Yericko: Makonda Aitwe Bungeni,Tuhuma za Kesi ya Uhaini ya mawaziri, Na Generali Mobeyo Aitwe kueleza Bunge ukweli wa Kesi ya uhaini Uliofanyika 2021

Yericko: Makonda Aitwe Bungeni,Tuhuma za Kesi ya Uhaini ya mawaziri, Na Generali Mobeyo Aitwe kueleza Bunge ukweli wa Kesi ya uhaini Uliofanyika 2021

huyu sijui labda ana hoja lakini uandishi wake hauna taste nzuri,kuna jamaa yangu alinunua kitabu chake niligusa page moja tu nikaishia hapo hapo,hili andiko nimesoma mpaka kati,hoja unaiona,ila taste ya uandishi kukuvutia uendelee kusoma hamna.
Ahahahaha uko sahihi, mimi nilijua ninpeke yangu nimeona hili. Huyu jamaa anajua vitu vingiiii lakin ana presentation isio na mvuto kabisaaaa. Hata kumsikiliza tu havutii kabisa yani. Nishamfuatiliaga Utube mahojiano mbali mbali kuhsu vita vya Drc na Rwanda ila unakosa kabisa hamu ya kuendelea kumsikiliza.

Arekebishe hili kama inawezekana
 
Nguvu za Giza ni fasheni kwa sasa !
Kila mtu anajitahidi kuipata !
Observation inasema wale wanaosema wao hawatumii huwa ndio magwiji wa hiyo sanaa. 😅😅🙏🙏 !
 
Back
Top Bottom