Yemen iliwaonya kwamba Tel Aviv imeteuliwa kama eneo lisilo salama kabisa

Yemen iliwaonya kwamba Tel Aviv imeteuliwa kama eneo lisilo salama kabisa

N
Bbc walitoa ushahidi wa picha za satellite kuongesha kipigo kilivolega rada,kituo cha kuchanganyia nuklia,kiwanda cha makombola na vingine vingi,nilijaribu kukuwekea lkn imegoma ingia BBC Swahili andika ushahidi wa picha za satellite kwa sahmbulio la Israel shidi ya Irani
Ni BBC hiii tuijuaayo ivi unafaam icho chombo cha propaganda kutokea UK ata ivyo nakumbuka iyo iyo BBC ilipokea lile tukio habari yao ilisema Iran kwaatua kubwa inaonekana imezuiya shambulizi lkn baadae sasa ndio picha picha zikaanza sijui kumepigwa kwenye kile au kile nakuakikishia kama ingepigwa Nuclear site Iran isingechelewa kuichapa Israel ktk maeneo ya Nuclear Iran inajua Site zote za Nuclear za Israel kama pia Israel anajua kwa Iran akuna icho kitu zaid ni propaganda za West tujiulize picha Tuliona Iran aijazuiya vyombo vya habari na tuliona Anga la Iran likizuiya mashambulizi na tuliona anga la Israel likizuiya mashambulizi ya Hamas zaman hezbollah lkn Iran tumeona Live akuna sababu ya kusumbua picha za satellite macho yetu yameona na juzi Yemen tumeona kitu kinatua sasa kwanini uko Iran tusione kwa mfano huo lkn tunaambiwa Subilini picha za satellite !!! Inaonesha upande mmoja umeelemewa kitechnology ndio mana awana uwezo kupiga live kama Iran napinga kauli kusema Iran imepoa ingepoa ujue Yemeni pia ingepoa. Lkn unaona Akili ya Iran kaondosha vita lebanon kaipeleka Yemen Israel ana silaha za kutoka kwake ziende Yemen inabidi atumie ndege izo ndege nazo zishaanza kushushwa we mkuu fikilia ndege chapa F-18 imeshushwa iyo sio F-16 izo F-18 F-22 naamini azina license ya kuuzwa nje. Lkn Yemen imeishusha toka apo marubani wameogapa Anga la Yemen na jana ndio ivyo Telaviv imepigwa tena!!!. Ingekuwa ni lebanon muda huu majengo yanashushwa Beirut lkn sasa mziki umepangwa kiufundi sisi yetu macho.
 
Acha uongo wako bhana Irani kapigwa ndo maana Hesbolah katii masharti,kapoteza Syria na yeye mwenyewe anatetemeka kutimiza promise lll
Lete Ushaid sisi tunaushaidi Iran ikizuiya shambulizi lete tuchambue lkn angalizo usije kujichanganya kama yule mkenya mwenye chuki bin ugomvi na waislam uyu alituletea picha ileile Israel ikibutuliwa akadai ndio Iran imebutuliwa!!!! Jamaaa alipata aibu kubwa!!!
 
Kuusu Assad Russia waliulizwa mbona amtoi msaada kwa Assad majibu yakawa atuwezi pigana ikiwa Jesh la Taifa alitaki kupigana kwaiyo kimsingi ASSAD nikama alipinduliwa na jesh lake ndio mana Assad alishindwa lkn kama Jesh lingepigana manake lingepewa supot kama kawaida na Assad angebaki pale alipo. Kuusu Visima ni kweli lkn Iran akushambulia kutokea kwake ni kutokea Yemen ndio mana Mzozo ulienda adi UN lkn marakani akipaza saut kuwa ni Iran ndio kashambulia lkn Iran ilikataa na kuomba Ushaid kuwa niyeye ikashindikana kupatikana Ushaid kwaiyo ni Yemen ndio imepiga lkn ni Iran nyuma ya pazia. Kuusu promise 111 kwasasa imekuwa kama propaganda kwenu. Kwanza kiakili tu ingekuwa ni kweli iran ilipokea kipigo ni wazi wasingetangaza iyo promis 3 unapotangaza kuwa kutaka tena kumchapa adui yko ni vile umeona unammudu lkn sasa Iran kweli ajashambulia sababu za kuisi ni izi zinaweza kuwa sababu kuu moja vita kati ya Hezbollah na IDF imesimama tukumbukuke Iran ilikuwa inalengo malengo ya kijesh so kwanamna moja utaona Iran ilikuwa inatumia uwo mfumo wa promise 3 na pengine ingeendelea 4 +5+6 kutokana na sababu za kijesh yani mfano marekani au inchi washilika kwa Israel +IDF nao wapo biz kumpelekea misaada ya kijesh mbalimbalii silaha nzito na nyepesi uyo Israel so Iran nae ilikuwa na iyo promise 1+2+3++++ ilitu kumsaidia Hezbollah kupitia mashambulizi kwenye meeneo zinapoifadhiwa silaha za IDF na kuaribu viwanja vya ndege vya kijesh ikiwezekana na ndege zenyewe,,,,, kusimama kwa vita kati ya hezb+IDF akuna sababu Iran kutumia nguvu kubwa kwasasa, lkn ingekuwa vita inaendelea pengine muda huu tupo promise 5!!
Mkuu; unaposema "imekua propaganda kwetu" unanilenga mimi na nani? Mimi natumia mtazamo wangu binafsi, sishirikiani na mtu ubongo wangu. Nawekaga mtazamo wangu binafsi. Nimesema, narudia tena; baada ya lile shambulio ni kama Iran alipunguza mikwara, hadi aina ya matamko yake yalibadirika. Huo ni mtazamo wangu binafsi. Baada ya shambulio lile mataifa rafiki wa Iran nao is like walilegea sana. Huo ni mtazamo wangu
 
Netanyahu analalamika akidai inaonekana Yemen imedhamilia kuuwa raia w Israel !!!!! Ndio chaguo liliobakia ikiwa yeye kachagua Vita ya kuuwa watu vip anaoji kwenye mitandao. Dawa y moto ni Moto.
Anaweka akiba kuwaambia Yemen anauwa raia ili asikiwa wale Malaya wa kiaraabu na yule katibu mkuu wa umoja wa mataifa watasemaje. Ili na yeye akianza kuwauwa Malaya wanyamaze Kama walivyonyamaza wakifa waisraeli. Si October 7 Malaya walinyamaza hawakukemea alipoanza yeye Malaya wote midomo juu
 
Anaweka akiba kuwaambia Yemen anauwa raia ili asikiwa wale Malaya wa kiaraabu na yule katibu mkuu wa umoja wa mataifa watasemaje. Ili na yeye akianza kuwauwa Malaya wanyamaze Kama walivyonyamaza wakifa waisraeli. Si October 7 Malaya walinyamaza hawakukemea alipoanza yeye Malaya wote midomo juu
Pengine upo saiii
 
Lete Ushaid sisi tunaushaidi Iran ikizuiya shambulizi lete tuchambue lkn angalizo usije kujichanganya kama yule mkenya mwenye chuki bin ugomvi na waislam uyu alituletea picha ileile Israel ikibutuliwa akadai ndio Iran imebutuliwa!!!! Jamaaa alipata aibu kubwa!!!
Search ushahidi wa satellite juu ya shambulio la Israeli dhidi ya Irani utapata picha hapo
 
N

Ni BBC hiii tuijuaayo ivi unafaam icho chombo cha propaganda kutokea UK ata ivyo nakumbuka iyo iyo BBC ilipokea lile tukio habari yao ilisema Iran kwaatua kubwa inaonekana imezuiya shambulizi lkn baadae sasa ndio picha picha zikaanza sijui kumepigwa kwenye kile au kile nakuakikishia kama ingepigwa Nuclear site Iran isingechelewa kuichapa Israel ktk maeneo ya Nuclear Iran inajua Site zote za Nuclear za Israel kama pia Israel anajua kwa Iran akuna icho kitu zaid ni propaganda za West tujiulize picha Tuliona Iran aijazuiya vyombo vya habari na tuliona Anga la Iran likizuiya mashambulizi na tuliona anga la Israel likizuiya mashambulizi ya Hamas zaman hezbollah lkn Iran tumeona Live akuna sababu ya kusumbua picha za satellite macho yetu yameona na juzi Yemen tumeona kitu kinatua sasa kwanini uko Iran tusione kwa mfano huo lkn tunaambiwa Subilini picha za satellite !!! Inaonesha upande mmoja umeelemewa kitechnology ndio mana awana uwezo kupiga live kama Iran napinga kauli kusema Iran imepoa ingepoa ujue Yemeni pia ingepoa. Lkn unaona Akili ya Iran kaondosha vita lebanon kaipeleka Yemen Israel ana silaha za kutoka kwake ziende Yemen inabidi atumie ndege izo ndege nazo zishaanza kushushwa we mkuu fikilia ndege chapa F-18 imeshushwa iyo sio F-16 izo F-18 F-22 naamini azina license ya kuuzwa nje. Lkn Yemen imeishusha toka apo marubani wameogapa Anga la Yemen na jana ndio ivyo Telaviv imepigwa tena!!!. Ingekuwa ni lebanon muda huu majengo yanashushwa Beirut lkn sasa mziki umepangwa kiufundi sisi yetu macho.
Dah unahangaika sana kuwatetea hao ndugu zako,hao Houths niswala la muda TU na safari hii Israeli inapanga kuipiga tena Iran wakati bado inawaza kutekeleza promise lll,we subiri mtaimba sana mwaka huu😥
 
Back
Top Bottom