepted, iran alirudia tena kuipiga Israel, haya yote ni ya mwaka hu. Now this time, Israel ikafanya paper work yake vizuri, wakarusha ndege zao kama 200 hivi, hawakuingia kwenye anga la Iran, ndegee zilikaa mpakani mwa anga la Iran na Iraq, hakuna aliyeyangaza matokeo ya mashambulizi yale hadi baadae lakini tulijua matokeo yale kupitia body languages za both, Iran na Israel. Iran ni kama ilipoteza ujasiri to-date, PM wa Israeli akaonekana anacheka na watu mchangani kwenye moja ya fukwe za Israel, operations promise III imeota mbawa hadi leo, lakini ikaonekana sasa Assad hana msaada wakati mwanzoni aliweza kuzima mashambulizi mengi, finally Assad is no more, Syria imeanguka. Iran hashambulii tena, anatumia vibaraka zaidi, haendi front kama zamani, huoni tofauti kaka? Work up.
 
Muda ni kila kitu bro; naifahamu sana Iran, nimeisoma sana Iran, naitambua vizuri sana historia yao even kabla ya Kristo; ni watu wenye akili sana, waliwahi kutawala dunia ya wakati huo baada ya dola ya Babel kuanguka, so sibahatishi kuhusu wao. Naijua pia Iran ya baada ya mfalme Shah, I mean baada ya Ayatollah Khomein na rafiki yake Khashim Rafsanjani kumpindua Shah wakiwa wanatokea uhamishoni France. Kwa dunia ya sasa, vita ni WASHIRIKA bro, kubali ukatae. Kwa zaidi ya miaka almost 100 iliopita, Russia na USA ndio wamekua wanatawala ulimwengu wa intelligence na vita duniani but guess what? Hakuna vita USA kaenda kupigana pekee yake, USA kabla ya ujio wa Mchina amekua anaongoza uchumi wa dunia akiwa anamuacha mbali mno mtu/taifa linalo mfuatia but still ana heshimu nguvu ya umoja. Unakumbuka lile sakata la Ghuba ya Uajemi, ile vita ya kumtoa Saddam Hussein nchini Kuwait mwanzoni mwa miaka ya 90? USA alikua na uwezo wa kumchapa Saddam pekee yake but guess what? Alikusanya rafiki zake 29 na kwenda nao vitani; ndio dunia ilivo. Iran akibaki pekee yake atakua kama yatima, atapigwa asubuhi tu. Ndio maana kama unatazama mambo kwa jicho la kawaida, ukiliondolea jicho la kidini na mahaba/chuki utagundua kama Iran kapunguza mikwara tofauti na miezi 6 iliopita. Alikua akipigwa na USA anamrudishia ASAP, Israel the same alikua hachelewi; sasa hvi ni kama kaufyata. Sidhani kama kaogopa, but I think amegundua kwamba anahitaji kujipanga zaidi, taarifa za ki intelligence alizokua nazo is either hazitoshi or alidanganywa so he need more information kuwahusu adui zake hasa Israel na Marekani. Let's wait, muda utaongea
Ndio maana nikakwambia Iran ni unpredictable kaka.
Iran haitabiriki,wakati mnasema imedhoofu kumbe ina agenda zake inazozijua.
Iran tusiitabirie kitu.
Japo kinachochagiza zaidi Iran ipoe ni utawala mpya ulioingia wa Peshzikian.
 
Sahihi kabisa. Tuanzie kwa mifano hiyo hiyo ulioitaja. Ni kweli kwamba Saudia alikua anapelekewa moto na Yemen but rudisha kumbukumbu zako nyuma wakati ule ule wa vita, same Iran ilipiga visima vya mafuta Saudia, kitu ambacho sasa hivi Iran hafanyi. Mwaka juzi nadhani, USA iliwahi kuwaua makomandoo wa Iran pale Syria, Iran ilimuonya USA kwamba italipiza kisasi, USA hakuamini, Iran ilimpelekea salamu nzuri tu USA na kila mtu duniani alishangaa, how? Iran haogopi? USA hakuwahi kujibu. Juzi hapa, Israel iliua makomandoo 7 wa Iran pale Syria same as ilivofanya USA, iran haikujiuliza mara 2, ilimshambulia Israel kwa makombora na rockets za kisasa, walikwenda mbali zaidi wakashambulia na makazi binafsi ya Netanyahu yaliopo Kaisaria, USA ilimuonya Israel asilipize kisasi, Israel haikuelewa somo, ilipiga Tehran though makombora yao mengi yalikua intercepted, iran alirudia tena kuipiga Israel, haya yote ni ya mwaka hu. Now this time, Israel ikafanya paper work yake vizuri, wakarusha ndege zao kama 200 hivi, hawakuingia kwenye anga la Iran, ndegee zilikaa mpakani mwa anga la Iran na Iraq, hakuna aliyeyangaza matokeo ya mashambulizi yale hadi baadae lakini tulijua matokeo yale kupitia body languages za both, Iran na Israel. Iran ni kama ilipoteza ujasiri to-date, PM wa Israeli akaonekana anacheka na watu mchangani kwenye moja ya fukwe za Israel, operations promise III imeota mbawa hadi leo, lakini ikaonekana sasa Assad hana msaada wakati mwanzoni aliweza kuzima mashambulizi mengi, finally Assad is no more, Syria imeanguka. Iran hashambulii tena, anatumia vibaraka zaidi, haendi front kama zamani, huoni tofauti kaka? Work up.
Kuusu Assad Russia waliulizwa mbona amtoi msaada kwa Assad majibu yakawa atuwezi pigana ikiwa Jesh la Taifa alitaki kupigana kwaiyo kimsingi ASSAD nikama alipinduliwa na jesh lake ndio mana Assad alishindwa lkn kama Jesh lingepigana manake lingepewa supot kama kawaida na Assad angebaki pale alipo. Kuusu Visima ni kweli lkn Iran akushambulia kutokea kwake ni kutokea Yemen ndio mana Mzozo ulienda adi UN lkn marakani akipaza saut kuwa ni Iran ndio kashambulia lkn Iran ilikataa na kuomba Ushaid kuwa niyeye ikashindikana kupatikana Ushaid kwaiyo ni Yemen ndio imepiga lkn ni Iran nyuma ya pazia. Kuusu promise 111 kwasasa imekuwa kama propaganda kwenu. Kwanza kiakili tu ingekuwa ni kweli iran ilipokea kipigo ni wazi wasingetangaza iyo promis 3 unapotangaza kuwa kutaka tena kumchapa adui yko ni vile umeona unammudu lkn sasa Iran kweli ajashambulia sababu za kuisi ni izi zinaweza kuwa sababu kuu moja vita kati ya Hezbollah na IDF imesimama tukumbukuke Iran ilikuwa inalengo malengo ya kijesh so kwanamna moja utaona Iran ilikuwa inatumia uwo mfumo wa promise 3 na pengine ingeendelea 4 +5+6 kutokana na sababu za kijesh yani mfano marekani au inchi washilika kwa Israel +IDF nao wapo biz kumpelekea misaada ya kijesh mbalimbalii silaha nzito na nyepesi uyo Israel so Iran nae ilikuwa na iyo promise 1+2+3++++ ilitu kumsaidia Hezbollah kupitia mashambulizi kwenye meeneo zinapoifadhiwa silaha za IDF na kuaribu viwanja vya ndege vya kijesh ikiwezekana na ndege zenyewe,,,,, kusimama kwa vita kati ya hezb+IDF akuna sababu Iran kutumia nguvu kubwa kwasasa, lkn ingekuwa vita inaendelea pengine muda huu tupo promise 5!!
 
Sema mwarabu ana roho ngumu sana,kwa Yale yalitokea Gaza na rebanon,mi nikajua hakuna wa kuendeleza vita kwa sasa labda badae sana
Karma is a bitch.
Wanajitengenezea mpango wa kufutwa kwenye ramani za ugaidi.Watu walikuwa wanawaona Hezibollah miamba isiyoshindika lakini kilichowakuta leo hii wanajuta.
Ukiona kobe kainama ujue anatunga sheria.
 
Lkn nyie wenzetu mmetafsiri kuwa Iran eti imeogopa sababu ilipigwa sana ile siku tukiombo ushaidi namna ilipigwa atupati lkn kila mtu aliona jinsi mifumo ya anga ya Iran ilizuiya lile shambulizi lkn tukashangaa iran wenyewe kukili kupata madhala kwenye lile shambulizi lkn kuona Iran imekwanda UN kulalamika kushambuliwa tukajua plani ya Iran mala ndio wakatangaza promise 3 mana wamelitumia lile tukio la kushambuliwa iwe sababu nawao waende kujibu uko Israel. Inasemekana iran ilipanga shambulizi kubwa sana kama tunakumbuka promise 1 ilipokuja promise 2 ilikuwa kubwa kuliko promise 1 sasa hii promise 3 ilikuwa majanga makubwa kwa Israel je iran inaogopa sio kweli kwasabubu Yemen ni Iran tu ukipigwa kutokea Yemen ikiwa ww unamabavu ungesema mm napiga Iran mojakwamokwa sio lazima upige Yemen lkn wazi marekani na washilika wanajua Iran kaamua kwasasa kupimana ubavu na Israel,, this time USA + washilika ni wao ndio wamekuwa wapole tofaut na miaka kwa miaka.
 
Mimi sijaona tofauti zaid ya uzwazwa wako ata kutumia kingeleza ndio zaid umejionesha ulivo uzwazwa unadhani kujua kingeleza ndio kuelimika au kujua kingeleza ndio ww ni msomi mada ilikuwa ya kiswahili vipi uibadili iwe ya kingeleza mizwazwa amuwezi kujificha ujinga wenu kimsingi rais w Iran yupo huru lkn kuna seem inabidi tu jambo lake lipitie kwa kiongozi mkuu. Ndio ivyo na Israeli ndio ivo na UK Ufalme upo lkn kuna seem tu ndogo ndio anausika zaid kuidhinisha mambo yalioafikiwa na viongozi Watendaji kwa lkn msingi wake ni kufanya talatibu ziende kwa kwafaida na usalama wa kiTaifa ukikosa Iran kiongozi mkuu UK utakunana na kingdom lkn ndio ivyo ivyo kama kwetu mtendaji mkuu Waziri mkuu lkn ukitafuta kiongozi mwenye nguvu yani sain yake kwenye mambo ya msingi lazima asaini mfalme au rais kwa kwetu na kwa Israel ni ivyoivyo uwezi kumtoa Rais wao kwenye majukum makubwa ya Israel uyu Benjamin Netanyahu majukum yake ni utendaji tu lkn majukum makubwa na muimu kwa mustakbar wa Israel yapo chini ya Rais lazima asaini yeye sio PM na Ayatollah ni ivoivyo akuna tofaut zaid ya uwelekeo wakufanana. Apa kwetu mfano Waziri mkuu ndio kiongozi mkuu wa shuhuri zote za Serikali Bungeni yani yeye ndio Serikali ndio mana anaweza Rais kuwafuta kazi mawaziri ata w5 au 6 lkn bado Serikali ipo sawa lkn akitaka kumfuta kazi Waziri mkuu ujue Serikali imeanguka yote mawaziri wote wamepoteza nafasi zao lkn yote na yote rais ndio mtu muimu na sain yake ndio inanguvu kushinda zote. Ndio uko Israel ndio Iran msingi wake ndio uwo. Akuna mungu mtu uwelewa wako tu ndio shida. Nairobi Zambia Liberia ombaomba chokolaaa wanatumia kingeleza punguza ujinga ndugu.
Hivi kuna uhusiano gani kati ya hiyo dini na matope kichwani? Maana huwa nawashangaa sana mlivyo vilaza hata kwenye mambo ya kawaida.
Ina maana huoni tofauti hapo juu?
Au ndo mahaba niuwe.
 
Lkn nyie wenzetu mmetafsiri kuwa Iran eti imeogopa sababu ilipigwa sana ile siku tukiombo ushaidi namna ilipigwa atupati lkn kila mtu aliona jinsi mifumo ya anga ya Iran ilizuiya lile shambulizi lkn tukashangaa iran wenyewe kukili kupata madhala kwenye lile shambulizi lkn kuona Iran imekwanda UN kulalamika kushambuliwa tukajua plani ya Iran mala ndio wakatangaza promise 3 mana wamelitumia lile tukio la kushambuliwa iwe sababu nawao waende kujibu uko Israel. Inasemekana iran ilipanga shambulizi kubwa sana kama tunakumbuka promise 1 ilipokuja promise 2 ilikuwa kubwa kuliko promise 1 sasa hii promise 3 ilikuwa majanga makubwa kwa Israel je iran inaogopa sio kweli kwasabubu Yemen ni Iran tu ukipigwa kutokea Yemen ikiwa ww unamabavu ungesema mm napiga Iran mojakwamokwa sio lazima upige Yemen lkn wazi marekani na washilika wanajua Iran kaamua kwasasa kupimana ubavu na Israel,, this time USA + washilika ni wao ndio wamekuwa wapole tofaut na miaka kwa miaka.
Bbc walitoa ushahidi wa picha za satellite kuongesha kipigo kilivolega rada,kituo cha kuchanganyia nuklia,kiwanda cha makombola na vingine vingi,nilijaribu kukuwekea lkn imegoma ingia BBC Swahili andika ushahidi wa picha za satellite kwa sahmbulio la Israel shidi ya Irani
 
Lkn nyie wenzetu mmetafsiri kuwa Iran eti imeogopa sababu ilipigwa sana ile siku tukiombo ushaidi namna ilipigwa atupati lkn kila mtu aliona jinsi mifumo ya anga ya Iran ilizuiya lile shambulizi lkn tukashangaa iran wenyewe kukili kupata madhala kwenye lile shambulizi lkn kuona Iran imekwanda UN kulalamika kushambuliwa tukajua plani ya Iran mala ndio wakatangaza promise 3 mana wamelitumia lile tukio la kushambuliwa iwe sababu nawao waende kujibu uko Israel. Inasemekana iran ilipanga shambulizi kubwa sana kama tunakumbuka promise 1 ilipokuja promise 2 ilikuwa kubwa kuliko promise 1 sasa hii promise 3 ilikuwa majanga makubwa kwa Israel je iran inaogopa sio kweli kwasabubu Yemen ni Iran tu ukipigwa kutokea Yemen ikiwa ww unamabavu ungesema mm napiga Iran mojakwamokwa sio lazima upige Yemen lkn wazi marekani na washilika wanajua Iran kaamua kwasasa kupimana ubavu na Israel,, this time USA + washilika ni wao ndio wamekuwa wapole tofaut na miaka kwa miaka.
Acha uongo wako bhana Irani kapigwa ndo maana Hesbolah katii masharti,kapoteza Syria na yeye mwenyewe anatetemeka kutimiza promise lll
 
Back
Top Bottom