Yemen inalazimisha meli za Israel kuzunguka Afrika kupata hasara kubwa ya kiuchumi

Yemen inalazimisha meli za Israel kuzunguka Afrika kupata hasara kubwa ya kiuchumi

Ritz

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2011
Posts
51,303
Reaction score
40,190
Wanaukumbi.

ISRAELI WAPATA CHANGAMOTO YA USAFIRI 🇮🇱🇵🇸

Akifanyiwa mahojiano kupitia kituo cha redio cha 104 cha Israeli, Kamanda wa zamani wa Jeshi la Wanamaji la Israeli, Eliezer Merom alisema kwamba,

"Israeli iko chini ya kizuizi cha majini. Kwa sasa inapata changamoto kubwa ya usafirishaji wa meli kutoka Bahari ya Shamu hadi Israeli kutokana na kufungwa kwa njia hiyo”

Merom aliendelea kwa kusisitiza kuwa,

Uwepo wa Vizuizi vya Majini vitaathiri uchumi mzima wa Israeli, jambo ambalo litasababisha bidhaa zinazoagizwa kutoka nje ya Israeli zitapanda bei kwa kiasi kikubwa.

Vikundi vya upinzani kutoka mataifa ya Yemeni na Lebanoni vimekuwa vikiziteka meli za wamiliki wa Israeli ambazo zinapita kwenye njia ya bahari Shamu.

Kwa kuwa sehemu kubwa ya uzalishaji wa bidhaa mbalimbali za Israeli hutegemea malighafi kutoka mataifa ya Mashariki ya mbali,

Uchelewashaji wa bidhaa hizo kuingia nchini Israeli utasababisha upungufu wa bidhaa hizo na mwishowe kupanda kwa bei katika masoko yao ya ndani.

Yemen inalazimisha meli za Israel kuzunguka Afrika na kupata hasara ya Mabilioni ya dola ni hasara safari inakuwa ndefu Israel anaomba msaada kutoka Nato na Japan pia Iran kasema hataki kuona meli zozote kwenye karibu na eneo lake atazishambulia kwa ajili ya usalama wake.
 

Attachments

  • IMG_7867.jpeg
    IMG_7867.jpeg
    74.5 KB · Views: 7
Magaidi mtasema yote mwaka huu,irael sio ya kuichezea mtaisha.

Wahouthi wa Yemen walitishia meli zote zinazoelekea Israel, bila kujali utaifa wao, na kuonya kampuni zote za kimataifa za meli dhidi ya kushughulika na bandari za Israeli.

"Ikiwa Gaza haitapokea chakula na dawa inayohitaji, meli zote za Bahari Nyekundu zinazoelekea bandari za Israeli, bila kujali utaifa wao, zitakuwa shabaha ya jeshi letu," msemaji huyo alisema katika taarifa.
 
Wanaukumbi.

ISRAELI WAPATA CHANGAMOTO YA USAFIRI [emoji1134][emoji1193]

Akifanyiwa mahojiano kupitia kituo cha redio cha 104 cha Israeli, Kamanda wa zamani wa Jeshi la Wanamaji la Israeli, Eliezer Merom alisema kwamba,

"Israeli iko chini ya kizuizi cha majini. Kwa sasa inapata changamoto kubwa ya usafirishaji wa meli kutoka Bahari ya Shamu hadi Israeli kutokana na kufungwa kwa njia hiyo”

Merom aliendelea kwa kusisitiza kuwa,

Uwepo wa Vizuizi vya Majini vitaathiri uchumi mzima wa Israeli, jambo ambalo litasababisha bidhaa zinazoagizwa kutoka nje ya Israeli zitapanda bei kwa kiasi kikubwa.

Vikundi vya upinzani kutoka mataifa ya Yemeni na Lebanoni vimekuwa vikiziteka meli za wamiliki wa Israeli ambazo zinapita kwenye njia ya bahari Shamu.

Kwa kuwa sehemu kubwa ya uzalishaji wa bidhaa mbalimbali za Israeli hutegemea malighafi kutoka mataifa ya Mashariki ya mbali,

Uchelewashaji wa bidhaa hizo kuingia nchini Israeli utasababisha upungufu wa bidhaa hizo na mwishowe kupanda kwa bei katika masoko yao ya ndani.

Yemen inalazimisha meli za Israel kuzunguka Afrika na kupata hasara ya Mabilioni ya dola ni hasara safari inakuwa ndefu Israel anaomba msaada kutoka Nato na Japan pia Iran kasema hataki kuona meli zozote kwenye karibu na eneo lake atazishambulia kwa ajili ya usalama wake.
Ningetaman sana na Algeria naye awake kizuiz pale giberrta
 
Ningetaman sana na Algeria naye awake kizuiz pale giberrta
Kampuni za usafirishaji hazingojei kikosi kazi kama hicho cha kimataifa na kwa wakati huo zimeelekeza meli zao nyingi mbali na Bahari Nyekundu na Mfereji wa Suez na kuzunguka ncha ya kusini mwa Afrika badala yake - na kuongeza kilomita 13,000 na siku 10-14 kwa ratiba yao na kupanda juu. gharama ya mizigo kwenye meli.
 
Ukitaka kummaliza mtu damage his pockets
Yaani hawa vijana nawakubali tena wapo wale walioteka meli zaidi ya 360 tena ndugu wa damu, wangewasaidia tu

Mbwa hao mashoga mwaka huu na taifa lao teule la mashoga lazima washike adabu

Wazunguke tu mpaka wapate kizunguzungu
 
Attention seeking mbaya sana. Bahati nzuri wamepuuzwa
Vyombo vya habari vya kimataifa vya usafirishaji vinaripoti kwamba meli ya makontena ya ZIM Europe, ambayo ilikusudiwa kusafiri kuelekea mashariki kupitia Mfereji wa Suez, tayari imepitia tena Rasi ya Good Hope kutoka Afrika Kusini, na kuongeza maelfu ya kilomita kwenye safari yake.

Labda wewe ndiyo umewapuuza😂
 
Waisrael wa Makambako na Bonyokwa wengi hawafahamu mziki wa Yemen utasikia ohooo!! yemen masikini hawa wapewe kichapo, leo hii mabwana zao wanazunguka Africa
Sasa Israel inamalizana na HAMAS, baada hapo itawageukia hao Yemen. Ila wakianza kutandikwa usije humu kulialia
 
Vyombo vya habari vya kimataifa vya usafirishaji vinaripoti kwamba meli ya makontena ya ZIM Europe, ambayo ilikusudiwa kusafiri kuelekea mashariki kupitia Mfereji wa Suez, tayari imepitia tena Rasi ya Good Hope kutoka Afrika Kusini, na kuongeza maelfu ya kilomita kwenye safari yake.

Labda wewe ndiyo umewapuuza😂 POLE MKUU,HAMAS WANATANDIKWA KULE NA NGUO WANAVULIWA
 
Wanaukumbi.

ISRAELI WAPATA CHANGAMOTO YA USAFIRI 🇮🇱🇵🇸

Akifanyiwa mahojiano kupitia kituo cha redio cha 104 cha Israeli, Kamanda wa zamani wa Jeshi la Wanamaji la Israeli, Eliezer Merom alisema kwamba,

"Israeli iko chini ya kizuizi cha majini. Kwa sasa inapata changamoto kubwa ya usafirishaji wa meli kutoka Bahari ya Shamu hadi Israeli kutokana na kufungwa kwa njia hiyo”

Merom aliendelea kwa kusisitiza kuwa,

Uwepo wa Vizuizi vya Majini vitaathiri uchumi mzima wa Israeli, jambo ambalo litasababisha bidhaa zinazoagizwa kutoka nje ya Israeli zitapanda bei kwa kiasi kikubwa.

Vikundi vya upinzani kutoka mataifa ya Yemeni na Lebanoni vimekuwa vikiziteka meli za wamiliki wa Israeli ambazo zinapita kwenye njia ya bahari Shamu.

Kwa kuwa sehemu kubwa ya uzalishaji wa bidhaa mbalimbali za Israeli hutegemea malighafi kutoka mataifa ya Mashariki ya mbali,

Uchelewashaji wa bidhaa hizo kuingia nchini Israeli utasababisha upungufu wa bidhaa hizo na mwishowe kupanda kwa bei katika masoko yao ya ndani.

Yemen inalazimisha meli za Israel kuzunguka Afrika na kupata hasara ya Mabilioni ya dola ni hasara safari inakuwa ndefu Israel anaomba msaada kutoka Nato na Japan pia Iran kasema hataki kuona meli zozote kwenye karibu na eneo lake atazishambulia kwa ajili ya usalama wake.
In Sha Allah waislam watakuwa washindi katika hii vita dhidi ya Wayahudi na manaswari
 
Ningetaman sana na Algeria naye awake kizuiz pale giberrta
Naona hili ndio ambalo iran analitafta sasa kutokea algeria
Maana jana mawaziri wa mambo ya nje wa Algiers na Tehran waliteta
Ila niliwaza kama wewe naomba nao jamaa watie pini pale
Wakiwa na huu ujasiri aisee tutatshuhudia magezi makubwa sana kwa Palestine
Ila Algeria hawaaminiki
 
Kuna watu hapa walituaminisha kwamba kampuni za bima zitalipia hizo hasara za hizo meli
Haya sasa bima zimesitisha malipo ama imekuaje
Houthi kundi teule
Bima wameyambia makampuni hawalipi bima sehemu hatarishi ndiyo maana makampuni yanazunguka.
Mwishoni mwa Novemba ZIM ilielekeza upya meli ya kontena ya Ulaya, ambayo inaweza kubeba hadi makontena 5,600, baada ya kuondoka Boston kwenye pwani ya mashariki ya Marekani kuelekea Malaysia. Badala ya kusafiri kupitia Bahari ya Mediterania na Mfereji wa Suez, meli ilirudi nyuma kutoka pwani ya Algeria na badala yake itazunguka Afrika
 
Wahouthi wa Yemen walitishia meli zote zinazoelekea Israel, bila kujali utaifa wao, na kuonya kampuni zote za kimataifa za meli dhidi ya kushughulika na bandari za Israeli.

"Ikiwa Gaza haitapokea chakula na dawa inayohitaji, meli zote za Bahari Nyekundu zinazoelekea bandari za Israeli, bila kujali utaifa wao, zitakuwa shabaha ya jeshi letu," msemaji huyo alisema katika taarifa.
Bahari ya Shamu sio bahari nyekundu.
 
Hao Yemen wanajitia kidole wananusa wanapiga chafya.
Watapigwa siku moja tu walie km mbwa mwitu
 
Back
Top Bottom