Yemen iliwaonya kwamba Tel Aviv imeteuliwa kama eneo lisilo salama kabisa

Yemen iliwaonya kwamba Tel Aviv imeteuliwa kama eneo lisilo salama kabisa



Ritz: Kuna nyakati huwa najiuliza ufahamu wako wa mambo! Lipi jipya hapo, Israel ni nchi ya kidemokrasia hapo Mashiriki ya Kati, katiba yao inawaruhusu kuandamana! Kuna wananchi wanadai mateka warudi kwa hali yoyote ile bila kujali madhara yake kwa usalama wa taifa! Lakini hakuna taifa linaongozwa na hisia ya maandamano ya watu!

Sasa nakuuliza Mkuu Ritz, je wakazi wa Gaza wanaweza kuandamana kudai hawakubaliani na Hamas! Unataka tujaze serve ya Jamii Forum kukuletea ni kitu gani kinawapata wapalestina wanaoipinga Hamas! Ziko clips nyingi mno zikionyesha Wapelestina jasiri wakiteswa vibaya hadi kufa kuisema Hamas vibaya!

Au nikuulize unaweza kuweka hata picha ya Maandamano Saudia kuonyesha wakiiunga mkono Hamas! Wako Wasaudia wengi tu wana support Hamas! Lakini serikali yao haitaki fellings hizo ziwe wazi! Hapo ndipo unapoona tofauti ya tawala za Waarabu na Israel!

Nadhani unajua nini kilicho wapata watu wa Syria kumpinga Assad, Israel watu wana uhuru wa kumpinga Netanyau, hata kumfikisha Mahakama! Je mnaweza hayo Gaza!

Uwe unafakari kidogo kabla hujaleta hoja! Israel kuna magezeti mengi ya upinzani, yenye mitazamo tofauti tofauti! Wengine hawakubaliani kabisa na vita hivi! Mengine ni more radical, wanataka waitawale tena Gaza! Hapo ndipo unapoona demokrasia inapofanya kazi! Hivyo hakuna jipya unalolileta!
 
Wewe jamaaa unaonekana mweupe kichwani umeandika ujumbe mkubwa lkn sioni hoja ya kumuuliza ritz nikama unaongea na kujijibu mfano umetaja Saudia ukidai akuna Demokrasia kufananisha na Israel sasa apo !!!! pengine ujui kuwa Saudia ni kibaraka mkubwa w marekani ata wanaotawala iyo nchi inadaiwa sio Waarabu iyo ichi ukiandamana tu unanyongwa. Ungetaka kutoa mfano hapo mid Est ungelinganisha na Iran ambayo japo ritz anaisapot kwenye huu mzozo na Israel iran inafanya uchaguzi wa Bunge na urais na mengine yote Iran ndani ya Bunge lao kuna mwakilishi wa kiyahudi Iran watu wapo free kuandamana,,
 
Hiii ngoma sio poa kweli zayuni atatoboa kwa Myemen kitu kama icho akipo kwaa washaanza kukimbia Israel huuu mwaka sijuu lkn uko twendako Marekani na washilika watajuta kutaka Ardhi kibabe.
Kwamba na wewe una amini taifa masikini kama Yemen linaweza kumsumbua Israel? I think level za Israel ni Iran na late Syria, sio Yemen bro. Yemen is among of the poorest country in Middle East, huyu anapigana kujifurahisha tu; yaani some people huaga wana kawaida ya kujifanya wapo busy ili waonekane nao wapo kazini but hakuna wanacho produce, kama mawaziri wa ile nchi ya kusadikika ile iliopo pembezoni mwa bahari ya Hindi
 
Ritz: Kuna nyakati huwa najiuliza ufahamu wako wa mambo! Lipi jipya hapo, Israel ni nchi ya kidemokrasia hapo Mashiriki ya Kati, katiba yao inawaruhusu kuandamana! Kuna wananchi wanadai mateka warudi kwa hali yoyote ile bila kujali madhara yake kwa usalama wa taifa! Lakini hakuna taifa linaongozwa na hisia ya maandamano ya watu!

Sasa nakuuliza Mkuu Ritz, je wakazi wa Gaza wanaweza kuandamana kudai hawakubaliani na Hamas! Unataka tujaze serve ya Jamii Forum kukuletea ni kitu gani kinawapata wapalestina wanaoipinga Hamas! Ziko clips nyingi mno zikionyesha Wapelestina jasiri wakiteswa vibaya hadi kufa kuisema Hamas vibaya!

Au nikuulize unaweza kuweka hata picha ya Maandamano Saudia kuonyesha wakiiunga mkono Hamas! Wako Wasaudia wengi tu wana support Hamas! Lakini serikali yao haitaki fellings hizo ziwe wazi! Hapo ndipo unapoona tofauti ya tawala za Waarabu na Israel!

Nadhani unajua nini kilicho wapata watu wa Syria kumpinga Assad, Israel watu wana uhuru wa kumpinga Netanyau, hata kumfikisha Mahakama! Je mnaweza hayo Gaza!

Uwe unafakari kidogo kabla hujaleta hoja! Israel kuna magezeti mengi ya upinzani, yenye mitazamo tofauti tofauti! Wengine hawakubaliani kabisa na vita hivi! Mengine ni more radical, wanataka waitawale tena Gaza! Hapo ndipo unapoona demokrasia inapofanya kazi! Hivyo hakuna jipya unalolileta!
Ukitaka kujua kama the prince Ritz ana akili then tujadiri mambo yasio husu ccm au mashariki ya kati; Uislam ukikuingia sana unakua kama mbwia unga tu; fuse za akili zinafyatuka. Hajui kama Iran pia hawapendi hizo sheria za dini, wakitaka kuandamana linawapata jambo baya. Nchi zote za Kiarabu andamana uone, of course hata Uingereza raia hawapendi mambo ya Kifalme, walau wale waliandamana na TV zote including za kwao zilionesha, sasa Press TV ya Iran inaweza kuonesha maandamano ya wanawake wanao pinga uvaaji wa kininja?
 
Hawajakatazwa,ila ifahamike ulinzi wa anga wa srael ni dhaifu
Ni lini waliwahi kutangaza kwamba ULINZI wao wa ANGA ni imara? As far as I know, hizo silaha za ulinzi popote duniani, accuracy yake sio 💯. Ndio maana hata Osama aliwahi kupiga makao makuu ya jeshi la USA yaani Pentagon na alifanikiwa
 
Ni lini waliwahi kutangaza kwamba ULINZI wao wa ANGA ni imara? As far as I know, hizo silaha za ulinzi popote duniani, accuracy yake sio 💯. Ndio maana hata Osama aliwahi kupiga makao makuu ya jeshi la USA yaani Pentagon na alifanikiwa
Sawa myaudi wa buza kwa mpalange!!
 
Wewe jamaaa unaonekana mweupe kichwani umeandika ujumbe mkubwa lkn sioni hoja ya kumuuliza ritz nikama unaongea na kujijibu mfano umetaja Saudia ukidai akuna Demokrasia kufananisha na Israel sasa apo !!!! pengine ujui kuwa Saudia ni kibaraka mkubwa w marekani ata wanaotawala iyo nchi inadaiwa sio Waarabu iyo ichi ukiandamana tu unanyongwa. Ungetaka kutoa mfano hapo mid Est ungelinganisha na Iran ambayo japo ritz anaisapot kwenye huu mzozo na Israel iran inafanya uchaguzi wa Bunge na urais na mengine yote Iran ndani ya Bunge lao kuna mwakilishi wa kiyahudi Iran watu wapo free kuandamana,,
Kuandika kwenyewe mtihani halafu unaijibu hoja iliyokushinda ujazo.
Kama Iran wapo free Ayatollah ni kama nani pale? Ana majukumu gani? Na je mamlaka ya Ayatollah na Rais wa Israel yanafanana?
 
Ni swala la muda tuu hao houth watafumuliwa vibaya,tatizo la waarab Wana akili kama za panzi
 
Kwamba na wewe una amini taifa masikini kama Yemen linaweza kumsumbua Israel? I think level za Israel ni Iran na late Syria, sio Yemen bro. Yemen is among of the poorest country in Middle East, huyu anapigana kujifurahisha tu; yaani some people huaga wana kawaida ya kujifanya wapo busy ili waonekane nao wapo kazini but hakuna wanacho produce, kama mawaziri wa ile nchi ya kusadikika ile iliopo pembezoni mwa bahari ya Hindi
Nyuma ya Yemeni kuna Iran na jeshi lake la IRGC mkuu.
Embu fikiria kundi dogo la Houthi liliwezaje kuishinda jeshi la Saudi arabia likiwa na msaada kamili wa USA na baadhi ya serikali za kisunni kipindi cha vita za Yemeni!?
Hawakuwa peke yao,IRGC walikua ndani ya Houthi wakipigana na kutoa silaha na pesa pia.
Hapo Israel inakumbana na Iran indirectly mkuu.
 
Nyuma ya Yemeni kuna Iran na jeshi lake la IRGC mkuu.
Embu fikiria kundi dogo la Houthi liliwezaje kuishinda jeshi la Saudi arabia likiwa na msaada kamili wa USA na baadhi ya serikali za kisunni kipindi cha vita za Yemeni!?
Hawakuwa peke yao,IRGC walikua ndani ya Houthi wakipigana na kutoa silaha na pesa pia.
Hapo Israel inakumbana na Iran indirectly mkuu.
Sasa na wewe uliwahi kuona lini hasa Israel amewahi kuigwaya Iran? Huyu huyu Israel amekua anajipigia Iran anavotaka? Kaua watalaamu wake wa nuclear kwenye ardhi ya nyumbani, kaua viongozi wa Hamas na Hezbollah ndani ya ardhi ya Iran, kaua rais na waziri wa mambo ya nje wa Iran juzi tu hapo; kaangamiza mitambo yake ya kivita tena, tena this time Israel alitumia matoto ya kike mazuri halafu yana shepu, Iran kabaki hajui afanyaje. Yaani Israel amuogope Iran? Hi nayo sio kweli. I think Israel atamuogopa tu Iran akisikia Urusi atatoa back up but not himself alone
 
Sasa na wewe uliwahi kuona lini hasa Israel amewahi kuigwaya Iran? Huyu huyu Israel amekua anajipigia Iran anavotaka? Kaua watalaamu wake wa nuclear kwenye ardhi ya nyumbani, kaua viongozi wa Hamas na Hezbollah ndani ya ardhi ya Iran, kaua rais na waziri wa mambo ya nje wa Iran juzi tu hapo; kaangamiza mitambo yake ya kivita tena, tena this time Israel alitumia matoto ya kike mazuri halafu yana shepu, Iran kabaki hajui afanyaje. Yaani Israel amuogope Iran? Hi nayo sio kweli. I think Israel atamuogopa tu Iran akisikia Urusi atatoa back up but not himself alone
Mkuu huwa nakuamini kwasababu huwa unaelezaga mambo ya hakika na sio udaku.
1)Kufanya assassination attempt ni jambo ambalo sio rahisi mtu kuzuia.
Hao Hamas mara kibao huingia Israel na kuua askari wa Israel na kutoroka na mara nyingi hawakamatwi.
2)Rais wa Iran hajauliwa na Israel hili lilishazungumzwa usiongope kaka.
3)Shambulio lililofanywa na Israel dhidi ya Iran lina limited damage,yani madhara ni madogo kuliko ukubwa wa shambulio,tena hata satellite image zilizoletwa vyombo vya habari ikiwemo BBC vinasema havioneshi vivid evidence ya shambulizi.
Inamaana shambulio ni failure.

Twende kwenye mada kwanini Israel amuogope Iran.
1)2006 aliyeisaidia Hizbollah kumtembezea kichapo Israel pale Jubeir ni Iran,inamaana pasi na Iran kumuunga mkono Hizbollah ingekua ngumu kumsukuma Israel nje ya Lebanon.
2)Vita ya Yemen kuanzia 2013-2021 mfadhili wa Houthi ambayo ilikua inapigana na nchi kamili Saudi arabia na vikundi kama Al qaeda ni Iran.
Aliyefanya Houthi ikasimama na kushinda ni Iran.
3)Aliyeifadhili Houthi kuiteka red sea ukanda wa Baab Al mandib ni Iran.
Unadhani ile meli ya Israel ilitekwa kiwepesi kama sio kwa msaada wa Iran ndani ya Houthi!?
4)Embu tukumbushie retaliation ya Iran dhidi ya Israel kwa mashambulizi ya Promise 1 April na Promise 2 October 1,kila mtu aliona miji ya Israel ikichomeka moto kwa mashambulizi ya makombora ya Iran ndani ya Israel,sio kama shambulizi la kitoto na kipropaganda la Israel ambalo HAKUNA USHAHIDI WA UHARIBIFU ULIOTOKA.
5)Tuje kwa Hizbollah ambao wamerusha makombora Kaskazini mwa Israel na kuwafanya wakaazi zaidi ya laki tatu wahame Kaskazini na kuhamia kanda ya kati na kusini,silaha walizotumia ni Iranian made.
Kipindi Iran ina base pale Syria kabla ya Assad kuanguka Israel hajawahi kukiuka makubaliano ya buffer zone na kujitanua zaidi pale Gollan,ila baada ya Assad kuenguliwa na Iran kuondoa majeshi Israel akapata upenyo.
Tena akiongezea kuwa new regime ikitaka uhasama uongezeke basi iruhusu Iran iwe na uhusiano wa kidiplomasia na wao.
Ili wawe marafiki wasiwe na urafiki na Iran,je hapo hamuogopi?

Hapo bado unataka kusema Israel hamuogopi Iran!???
Mkuu umeongea kiwepesi sana aisee kiasi mengi ni factless nisamehe kama nimekosea kusema hilo.
 
Ritz: Kuna nyakati huwa najiuliza ufahamu wako wa mambo! Lipi jipya hapo, Israel ni nchi ya kidemokrasia hapo Mashiriki ya Kati, katiba yao inawaruhusu kuandamana! Kuna wananchi wanadai mateka warudi kwa hali yoyote ile bila kujali madhara yake kwa usalama wa taifa! Lakini hakuna taifa linaongozwa na hisia ya maandamano ya watu!

Sasa nakuuliza Mkuu Ritz, je wakazi wa Gaza wanaweza kuandamana kudai hawakubaliani na Hamas! Unataka tujaze serve ya Jamii Forum kukuletea ni kitu gani kinawapata wapalestina wanaoipinga Hamas! Ziko clips nyingi mno zikionyesha Wapelestina jasiri wakiteswa vibaya hadi kufa kuisema Hamas vibaya!

Au nikuulize unaweza kuweka hata picha ya Maandamano Saudia kuonyesha wakiiunga mkono Hamas! Wako Wasaudia wengi tu wana support Hamas! Lakini serikali yao haitaki fellings hizo ziwe wazi! Hapo ndipo unapoona tofauti ya tawala za Waarabu na Israel!

Nadhani unajua nini kilicho wapata watu wa Syria kumpinga Assad, Israel watu wana uhuru wa kumpinga Netanyau, hata kumfikisha Mahakama! Je mnaweza hayo Gaza!

Uwe unafakari kidogo kabla hujaleta hoja! Israel kuna magezeti mengi ya upinzani, yenye mitazamo tofauti tofauti! Wengine hawakubaliani kabisa na vita hivi! Mengine ni more radical, wanataka waitawale tena Gaza! Hapo ndipo unapoona demokrasia inapofanya kazi! Hivyo hakuna jipya unalolileta!

Mkuu huwa nakuamini kwasababu huwa unaelezaga mambo ya hakika na sio udaku.
1)Kufanya assassination attempt ni jambo ambalo sio rahisi mtu kuzuia.
Hao Hamas mara kibao huingia Israel na kuua askari wa Israel na kutoroka na mara nyingi hawakamatwi.
2)Rais wa Iran hajauliwa na Israel hili lilishazungumzwa usiongope kaka.
3)Shambulio lililofanywa na Israel dhidi ya Iran lina limited damage,yani madhara ni madogo kuliko ukubwa wa shambulio,tena hata satellite image zilizoletwa vyombo vya habari ikiwemo BBC vinasema havioneshi vivid evidence ya shambulizi.
Inamaana shambulio ni failure.

Twende kwenye mada kwanini Israel amuogope Iran.
1)2006 aliyeisaidia Hizbollah kumtembezea kichapo Israel pale Jubeir ni Iran,inamaana pasi na Iran kumuunga mkono Hizbollah ingekua ngumu kumsukuma Israel nje ya Lebanon.
2)Vita ya Yemen kuanzia 2013-2021 mfadhili wa Houthi ambayo ilikua inapigana na nchi kamili Saudi arabia na vikundi kama Al qaeda ni Iran.
Aliyefanya Houthi ikasimama na kushinda ni Iran.
3)Aliyeifadhili Houthi kuiteka red sea ukanda wa Baab Al mandib ni Iran.
Unadhani ile meli ya Israel ilitekwa kiwepesi kama sio kwa msaada wa Iran ndani ya Houthi!?
4)Embu tukumbushie retaliation ya Iran dhidi ya Israel kwa mashambulizi ya Promise 1 April na Promise 2 October 1,kila mtu aliona miji ya Israel ikichomeka moto kwa mashambulizi ya makombora ya Iran ndani ya Israel,sio kama shambulizi la kitoto na kipropaganda la Israel ambalo HAKUNA USHAHIDI WA UHARIBIFU ULIOTOKA.
5)Tuje kwa Hizbollah ambao wamerusha makombora Kaskazini mwa Israel na kuwafanya wakaazi zaidi ya laki tatu wahame Kaskazini na kuhamia kanda ya kati na kusini,silaha walizotumia ni Iranian made.
Kipindi Iran ina base pale Syria kabla ya Assad kuanguka Israel hajawahi kukiuka makubaliano ya buffer zone na kujitanua zaidi pale Gollan,ila baada ya Assad kuenguliwa na Iran kuondoa majeshi Israel akapata upenyo.
Tena akiongezea kuwa new regime ikitaka uhasama uongezeke basi iruhusu Iran iwe na uhusiano wa kidiplomasia na wao.
Ili wawe marafiki wasiwe na urafiki na Iran,je hapo hamuogopi?

Hapo bado unataka kusema Israel hamuogopi Iran!???
Mkuu umeongea kiwepesi sana aisee kiasi mengi ni factless nisamehe kama nimekosea kusema hiloi
 
Mkuu huwa nakuamini kwasababu huwa unaelezaga mambo ya hakika na sio udaku.
1)Kufanya assassination attempt ni jambo ambalo sio rahisi mtu kuzuia.
Hao Hamas mara kibao huingia Israel na kuua askari wa Israel na kutoroka na mara nyingi hawakamatwi.
2)Rais wa Iran hajauliwa na Israel hili lilishazungumzwa usiongope kaka.
3)Shambulio lililofanywa na Israel dhidi ya Iran lina limited damage,yani madhara ni madogo kuliko ukubwa wa shambulio,tena hata satellite image zilizoletwa vyombo vya habari ikiwemo BBC vinasema havioneshi vivid evidence ya shambulizi.
Inamaana shambulio ni failure.

Twende kwenye mada kwanini Israel amuogope Iran.
1)2006 aliyeisaidia Hizbollah kumtembezea kichapo Israel pale Jubeir ni Iran,inamaana pasi na Iran kumuunga mkono Hizbollah ingekua ngumu kumsukuma Israel nje ya Lebanon.
2)Vita ya Yemen kuanzia 2013-2021 mfadhili wa Houthi ambayo ilikua inapigana na nchi kamili Saudi arabia na vikundi kama Al qaeda ni Iran.
Aliyefanya Houthi ikasimama na kushinda ni Iran.
3)Aliyeifadhili Houthi kuiteka red sea ukanda wa Baab Al mandib ni Iran.
Unadhani ile meli ya Israel ilitekwa kiwepesi kama sio kwa msaada wa Iran ndani ya Houthi!?
4)Embu tukumbushie retaliation ya Iran dhidi ya Israel kwa mashambulizi ya Promise 1 April na Promise 2 October 1,kila mtu aliona miji ya Israel ikichomeka moto kwa mashambulizi ya makombora ya Iran ndani ya Israel,sio kama shambulizi la kitoto na kipropaganda la Israel ambalo HAKUNA USHAHIDI WA UHARIBIFU ULIOTOKA.
5)Tuje kwa Hizbollah ambao wamerusha makombora Kaskazini mwa Israel na kuwafanya wakaazi zaidi ya laki tatu wahame Kaskazini na kuhamia kanda ya kati na kusini,silaha walizotumia ni Iranian made.
Kipindi Iran ina base pale Syria kabla ya Assad kuanguka Israel hajawahi kukiuka makubaliano ya buffer zone na kujitanua zaidi pale Gollan,ila baada ya Assad kuenguliwa na Iran kuondoa majeshi Israel akapata upenyo.
Tena akiongezea kuwa new regime ikitaka uhasama uongezeke basi iruhusu Iran iwe na uhusiano wa kidiplomasia na wao.
Ili wawe marafiki wasiwe na urafiki na Iran,je hapo hamuogopi?

Hapo bado unataka kusema Israel hamuogopi Iran!???
Mkuu umeongea kiwepesi sana aisee kiasi mengi ni factless nisamehe kama nimekosea kusema hilo.
Nakuelewa sana mkuu, madhara na hatua walizo zifanya Houthi wala sio jambo la mjadara, linajulikana. Mwaka jana nilikua nafanyia kazi taasisi fulani ya nje ya nchi na imekua inaagiza vitu kadhaa overseas. Vitu kutoka China vilikua vinafika salama, vitu kutoka Ulaya through Suez canal imekua shida kubwa kwasababu ya Houth, jamaa wamekua wanateka meli nk, baadhi ya meli ziliazimia kupita kupitia bahari ya Atlantic to South Africa then wanakuja bahari ya Hindi. So madhara ya Houth sio jambo la mjadara, linajulikana na ni kweli kwamba Iran ndio amekua ana finance kila kitu kwao; well kwa mazingira ya Iran na wasaidizi wake unadhani bado ana jeuri hiyo? Russia sidhani kama yupo interested with them anymore, Syria ndio hiyo, kabaki Iran in his own, China kigeu get, hatabiriki. So usiitegemee Iran katika hili, uchumi wake umeyumba sana
 
Kuandika kwenyewe mtihani halafu unaijibu hoja iliyokushinda ujazo.
Kama Iran wapo free Ayatollah ni kama nani pale? Ana majukumu gani? Na je mamlaka ya Ayatollah na Rais wa Israel yanafanana?
Nyie mizwazwa ndio mlivo akili ndogo lkn unajiona naww mjuaji ukitoka apo unaenda kuuziwa udongo !!! Kwani kunatofauti gani kati ya Iran na iyo Israel Iran aina Waziri mkuu lkn ina Rais ambae ndio mtendaji na ina kiongozi mkuu uyu sio mtendaji lkn Rais anakuwa mdogo kwake kuna baadhi ya nyakati. Tu Nipe ww tofaut apo Israel kuna Waziri mkuu ambae nae ndio mtendaji lkn pia kuna Rais ambae nae sio mtendaji lkn kuna wakati uyu Rais anakuwa mkubwa wa Waziri mkuu sasa tofaut ipo wapi!!!!
 
Telaviv imepigwa tena na Wayemen mji wa Mashoga akuna kulala ni mpelampela tu adi warudi kwa mashoga wenzao Wa Ulaya mje ardhi ya yawatu na mlete mambo ya kufukuana mitalo. Hooo TAIFA teule uteule upo wapi wananchi wanalala kwenye mashimo kama Panya.
 
Kila baada ya siku 5 au 7 watu wanakimbizana na panya kwenye mashimo!! Afu utasikia eti awa ndio Taifa teule hoooo utasikia ndio binadam wenye akili zaid Akili ipi izi zakulala kwenye mashimo kama mipanya mipambio ya kipumbavu kabisa. Badala waisifu Iran akili kubwa wenyewe awalali kwenye mashimo zaid Iran inapeleka vita mbali na kwake wao wairani wanalala nyumbni vizuli lkn uyouyo Muiran anaakikisha zayuni alali kwa aman. Lkn hiii mizwazwa yetu mzigo kwa Taifa utasikia bado wana wapamba na kudai eti ndio wenyeakili sie yetu macho. Akili izo mkose nyinyi wananunua udongo ndio apewe Taifa la mashoga!!!
 
Sasa Yemen ameutakq moto hao hawajafa wakejeruhiwa tu,subiri Sanaa inakenda kuwa majivu
Zayuni wa wa ukala umechafukwa.upo ndugu Telaviv imepigwa tena juma3 kuakia juma4 ni moto tu adi tena vitu Live sio mipasho yenu ohh Iran kapigwa Iran kapigwa akuna ushahidi wowote na watu wote waliona Anga la Iran lilivozuiya ilo shambulizi. Lkn ndio ivyo sasa mmeamua kulpiga nyinyi Iran kutumia propaganda!!! Kazi kwelikweli!!
 
Back
Top Bottom