Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 51,303
- 40,190
- Thread starter
- #41
🚨🇾🇪 BREAKING: Tukio jingine katika Bahari Nyekundu, wanajeshi wa Yemen walilenga meli chini ya bendera ya Liberia (inayomilikiwa na Ujerumani) kwa sababu ilipuuza maonyo yote ya Yemen. Moto ulizuka kwenye meli.
Meli nyingine inaonekana iliagizwa kubadili njia kuelekea Yemen.
Wanaambiwa geuza meli wanaleta ubishi.
Meli nyingine inaonekana iliagizwa kubadili njia kuelekea Yemen.
Wanaambiwa geuza meli wanaleta ubishi.