Yericko: Makonda Aitwe Bungeni,Tuhuma za Kesi ya Uhaini ya mawaziri, Na Generali Mobeyo Aitwe kueleza Bunge ukweli wa Kesi ya uhaini Uliofanyika 2021

Yericko: Makonda Aitwe Bungeni,Tuhuma za Kesi ya Uhaini ya mawaziri, Na Generali Mobeyo Aitwe kueleza Bunge ukweli wa Kesi ya uhaini Uliofanyika 2021

DR Mambo Jambo

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2012
Posts
11,622
Reaction score
26,005
Anaandika Yericko Nyerere

Wengi mmeomba nitoe maoni yangu kuhusu kauli za mtu anayejiita Paulo Makonda kwamba kuna mawazi wanawalipa watu ili kumtuna Rais na kwamba mawaziri hao wana wawatu nyuma ambao ni watu wa kuheshimika katika nchi.

Kabla sijazungumzia kauli hiyo naomba niwarejeshe kwenye kauli ya Mkuu wa Majeshi Mstaafu General Mabeyo kwamba kuna watu walitaka Makamu Rais asiapishwe, Kauli hii hadi leo haijajibiwa ni akina nani hao walioleta mabishano ya kikatiba hadi Jeshi likasimamia Katiba? Kimantiki na ushahidi wa mazingira ni wale waliokuwa mdarakani baada ya Hayati Magufuli kufariki, sasa ukimtoa makamu Rais, anayefuatia ni Waziri Mkuu, Spika wa Bunge na Jaji Mkuu, hawa ndio viongozi waliokuwa katika madaraka kikatiba na kisheria baada ya Rais kufariki.

Swali halijajibiwa nani alipinga Katiba kutekelezwa ili makamu rais asiapishwe? Lakini swali lingine muhimu linaibuka, Nani alikuwa nyuma ya Mabeyo akaamrisha katiba ifuatwe na kwamba Makamu Rais aapishwe amalizie muhula wake wa 5? Tukimjua huyu basi tuhoji muhula wa 5 upo au Samia amebadilisha na sasa anajiita wa muhula wa 6 ambapo anataka akaumalize 2030 kama nyimbo zinavyoimbwa? Tukijua hapa huu ndio mzizi wa ugomvi mkubwa wa kisiasa ndani ya CCM. Ifahamike huu ni ugomvi wa ccm sasa wanaoshindwa vita wanauleta nje uwe ugomvi wa Taifa. Tukatae! Kwanza Binafsi sioni logic ya Rais kutukanwa ikawa agenda ya kitaifa ikaandaliwa jukwaa lililosahaulika 40yrs, Waseme vizuri kuna makubwa zaidi ya hilo.

Majibu ya hapo juu ndio yanatupa fursa ya kujua mengi zaidi baada ya kauli ya Makonda, Swali moja tu jiulize kwa miaka 40 hatujawahi kuwa na siku ya maadhimisho ya kifo cha Sokoine, lakini ghafla bin vuu, Serikali nzima na vyombo vya ulinzi wamebuni tukio hili ambalo msingi wake umekuwa kujibu mapigo na kuwatishia wanaotishia nafasi zao. Rejea taarifa ya ikulu iliyotolewa mapema yaani saa moja kabla hata shughuli ya maadhimisho hayo haijaanza. Hii inatafsiri kwamba Maadhimisho ya kifo cha Sokoine ilikuwa kusaka jukwaa tu la kujibu vita vikali ndani ya ccm kuelekea 2025 ambayo kikatiba ndani yw ccm watu watu wote wanaruhusiwa kugombea, yaani hakuna kitu kinaitwa awamu, Awamu ya Tano ya Rais hayati Magufuli, Rais Samia anaimaliza October 2025.

Sasa turudi kwenye uhalisia ingekuwa kweli ni ugomvi wa kiinch kama Makonda anavyotaka umma ujue, Basi Makonda leo angekuwa kizuizini kwa kesi ya UHAINI, yes unaweza usinielewe, lakini Kauli ya Makonda inaangukia kwenye kuunda kosa la uhaini kwamjibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ibara ya 54 (3). Ibara hii inatamka wazi kwamba chombo KIKUU cha Kumshauri rais ni Baraza la Mawaziri, Sasa Baraza la Mawaziri linatuhumiwa kumtukana Rais na anayewatuhumu ni mteule wa Rais mbele ya Rais, Huo ni Uhaini. IGP yupo, DGIS yupo, CDF yupo, wanataka hadi rais wetu adhuriwe ndio wanze kuunda tume za uchunguzi?

Kwanini Vyombo hivi havijamuita CDF mstaafu aseme watu waliokuwa wakigoma Makamu Rais asiapishwe kuwa Rais baada ya Rais kufariki Dunia? Hawa tukiwapata ndio mzizi wa haya yote. Kwanini hata Bunge liko Kimya halijamwita CDF Mstaafu limhoji ikiwa Bunge ndio chombo kikuu cha kuisimamia Serikali? Tutegemee Bunge litamwita Makonda limhoji? Lakini swali lingine kwa Rais Samia, wewe si mgeni kwa Makonda, amekuwa ni mtu wa kutuhumu na kuchafua viongozi wa kisiasa na wafanyabiashara wakubwa tangu akiwa mtoto huko UVCCM, na tuhuma zake hazijawahi kuthibitishwa popote, kitendo cha kumrejesha katika mfumo mtu ambae ana rekodi mbaya ya kidunia haya ndio matunda unayovuna, Atakugombanisha na Wanaccm wenzako hadi utajikuta 2025 unaenda jumba la wastasfu kule Kizimkazi bila kuamini.

Rais Samia, una mtihani mgumu sana mbele yako ambao wewe ndio umeutengeneza bila kujua au kwakujua, Umejizibia njia kwakumletw Makonda ambae 98% ya Wenye CCM hawamtaki kuanzia Kizimkazi hadi Chamwino, Makonda amefanikiwa kukuaminisha kuwa yeye ni turufu kwako ukaondoa ccm nzuri uliyoisuka baada ya kushika urais na sasa unakwenda na ccm ya kimakondamakonda ambayo ushindi wake unategemea zaidi Bunduki, Swali kwako Rais Samia, Uko tayari kuupata ushindi wa damu 2025 chini ya Makonda?

Mwambie Makonda aseme hao watu wanaoheshimika nchini ambao wapo nyuma ya mawaziri ni akina nani? Nchi hii baada ya Mwinyi, Mkapa na Magufuli kuondoka mtu “mkubwa” wakuheshimika anayeijua nchi nje ndani ni Rais Mstaafu Jakaya Kikwete. Sasa alieleze taifa kama ni huyu kiongozi wetu mstaafu anawatuma hao mawaziri au ni porojo zake tu zinazohatarisha taifa.

Mimi nakutahadharisha Mheshimiwa Rais dhidi ya Makonda, huyu ana kublackmail hadharani na sirini. Alifanikiwa kwa Hayati Magufuli akamtia hofu sana, Magufuli akawa Rais Dikteta asiye na mfano, akaumiza watu wengi sana, Baada alikuja kustuka lakini akiwa ameshachelewa jini likiwa lishatoka katika chupa likizagaa Kigamboni likitaka ubunge ndipo akambwaga mazima! Leo umemuokota umemrudisha kwenye mfumo, Tabia haibadili ni kama ngozi! Watch it! narudia Watch it!
 
Anaandika Yericko Nyerere

Wengi mmeomba nitoe maoni yangu kuhusu kauli za mtu anayejiita Paulo Makonda kwamba kuna mawazi wanawalipa watu ili kumtuna Rais na kwamba mawaziri hao wana wawatu nyuma ambao ni watu wa kuheshimika katika nchi.

Kabla sijazungumzia kauli hiyo naomba niwarejeshe kwenye kauli ya Mkuu wa Majeshi Mstaafu General Mabeyo kwamba kuna watu walitaka Makamu Rais asiapishwe, Kauli hii hadi leo haijajibiwa ni akina nani hao walioleta mabishano ya kikatiba hadi Jeshi likasimamia Katiba? Kimantiki na ushahidi wa mazingira ni wale waliokuwa mdarakani baada ya Hayati Magufuli kufariki, sasa ukimtoa makamu Rais, anayefuatia ni Waziri Mkuu, Spika wa Bunge na Jaji Mkuu, hawa ndio viongozi waliokuwa katika madaraka kikatiba na kisheria baada ya Rais kufariki.

Swali halijajibiwa nani alipinga Katiba kutekelezwa ili makamu rais asiapishwe? Lakini swali lingine muhimu linaibuka, Nani alikuwa nyuma ya Mabeyo akaamrisha katiba ifuatwe na kwamba Makamu Rais aapishwe amalizie muhula wake wa 5? Tukimjua huyu basi tuhoji muhula wa 5 upo au Samia amebadilisha na sasa anajiita wa muhula wa 6 ambapo anataka akaumalize 2030 kama nyimbo zinavyoimbwa? Tukijua hapa huu ndio mzizi wa ugomvi mkubwa wa kisiasa ndani ya CCM. Ifahamike huu ni ugomvi wa ccm sasa wanaoshindwa vita wanauleta nje uwe ugomvi wa Taifa. Tukatae! Kwanza Binafsi sioni logic ya Rais kutukanwa ikawa agenda ya kitaifa ikaandaliwa jukwaa lililosahaulika 40yrs, Waseme vizuri kuna makubwa zaidi ya hilo.

Majibu ya hapo juu ndio yanatupa fursa ya kujua mengi zaidi baada ya kauli ya Makonda, Swali moja tu jiulize kwa miaka 40 hatujawahi kuwa na siku ya maadhimisho ya kifo cha Sokoine, lakini ghafla bin vuu, Serikali nzima na vyombo vya ulinzi wamebuni tukio hili ambalo msingi wake umekuwa kujibu mapigo na kuwatishia wanaotishia nafasi zao. Rejea taarifa ya ikulu iliyotolewa mapema yaani saa moja kabla hata shughuli ya maadhimisho hayo haijaanza. Hii inatafsiri kwamba Maadhimisho ya kifo cha Sokoine ilikuwa kusaka jukwaa tu la kujibu vita vikali ndani ya ccm kuelekea 2025 ambayo kikatiba ndani yw ccm watu watu wote wanaruhusiwa kugombea, yaani hakuna kitu kinaitwa awamu, Awamu ya Tano ya Rais hayati Magufuli, Rais Samia anaimaliza October 2025.

Sasa turudi kwenye uhalisia ingekuwa kweli ni ugomvi wa kiinch kama Makonda anavyotaka umma ujue, Basi Makonda leo angekuwa kizuizini kwa kesi ya UHAINI, yes unaweza usinielewe, lakini Kauli ya Makonda inaangukia kwenye kuunda kosa la uhaini kwamjibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ibara ya 54 (3). Ibara hii inatamka wazi kwamba chombo KIKUU cha Kumshauri rais ni Baraza la Mawaziri, Sasa Baraza la Mawaziri linatuhumiwa kumtukana Rais na anayewatuhumu ni mteule wa Rais mbele ya Rais, Huo ni Uhaini. IGP yupo, DGIS yupo, CDF yupo, wanataka hadi rais wetu adhuriwe ndio wanze kuunda tume za uchunguzi?

Kwanini Vyombo hivi havijamuita CDF mstaafu aseme watu waliokuwa wakigoma Makamu Rais asiapishwe kuwa Rais baada ya Rais kufariki Dunia? Hawa tukiwapata ndio mzizi wa haya yote. Kwanini hata Bunge liko Kimya halijamwita CDF Mstaafu limhoji ikiwa Bunge ndio chombo kikuu cha kuisimamia Serikali? Tutegemee Bunge litamwita Makonda limhoji? Lakini swali lingine kwa Rais Samia, wewe si mgeni kwa Makonda, amekuwa ni mtu wa kutuhumu na kuchafua viongozi wa kisiasa na wafanyabiashara wakubwa tangu akiwa mtoto huko UVCCM, na tuhuma zake hazijawahi kuthibitishwa popote, kitendo cha kumrejesha katika mfumo mtu ambae ana rekodi mbaya ya kidunia haya ndio matunda unayovuna, Atakugombanisha na Wanaccm wenzako hadi utajikuta 2025 unaenda jumba la wastasfu kule Kizimkazi bila kuamini.

Rais Samia, una mtihani mgumu sana mbele yako ambao wewe ndio umeutengeneza bila kujua au kwakujua, Umejizibia njia kwakumletw Makonda ambae 98% ya Wenye CCM hawamtaki kuanzia Kizimkazi hadi Chamwino, Makonda amefanikiwa kukuaminisha kuwa yeye ni turufu kwako ukaondoa ccm nzuri uliyoisuka baada ya kushika urais na sasa unakwenda na ccm ya kimakondamakonda ambayo ushindi wake unategemea zaidi Bunduki, Swali kwako Rais Samia, Uko tayari kuupata ushindi wa damu 2025 chini ya Makonda?

Mwambie Makonda aseme hao watu wanaoheshimika nchini ambao wapo nyuma ya mawaziri ni akina nani? Nchi hii baada ya Mwinyi, Mkapa na Magufuli kuondoka mtu “mkubwa” wakuheshimika anayeijua nchi nje ndani ni Rais Mstaafu Jakaya Kikwete. Sasa alieleze taifa kama ni huyu kiongozi wetu mstaafu anawatuma hao mawaziri au ni porojo zake tu zinazohatarisha taifa.

Mimi nakutahadharisha Mheshimiwa Rais dhidi ya Makonda, huyu ana kublackmail hadharani na sirini. Alifanikiwa kwa Hayati Magufuli akamtia hofu sana, Magufuli akawa Rais Dikteta asiye na mfano, akaumiza watu wengi sana, Baada alikuja kustuka lakini akiwa ameshachelewa jini likiwa lishatoka katika chupa likizagaa Kigamboni likitaka ubunge ndipo akambwaga mazima! Leo umemuokota umemrudisha kwenye mfumo, Tabia haibadili ni kama ngozi! Watch it! narudia Watch it!
Naunga mkono hoja za Yericko, lakini kuhusu Sokoine nadhani NI Kwa sababu ametimiza miaka 40.

Mara nyingi anniversary hazifanyiki kila mwaka.
 
Ccm wana namna yao wanavyoendesha mambo yao,ukitaka kuwaelewa au ukitaka wafanye jambo kama ambavyo utaratibu unaeleweka kwa kila mtu utapoteza muda bure.

Ndani ya CCM unaweza kurupuka tu kama mwehu asubuhi,ukadai rais anataka kupinduliwa na mambo yakaisha hivyo hivyo😁😁,hata police bawawezi kuomba muongozo zaidi wa madai yako,achia mbali kukuhoji.
 
Naunga mkono hoja za Yericko, lakini kuhusu Sokoine nadhani NI Kwa sababu ametimiza miaka 40.

Mara nyingi anniversary hazifanyiki kila mwaka.
huyu sijui labda ana hoja lakini uandishi wake hauna taste nzuri,kuna jamaa yangu alinunua kitabu chake niligusa page moja tu nikaishia hapo hapo,hili andiko nimesoma mpaka kati,hoja unaiona,ila taste ya uandishi kukuvutia uendelee kusoma hamna.
 
Ccm wana namna yao wanavyoendesha mambo yao,ukitaka kuwaelewa au ukitaka wafanye jambo kama ambavyo utaratibu unaeleweka kwa kila mtu utapoteza muda bure.

Ndani ya CCM unaweza kurupuka tu kama mwehu asubuhi,ukadai rais anataka kupinduliwa na mambo yakaisha hivyo hivyo😁😁,hata police bawawezi kuomba muongozo zaidi wa madai yako,achia mbali kukuhoji.
Upinzani nao wanaruhusiwa kuendesha mambo yao hivyo??
 
W
Anaandika Yericko Nyerere

Wengi mmeomba nitoe maoni yangu kuhusu kauli za mtu anayejiita Paulo Makonda kwamba kuna mawazi wanawalipa watu ili kumtuna Rais na kwamba mawaziri hao wana wawatu nyuma ambao ni watu wa kuheshimika katika nchi.

Kabla sijazungumzia kauli hiyo naomba niwarejeshe kwenye kauli ya Mkuu wa Majeshi Mstaafu General Mabeyo kwamba kuna watu walitaka Makamu Rais asiapishwe, Kauli hii hadi leo haijajibiwa ni akina nani hao walioleta mabishano ya kikatiba hadi Jeshi likasimamia Katiba? Kimantiki na ushahidi wa mazingira ni wale waliokuwa mdarakani baada ya Hayati Magufuli kufariki, sasa ukimtoa makamu Rais, anayefuatia ni Waziri Mkuu, Spika wa Bunge na Jaji Mkuu, hawa ndio viongozi waliokuwa katika madaraka kikatiba na kisheria baada ya Rais kufariki.

Swali halijajibiwa nani alipinga Katiba kutekelezwa ili makamu rais asiapishwe? Lakini swali lingine muhimu linaibuka, Nani alikuwa nyuma ya Mabeyo akaamrisha katiba ifuatwe na kwamba Makamu Rais aapishwe amalizie muhula wake wa 5? Tukimjua huyu basi tuhoji muhula wa 5 upo au Samia amebadilisha na sasa anajiita wa muhula wa 6 ambapo anataka akaumalize 2030 kama nyimbo zinavyoimbwa? Tukijua hapa huu ndio mzizi wa ugomvi mkubwa wa kisiasa ndani ya CCM. Ifahamike huu ni ugomvi wa ccm sasa wanaoshindwa vita wanauleta nje uwe ugomvi wa Taifa. Tukatae! Kwanza Binafsi sioni logic ya Rais kutukanwa ikawa agenda ya kitaifa ikaandaliwa jukwaa lililosahaulika 40yrs, Waseme vizuri kuna makubwa zaidi ya hilo.

Majibu ya hapo juu ndio yanatupa fursa ya kujua mengi zaidi baada ya kauli ya Makonda, Swali moja tu jiulize kwa miaka 40 hatujawahi kuwa na siku ya maadhimisho ya kifo cha Sokoine, lakini ghafla bin vuu, Serikali nzima na vyombo vya ulinzi wamebuni tukio hili ambalo msingi wake umekuwa kujibu mapigo na kuwatishia wanaotishia nafasi zao. Rejea taarifa ya ikulu iliyotolewa mapema yaani saa moja kabla hata shughuli ya maadhimisho hayo haijaanza. Hii inatafsiri kwamba Maadhimisho ya kifo cha Sokoine ilikuwa kusaka jukwaa tu la kujibu vita vikali ndani ya ccm kuelekea 2025 ambayo kikatiba ndani yw ccm watu watu wote wanaruhusiwa kugombea, yaani hakuna kitu kinaitwa awamu, Awamu ya Tano ya Rais hayati Magufuli, Rais Samia anaimaliza October 2025.

Sasa turudi kwenye uhalisia ingekuwa kweli ni ugomvi wa kiinch kama Makonda anavyotaka umma ujue, Basi Makonda leo angekuwa kizuizini kwa kesi ya UHAINI, yes unaweza usinielewe, lakini Kauli ya Makonda inaangukia kwenye kuunda kosa la uhaini kwamjibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ibara ya 54 (3). Ibara hii inatamka wazi kwamba chombo KIKUU cha Kumshauri rais ni Baraza la Mawaziri, Sasa Baraza la Mawaziri linatuhumiwa kumtukana Rais na anayewatuhumu ni mteule wa Rais mbele ya Rais, Huo ni Uhaini. IGP yupo, DGIS yupo, CDF yupo, wanataka hadi rais wetu adhuriwe ndio wanze kuunda tume za uchunguzi?

Kwanini Vyombo hivi havijamuita CDF mstaafu aseme watu waliokuwa wakigoma Makamu Rais asiapishwe kuwa Rais baada ya Rais kufariki Dunia? Hawa tukiwapata ndio mzizi wa haya yote. Kwanini hata Bunge liko Kimya halijamwita CDF Mstaafu limhoji ikiwa Bunge ndio chombo kikuu cha kuisimamia Serikali? Tutegemee Bunge litamwita Makonda limhoji? Lakini swali lingine kwa Rais Samia, wewe si mgeni kwa Makonda, amekuwa ni mtu wa kutuhumu na kuchafua viongozi wa kisiasa na wafanyabiashara wakubwa tangu akiwa mtoto huko UVCCM, na tuhuma zake hazijawahi kuthibitishwa popote, kitendo cha kumrejesha katika mfumo mtu ambae ana rekodi mbaya ya kidunia haya ndio matunda unayovuna, Atakugombanisha na Wanaccm wenzako hadi utajikuta 2025 unaenda jumba la wastasfu kule Kizimkazi bila kuamini.

Rais Samia, una mtihani mgumu sana mbele yako ambao wewe ndio umeutengeneza bila kujua au kwakujua, Umejizibia njia kwakumletw Makonda ambae 98% ya Wenye CCM hawamtaki kuanzia Kizimkazi hadi Chamwino, Makonda amefanikiwa kukuaminisha kuwa yeye ni turufu kwako ukaondoa ccm nzuri uliyoisuka baada ya kushika urais na sasa unakwenda na ccm ya kimakondamakonda ambayo ushindi wake unategemea zaidi Bunduki, Swali kwako Rais Samia, Uko tayari kuupata ushindi wa damu 2025 chini ya Makonda?

Mwambie Makonda aseme hao watu wanaoheshimika nchini ambao wapo nyuma ya mawaziri ni akina nani? Nchi hii baada ya Mwinyi, Mkapa na Magufuli kuondoka mtu “mkubwa” wakuheshimika anayeijua nchi nje ndani ni Rais Mstaafu Jakaya Kikwete. Sasa alieleze taifa kama ni huyu kiongozi wetu mstaafu anawatuma hao mawaziri au ni porojo zake tu zinazohatarisha taifa.

Mimi nakutahadharisha Mheshimiwa Rais dhidi ya Makonda, huyu ana kublackmail hadharani na sirini. Alifanikiwa kwa Hayati Magufuli akamtia hofu sana, Magufuli akawa Rais Dikteta asiye na mfano, akaumiza watu wengi sana, Baada alikuja kustuka lakini akiwa ameshachelewa jini likiwa lishatoka katika chupa likizagaa Kigamboni likitaka ubunge ndipo akambwaga mazima! Leo umemuokota umemrudisha kwenye mfumo, Tabia haibadili ni kama ngozi! Watch it! narudia Watch it!
Wewe Chadema huwezi kumtakia Mh Samia ashinde 2025, eti unamtahadharisha kabisa kuwa akiendelea kumuacha Makonda katika uongozi atashindwa uchaguzi. Kwani nyinyi Chadema mnataka Rais ashinde 2025?
Unatumia fursa ya alichosema
Mskonda kutaka kulipa kisasi kwa Rais kunfukuza kazi Makonda?
Jambo la heri kwa Rais Samia haliwezi kutoka mdomoni mwa kada kindakindaki wa Chade.a.
 
Anaandika Yericko Nyerere

Wengi mmeomba nitoe maoni yangu kuhusu kauli za mtu anayejiita Paulo Makonda kwamba kuna mawazi wanawalipa watu ili kumtuna Rais na kwamba mawaziri hao wana wawatu nyuma ambao ni watu wa kuheshimika katika nchi.

Kabla sijazungumzia kauli hiyo naomba niwarejeshe kwenye kauli ya Mkuu wa Majeshi Mstaafu General Mabeyo kwamba kuna watu walitaka Makamu Rais asiapishwe, Kauli hii hadi leo haijajibiwa ni akina nani hao walioleta mabishano ya kikatiba hadi Jeshi likasimamia Katiba? Kimantiki na ushahidi wa mazingira ni wale waliokuwa mdarakani baada ya Hayati Magufuli kufariki, sasa ukimtoa makamu Rais, anayefuatia ni Waziri Mkuu, Spika wa Bunge na Jaji Mkuu, hawa ndio viongozi waliokuwa katika madaraka kikatiba na kisheria baada ya Rais kufariki.

Swali halijajibiwa nani alipinga Katiba kutekelezwa ili makamu rais asiapishwe? Lakini swali lingine muhimu linaibuka, Nani alikuwa nyuma ya Mabeyo akaamrisha katiba ifuatwe na kwamba Makamu Rais aapishwe amalizie muhula wake wa 5? Tukimjua huyu basi tuhoji muhula wa 5 upo au Samia amebadilisha na sasa anajiita wa muhula wa 6 ambapo anataka akaumalize 2030 kama nyimbo zinavyoimbwa? Tukijua hapa huu ndio mzizi wa ugomvi mkubwa wa kisiasa ndani ya CCM. Ifahamike huu ni ugomvi wa ccm sasa wanaoshindwa vita wanauleta nje uwe ugomvi wa Taifa. Tukatae! Kwanza Binafsi sioni logic ya Rais kutukanwa ikawa agenda ya kitaifa ikaandaliwa jukwaa lililosahaulika 40yrs, Waseme vizuri kuna makubwa zaidi ya hilo.

Majibu ya hapo juu ndio yanatupa fursa ya kujua mengi zaidi baada ya kauli ya Makonda, Swali moja tu jiulize kwa miaka 40 hatujawahi kuwa na siku ya maadhimisho ya kifo cha Sokoine, lakini ghafla bin vuu, Serikali nzima na vyombo vya ulinzi wamebuni tukio hili ambalo msingi wake umekuwa kujibu mapigo na kuwatishia wanaotishia nafasi zao. Rejea taarifa ya ikulu iliyotolewa mapema yaani saa moja kabla hata shughuli ya maadhimisho hayo haijaanza. Hii inatafsiri kwamba Maadhimisho ya kifo cha Sokoine ilikuwa kusaka jukwaa tu la kujibu vita vikali ndani ya ccm kuelekea 2025 ambayo kikatiba ndani yw ccm watu watu wote wanaruhusiwa kugombea, yaani hakuna kitu kinaitwa awamu, Awamu ya Tano ya Rais hayati Magufuli, Rais Samia anaimaliza October 2025.

Sasa turudi kwenye uhalisia ingekuwa kweli ni ugomvi wa kiinch kama Makonda anavyotaka umma ujue, Basi Makonda leo angekuwa kizuizini kwa kesi ya UHAINI, yes unaweza usinielewe, lakini Kauli ya Makonda inaangukia kwenye kuunda kosa la uhaini kwamjibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ibara ya 54 (3). Ibara hii inatamka wazi kwamba chombo KIKUU cha Kumshauri rais ni Baraza la Mawaziri, Sasa Baraza la Mawaziri linatuhumiwa kumtukana Rais na anayewatuhumu ni mteule wa Rais mbele ya Rais, Huo ni Uhaini. IGP yupo, DGIS yupo, CDF yupo, wanataka hadi rais wetu adhuriwe ndio wanze kuunda tume za uchunguzi?

Kwanini Vyombo hivi havijamuita CDF mstaafu aseme watu waliokuwa wakigoma Makamu Rais asiapishwe kuwa Rais baada ya Rais kufariki Dunia? Hawa tukiwapata ndio mzizi wa haya yote. Kwanini hata Bunge liko Kimya halijamwita CDF Mstaafu limhoji ikiwa Bunge ndio chombo kikuu cha kuisimamia Serikali? Tutegemee Bunge litamwita Makonda limhoji? Lakini swali lingine kwa Rais Samia, wewe si mgeni kwa Makonda, amekuwa ni mtu wa kutuhumu na kuchafua viongozi wa kisiasa na wafanyabiashara wakubwa tangu akiwa mtoto huko UVCCM, na tuhuma zake hazijawahi kuthibitishwa popote, kitendo cha kumrejesha katika mfumo mtu ambae ana rekodi mbaya ya kidunia haya ndio matunda unayovuna, Atakugombanisha na Wanaccm wenzako hadi utajikuta 2025 unaenda jumba la wastasfu kule Kizimkazi bila kuamini.

Rais Samia, una mtihani mgumu sana mbele yako ambao wewe ndio umeutengeneza bila kujua au kwakujua, Umejizibia njia kwakumletw Makonda ambae 98% ya Wenye CCM hawamtaki kuanzia Kizimkazi hadi Chamwino, Makonda amefanikiwa kukuaminisha kuwa yeye ni turufu kwako ukaondoa ccm nzuri uliyoisuka baada ya kushika urais na sasa unakwenda na ccm ya kimakondamakonda ambayo ushindi wake unategemea zaidi Bunduki, Swali kwako Rais Samia, Uko tayari kuupata ushindi wa damu 2025 chini ya Makonda?

Mwambie Makonda aseme hao watu wanaoheshimika nchini ambao wapo nyuma ya mawaziri ni akina nani? Nchi hii baada ya Mwinyi, Mkapa na Magufuli kuondoka mtu “mkubwa” wakuheshimika anayeijua nchi nje ndani ni Rais Mstaafu Jakaya Kikwete. Sasa alieleze taifa kama ni huyu kiongozi wetu mstaafu anawatuma hao mawaziri au ni porojo zake tu zinazohatarisha taifa.

Mimi nakutahadharisha Mheshimiwa Rais dhidi ya Makonda, huyu ana kublackmail hadharani na sirini. Alifanikiwa kwa Hayati Magufuli akamtia hofu sana, Magufuli akawa Rais Dikteta asiye na mfano, akaumiza watu wengi sana, Baada alikuja kustuka lakini akiwa ameshachelewa jini likiwa lishatoka katika chupa likizagaa Kigamboni likitaka ubunge ndipo akambwaga mazima! Leo umemuokota umemrudisha kwenye mfumo, Tabia haibadili ni kama ngozi! Watch it! narudia Watch it!
Makonda ndiye mtu pekee anayeweza msaidia Samia , ambaye amezungukwa na genge la Msoga ambalo halimtaki kwa Sasa

Samia awarudie kundi la Magufuli na kuachana na Msoga hili kundi la Magufuli ndilo la kumvusha
 
W

Wewe Chadema huwezi kumtakia Mh Samia ashinde 2025, eti unamtahadharisha kabisa kuwa akiendelea kumuacha Makonda katika uongozi atashindwa uchaguzi. Kwani nyinyi Chadema mnataka Rais ashinde 2025?
Unatumia fursa ya alichosema
Mskonda kutaka kulipa kisasi kwa Rais kunfukuza kazi Makonda?
Jambo la heri kwa Rais Samia haliwezi kutoka mdomoni mwa kada kindakindaki wa Chade.a.
CCM ndio inaongoza nchi, kwahiyo yanayofanywa na CCM Yana athari za moja Kwa moja Kwa Taifa.
 
Nisahihi kusema Baraza la mawaziri limefitinika??
Kwamba lina wasaliti wanaoshiriki kutukana taasisi iliyowateua!!
Waziri mkuu anayajua haya? Ameyakalia kimya? Kama sio part of solution je yeye ni part of the problem?
 
Umeandika jina Nyerere hadi nimeshituka...

Niliposoma ndio nikagundua Makala imeandikwa na Yeriko Nyerere ambaye kimsingi ni chawa mkubwa wa viongozi fulani fulani wa CCM...

Hoja ni nzuri ila kwasisi tunaosoma saikolojia ya mtu kupitia maandishi tunajua maana ya andiko hili...
 
Kiufupi ameibuka wakati makonda ameibua ishu ya Rais samia kutukanwa

Hapo sisi wabobevu wa human psychology

Tunaweza tukaunga dot tukajua anayemtumikia ni nani
Umeandika jina Nyerere hadi nimeshituka...

Niliposoma ndio nikagundua Makala imeandikwa na Yeriko Nyerere ambaye kimsingi ni chawa mkubwa wa viongozi fulani fulani wa CCM...

Hoja ni nzuri ila kwasisi tunaosoma saikolojia ya mtu kupitia maandishi tunajua maana ya andiko hili...
 
Makonda ndiye mtu pekee anayeweza msaidia Samia , ambaye amezungukwa na genge la Msoga ambalo halimtaki kwa Sasa

Samia awarudie kundi la Magufuli na kuachana na Msoga hili kundi la Magufuli ndilo la kumvusha
Lakini kwa Mujibu wa Katiba Mkuu wa Mkoa Sio Mshauri wa Rais..
Au inakuaje ??
 
Back
Top Bottom