Yericko: Makonda Aitwe Bungeni,Tuhuma za Kesi ya Uhaini ya mawaziri, Na Generali Mobeyo Aitwe kueleza Bunge ukweli wa Kesi ya uhaini Uliofanyika 2021

Yericko: Makonda Aitwe Bungeni,Tuhuma za Kesi ya Uhaini ya mawaziri, Na Generali Mobeyo Aitwe kueleza Bunge ukweli wa Kesi ya uhaini Uliofanyika 2021

Anaandika Yericko Nyerere

Wengi mmeomba nitoe maoni yangu kuhusu kauli za mtu anayejiita Paulo Makonda kwamba kuna mawazi wanawalipa watu ili kumtuna Rais na kwamba mawaziri hao wana wawatu nyuma ambao ni watu wa kuheshimika katika nchi.

Kabla sijazungumzia kauli hiyo naomba niwarejeshe kwenye kauli ya Mkuu wa Majeshi Mstaafu General Mabeyo kwamba kuna watu walitaka Makamu Rais asiapishwe, Kauli hii hadi leo haijajibiwa ni akina nani hao walioleta mabishano ya kikatiba hadi Jeshi likasimamia Katiba? Kimantiki na ushahidi wa mazingira ni wale waliokuwa mdarakani baada ya Hayati Magufuli kufariki, sasa ukimtoa makamu Rais, anayefuatia ni Waziri Mkuu, Spika wa Bunge na Jaji Mkuu, hawa ndio viongozi waliokuwa katika madaraka kikatiba na kisheria baada ya Rais kufariki.

Swali halijajibiwa nani alipinga Katiba kutekelezwa ili makamu rais asiapishwe? Lakini swali lingine muhimu linaibuka, Nani alikuwa nyuma ya Mabeyo akaamrisha katiba ifuatwe na kwamba Makamu Rais aapishwe amalizie muhula wake wa 5? Tukimjua huyu basi tuhoji muhula wa 5 upo au Samia amebadilisha na sasa anajiita wa muhula wa 6 ambapo anataka akaumalize 2030 kama nyimbo zinavyoimbwa? Tukijua hapa huu ndio mzizi wa ugomvi mkubwa wa kisiasa ndani ya CCM. Ifahamike huu ni ugomvi wa ccm sasa wanaoshindwa vita wanauleta nje uwe ugomvi wa Taifa. Tukatae! Kwanza Binafsi sioni logic ya Rais kutukanwa ikawa agenda ya kitaifa ikaandaliwa jukwaa lililosahaulika 40yrs, Waseme vizuri kuna makubwa zaidi ya hilo.

Majibu ya hapo juu ndio yanatupa fursa ya kujua mengi zaidi baada ya kauli ya Makonda, Swali moja tu jiulize kwa miaka 40 hatujawahi kuwa na siku ya maadhimisho ya kifo cha Sokoine, lakini ghafla bin vuu, Serikali nzima na vyombo vya ulinzi wamebuni tukio hili ambalo msingi wake umekuwa kujibu mapigo na kuwatishia wanaotishia nafasi zao. Rejea taarifa ya ikulu iliyotolewa mapema yaani saa moja kabla hata shughuli ya maadhimisho hayo haijaanza. Hii inatafsiri kwamba Maadhimisho ya kifo cha Sokoine ilikuwa kusaka jukwaa tu la kujibu vita vikali ndani ya ccm kuelekea 2025 ambayo kikatiba ndani yw ccm watu watu wote wanaruhusiwa kugombea, yaani hakuna kitu kinaitwa awamu, Awamu ya Tano ya Rais hayati Magufuli, Rais Samia anaimaliza October 2025.

Sasa turudi kwenye uhalisia ingekuwa kweli ni ugomvi wa kiinch kama Makonda anavyotaka umma ujue, Basi Makonda leo angekuwa kizuizini kwa kesi ya UHAINI, yes unaweza usinielewe, lakini Kauli ya Makonda inaangukia kwenye kuunda kosa la uhaini kwamjibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ibara ya 54 (3). Ibara hii inatamka wazi kwamba chombo KIKUU cha Kumshauri rais ni Baraza la Mawaziri, Sasa Baraza la Mawaziri linatuhumiwa kumtukana Rais na anayewatuhumu ni mteule wa Rais mbele ya Rais, Huo ni Uhaini. IGP yupo, DGIS yupo, CDF yupo, wanataka hadi rais wetu adhuriwe ndio wanze kuunda tume za uchunguzi?

Kwanini Vyombo hivi havijamuita CDF mstaafu aseme watu waliokuwa wakigoma Makamu Rais asiapishwe kuwa Rais baada ya Rais kufariki Dunia? Hawa tukiwapata ndio mzizi wa haya yote. Kwanini hata Bunge liko Kimya halijamwita CDF Mstaafu limhoji ikiwa Bunge ndio chombo kikuu cha kuisimamia Serikali? Tutegemee Bunge litamwita Makonda limhoji? Lakini swali lingine kwa Rais Samia, wewe si mgeni kwa Makonda, amekuwa ni mtu wa kutuhumu na kuchafua viongozi wa kisiasa na wafanyabiashara wakubwa tangu akiwa mtoto huko UVCCM, na tuhuma zake hazijawahi kuthibitishwa popote, kitendo cha kumrejesha katika mfumo mtu ambae ana rekodi mbaya ya kidunia haya ndio matunda unayovuna, Atakugombanisha na Wanaccm wenzako hadi utajikuta 2025 unaenda jumba la wastasfu kule Kizimkazi bila kuamini.

Rais Samia, una mtihani mgumu sana mbele yako ambao wewe ndio umeutengeneza bila kujua au kwakujua, Umejizibia njia kwakumletw Makonda ambae 98% ya Wenye CCM hawamtaki kuanzia Kizimkazi hadi Chamwino, Makonda amefanikiwa kukuaminisha kuwa yeye ni turufu kwako ukaondoa ccm nzuri uliyoisuka baada ya kushika urais na sasa unakwenda na ccm ya kimakondamakonda ambayo ushindi wake unategemea zaidi Bunduki, Swali kwako Rais Samia, Uko tayari kuupata ushindi wa damu 2025 chini ya Makonda?

Mwambie Makonda aseme hao watu wanaoheshimika nchini ambao wapo nyuma ya mawaziri ni akina nani? Nchi hii baada ya Mwinyi, Mkapa na Magufuli kuondoka mtu “mkubwa” wakuheshimika anayeijua nchi nje ndani ni Rais Mstaafu Jakaya Kikwete. Sasa alieleze taifa kama ni huyu kiongozi wetu mstaafu anawatuma hao mawaziri au ni porojo zake tu zinazohatarisha taifa.

Mimi nakutahadharisha Mheshimiwa Rais dhidi ya Makonda, huyu ana kublackmail hadharani na sirini. Alifanikiwa kwa Hayati Magufuli akamtia hofu sana, Magufuli akawa Rais Dikteta asiye na mfano, akaumiza watu wengi sana, Baada alikuja kustuka lakini akiwa ameshachelewa jini likiwa lishatoka katika chupa likizagaa Kigamboni likitaka ubunge ndipo akambwaga mazima! Leo umemuokota umemrudisha kwenye mfumo, Tabia haibadili ni kama ngozi! Watch it! narudia Watch it!
Umenena vema
 
Anaandika Yericko Nyerere

Wengi mmeomba nitoe maoni yangu kuhusu kauli za mtu anayejiita Paulo Makonda kwamba kuna mawazi wanawalipa watu ili kumtuna Rais na kwamba mawaziri hao wana wawatu nyuma ambao ni watu wa kuheshimika katika nchi.

Kabla sijazungumzia kauli hiyo naomba niwarejeshe kwenye kauli ya Mkuu wa Majeshi Mstaafu General Mabeyo kwamba kuna watu walitaka Makamu Rais asiapishwe, Kauli hii hadi leo haijajibiwa ni akina nani hao walioleta mabishano ya kikatiba hadi Jeshi likasimamia Katiba? Kimantiki na ushahidi wa mazingira ni wale waliokuwa mdarakani baada ya Hayati Magufuli kufariki, sasa ukimtoa makamu Rais, anayefuatia ni Waziri Mkuu, Spika wa Bunge na Jaji Mkuu, hawa ndio viongozi waliokuwa katika madaraka kikatiba na kisheria baada ya Rais kufariki.

Swali halijajibiwa nani alipinga Katiba kutekelezwa ili makamu rais asiapishwe? Lakini swali lingine muhimu linaibuka, Nani alikuwa nyuma ya Mabeyo akaamrisha katiba ifuatwe na kwamba Makamu Rais aapishwe amalizie muhula wake wa 5? Tukimjua huyu basi tuhoji muhula wa 5 upo au Samia amebadilisha na sasa anajiita wa muhula wa 6 ambapo anataka akaumalize 2030 kama nyimbo zinavyoimbwa? Tukijua hapa huu ndio mzizi wa ugomvi mkubwa wa kisiasa ndani ya CCM. Ifahamike huu ni ugomvi wa ccm sasa wanaoshindwa vita wanauleta nje uwe ugomvi wa Taifa. Tukatae! Kwanza Binafsi sioni logic ya Rais kutukanwa ikawa agenda ya kitaifa ikaandaliwa jukwaa lililosahaulika 40yrs, Waseme vizuri kuna makubwa zaidi ya hilo.

Majibu ya hapo juu ndio yanatupa fursa ya kujua mengi zaidi baada ya kauli ya Makonda, Swali moja tu jiulize kwa miaka 40 hatujawahi kuwa na siku ya maadhimisho ya kifo cha Sokoine, lakini ghafla bin vuu, Serikali nzima na vyombo vya ulinzi wamebuni tukio hili ambalo msingi wake umekuwa kujibu mapigo na kuwatishia wanaotishia nafasi zao. Rejea taarifa ya ikulu iliyotolewa mapema yaani saa moja kabla hata shughuli ya maadhimisho hayo haijaanza. Hii inatafsiri kwamba Maadhimisho ya kifo cha Sokoine ilikuwa kusaka jukwaa tu la kujibu vita vikali ndani ya ccm kuelekea 2025 ambayo kikatiba ndani yw ccm watu watu wote wanaruhusiwa kugombea, yaani hakuna kitu kinaitwa awamu, Awamu ya Tano ya Rais hayati Magufuli, Rais Samia anaimaliza October 2025.

Sasa turudi kwenye uhalisia ingekuwa kweli ni ugomvi wa kiinch kama Makonda anavyotaka umma ujue, Basi Makonda leo angekuwa kizuizini kwa kesi ya UHAINI, yes unaweza usinielewe, lakini Kauli ya Makonda inaangukia kwenye kuunda kosa la uhaini kwamjibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ibara ya 54 (3). Ibara hii inatamka wazi kwamba chombo KIKUU cha Kumshauri rais ni Baraza la Mawaziri, Sasa Baraza la Mawaziri linatuhumiwa kumtukana Rais na anayewatuhumu ni mteule wa Rais mbele ya Rais, Huo ni Uhaini. IGP yupo, DGIS yupo, CDF yupo, wanataka hadi rais wetu adhuriwe ndio wanze kuunda tume za uchunguzi?

Kwanini Vyombo hivi havijamuita CDF mstaafu aseme watu waliokuwa wakigoma Makamu Rais asiapishwe kuwa Rais baada ya Rais kufariki Dunia? Hawa tukiwapata ndio mzizi wa haya yote. Kwanini hata Bunge liko Kimya halijamwita CDF Mstaafu limhoji ikiwa Bunge ndio chombo kikuu cha kuisimamia Serikali? Tutegemee Bunge litamwita Makonda limhoji? Lakini swali lingine kwa Rais Samia, wewe si mgeni kwa Makonda, amekuwa ni mtu wa kutuhumu na kuchafua viongozi wa kisiasa na wafanyabiashara wakubwa tangu akiwa mtoto huko UVCCM, na tuhuma zake hazijawahi kuthibitishwa popote, kitendo cha kumrejesha katika mfumo mtu ambae ana rekodi mbaya ya kidunia haya ndio matunda unayovuna, Atakugombanisha na Wanaccm wenzako hadi utajikuta 2025 unaenda jumba la wastasfu kule Kizimkazi bila kuamini.

Rais Samia, una mtihani mgumu sana mbele yako ambao wewe ndio umeutengeneza bila kujua au kwakujua, Umejizibia njia kwakumletw Makonda ambae 98% ya Wenye CCM hawamtaki kuanzia Kizimkazi hadi Chamwino, Makonda amefanikiwa kukuaminisha kuwa yeye ni turufu kwako ukaondoa ccm nzuri uliyoisuka baada ya kushika urais na sasa unakwenda na ccm ya kimakondamakonda ambayo ushindi wake unategemea zaidi Bunduki, Swali kwako Rais Samia, Uko tayari kuupata ushindi wa damu 2025 chini ya Makonda?

Mwambie Makonda aseme hao watu wanaoheshimika nchini ambao wapo nyuma ya mawaziri ni akina nani? Nchi hii baada ya Mwinyi, Mkapa na Magufuli kuondoka mtu “mkubwa” wakuheshimika anayeijua nchi nje ndani ni Rais Mstaafu Jakaya Kikwete. Sasa alieleze taifa kama ni huyu kiongozi wetu mstaafu anawatuma hao mawaziri au ni porojo zake tu zinazohatarisha taifa.

Mimi nakutahadharisha Mheshimiwa Rais dhidi ya Makonda, huyu ana kublackmail hadharani na sirini. Alifanikiwa kwa Hayati Magufuli akamtia hofu sana, Magufuli akawa Rais Dikteta asiye na mfano, akaumiza watu wengi sana, Baada alikuja kustuka lakini akiwa ameshachelewa jini likiwa lishatoka katika chupa likizagaa Kigamboni likitaka ubunge ndipo akambwaga mazima! Leo umemuokota umemrudisha kwenye mfumo, Tabia haibadili ni kama ngozi! Watch it! narudia Watch it!
Huna ajenda na wewe ni CHAWA tu!! Shughulika kwanza na hao tunaowajua. Au na wewe waziri kakupa hela uje uzuge humu?
 
Anaandika Yericko Nyerere

Wengi mmeomba nitoe maoni yangu kuhusu kauli za mtu anayejiita Paulo Makonda kwamba kuna mawazi wanawalipa watu ili kumtuna Rais na kwamba mawaziri hao wana wawatu nyuma ambao ni watu wa kuheshimika katika nchi.

Kabla sijazungumzia kauli hiyo naomba niwarejeshe kwenye kauli ya Mkuu wa Majeshi Mstaafu General Mabeyo kwamba kuna watu walitaka Makamu Rais asiapishwe, Kauli hii hadi leo haijajibiwa ni akina nani hao walioleta mabishano ya kikatiba hadi Jeshi likasimamia Katiba? Kimantiki na ushahidi wa mazingira ni wale waliokuwa mdarakani baada ya Hayati Magufuli kufariki, sasa ukimtoa makamu Rais, anayefuatia ni Waziri Mkuu, Spika wa Bunge na Jaji Mkuu, hawa ndio viongozi waliokuwa katika madaraka kikatiba na kisheria baada ya Rais kufariki.

Swali halijajibiwa nani alipinga Katiba kutekelezwa ili makamu rais asiapishwe? Lakini swali lingine muhimu linaibuka, Nani alikuwa nyuma ya Mabeyo akaamrisha katiba ifuatwe na kwamba Makamu Rais aapishwe amalizie muhula wake wa 5? Tukimjua huyu basi tuhoji muhula wa 5 upo au Samia amebadilisha na sasa anajiita wa muhula wa 6 ambapo anataka akaumalize 2030 kama nyimbo zinavyoimbwa? Tukijua hapa huu ndio mzizi wa ugomvi mkubwa wa kisiasa ndani ya CCM. Ifahamike huu ni ugomvi wa ccm sasa wanaoshindwa vita wanauleta nje uwe ugomvi wa Taifa. Tukatae! Kwanza Binafsi sioni logic ya Rais kutukanwa ikawa agenda ya kitaifa ikaandaliwa jukwaa lililosahaulika 40yrs, Waseme vizuri kuna makubwa zaidi ya hilo.

Majibu ya hapo juu ndio yanatupa fursa ya kujua mengi zaidi baada ya kauli ya Makonda, Swali moja tu jiulize kwa miaka 40 hatujawahi kuwa na siku ya maadhimisho ya kifo cha Sokoine, lakini ghafla bin vuu, Serikali nzima na vyombo vya ulinzi wamebuni tukio hili ambalo msingi wake umekuwa kujibu mapigo na kuwatishia wanaotishia nafasi zao. Rejea taarifa ya ikulu iliyotolewa mapema yaani saa moja kabla hata shughuli ya maadhimisho hayo haijaanza. Hii inatafsiri kwamba Maadhimisho ya kifo cha Sokoine ilikuwa kusaka jukwaa tu la kujibu vita vikali ndani ya ccm kuelekea 2025 ambayo kikatiba ndani yw ccm watu watu wote wanaruhusiwa kugombea, yaani hakuna kitu kinaitwa awamu, Awamu ya Tano ya Rais hayati Magufuli, Rais Samia anaimaliza October 2025.

Sasa turudi kwenye uhalisia ingekuwa kweli ni ugomvi wa kiinch kama Makonda anavyotaka umma ujue, Basi Makonda leo angekuwa kizuizini kwa kesi ya UHAINI, yes unaweza usinielewe, lakini Kauli ya Makonda inaangukia kwenye kuunda kosa la uhaini kwamjibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ibara ya 54 (3). Ibara hii inatamka wazi kwamba chombo KIKUU cha Kumshauri rais ni Baraza la Mawaziri, Sasa Baraza la Mawaziri linatuhumiwa kumtukana Rais na anayewatuhumu ni mteule wa Rais mbele ya Rais, Huo ni Uhaini. IGP yupo, DGIS yupo, CDF yupo, wanataka hadi rais wetu adhuriwe ndio wanze kuunda tume za uchunguzi?

Kwanini Vyombo hivi havijamuita CDF mstaafu aseme watu waliokuwa wakigoma Makamu Rais asiapishwe kuwa Rais baada ya Rais kufariki Dunia? Hawa tukiwapata ndio mzizi wa haya yote. Kwanini hata Bunge liko Kimya halijamwita CDF Mstaafu limhoji ikiwa Bunge ndio chombo kikuu cha kuisimamia Serikali? Tutegemee Bunge litamwita Makonda limhoji? Lakini swali lingine kwa Rais Samia, wewe si mgeni kwa Makonda, amekuwa ni mtu wa kutuhumu na kuchafua viongozi wa kisiasa na wafanyabiashara wakubwa tangu akiwa mtoto huko UVCCM, na tuhuma zake hazijawahi kuthibitishwa popote, kitendo cha kumrejesha katika mfumo mtu ambae ana rekodi mbaya ya kidunia haya ndio matunda unayovuna, Atakugombanisha na Wanaccm wenzako hadi utajikuta 2025 unaenda jumba la wastasfu kule Kizimkazi bila kuamini.

Rais Samia, una mtihani mgumu sana mbele yako ambao wewe ndio umeutengeneza bila kujua au kwakujua, Umejizibia njia kwakumletw Makonda ambae 98% ya Wenye CCM hawamtaki kuanzia Kizimkazi hadi Chamwino, Makonda amefanikiwa kukuaminisha kuwa yeye ni turufu kwako ukaondoa ccm nzuri uliyoisuka baada ya kushika urais na sasa unakwenda na ccm ya kimakondamakonda ambayo ushindi wake unategemea zaidi Bunduki, Swali kwako Rais Samia, Uko tayari kuupata ushindi wa damu 2025 chini ya Makonda?

Mwambie Makonda aseme hao watu wanaoheshimika nchini ambao wapo nyuma ya mawaziri ni akina nani? Nchi hii baada ya Mwinyi, Mkapa na Magufuli kuondoka mtu “mkubwa” wakuheshimika anayeijua nchi nje ndani ni Rais Mstaafu Jakaya Kikwete. Sasa alieleze taifa kama ni huyu kiongozi wetu mstaafu anawatuma hao mawaziri au ni porojo zake tu zinazohatarisha taifa.

Mimi nakutahadharisha Mheshimiwa Rais dhidi ya Makonda, huyu ana kublackmail hadharani na sirini. Alifanikiwa kwa Hayati Magufuli akamtia hofu sana, Magufuli akawa Rais Dikteta asiye na mfano, akaumiza watu wengi sana, Baada alikuja kustuka lakini akiwa ameshachelewa jini likiwa lishatoka katika chupa likizagaa Kigamboni likitaka ubunge ndipo akambwaga mazima! Leo umemuokota umemrudisha kwenye mfumo, Tabia haibadili ni kama ngozi! Watch it! narudia Watch it!
Yericko anapenda kukuza mambo sana,huyo abaki kulima bamia tuu
 
Yericko Nyerere ana hoja za msingi, msako mkali kuwatia nguvuni (purge) dhidi ya wasaliti ndani ya CCM walio mawaziri ili kuwangoa na wajulikane ni jambo lisilowezekana kutofanyika ili utawala wa awamu ya sita uweze kubaki hadi October 2025.

Watuhumiwa mawaziri walitakiwa kutumia njia ya kisiasa kwa kujiuzulu na kuonesha hadharani kisiasa hawamuingi mkono kiongozi wao au kuunda charma kipya kama cha Jacob Zuma kule South Africa au kujiunga na vyama vingine kwa uwazi kisiasa badala za njama za chini kwa chini kumuondoa kiongozi wao mkuu

Soma: Jacob Zuma alipotumia njia ya kisiasa isiyo ya kihaini, kukipinga chama tawala na uongozi wake wa ANC :
1713044887579.png
 
Ccm ipi ya kupoteza watu maboya? Magufuli alipiga propaganda mwenyewe miaka mitano, ilipofika wakati wa uchaguzi akaishia kuupora maana aliona alichoshindwa kuamini wakati wa kampeni. Usiwape sifa wasizokuwa nazo boss.
100%
 
Yericko Nyerere ana hoja za msingi, msako mkali kuwatia nguvuni (purge) dhidi ya wasaliti ndani ya CCM walio mawaziri ili kuwangoa na wajulikane ni jambo lisilowezekana kutofanyika ili utawala wa awamu ya sita uweze kubaki hadi October 2025.

Watuhumiwa mawaziri walitakiwa kutumia njia ya kisiasa kwa kujiuzulu na kuonesha hadharani kisiasa hawamuingi mkono kiongozi wao au kuunda charma kipya kama cha Jacob Zuma kule South Africa au kujiunga na vyama vingine kwa uwazi kisiasa badala za njama za chini kwa chini kumuondoa kiongozi wao mkuu

Soma: Jacob Zuma alipotumia njia ya kisiasa isiyo ya kihaini, kukipinga chama tawala na uongozi wake wa ANC :
100%
Leo ya kwetu Kesho ya kwetu
 
Anaandika Yericko Nyerere

Wengi mmeomba nitoe maoni yangu kuhusu kauli za mtu anayejiita Paulo Makonda kwamba kuna mawazi wanawalipa watu ili kumtuna Rais na kwamba mawaziri hao wana wawatu nyuma ambao ni watu wa kuheshimika katika nchi.

Kabla sijazungumzia kauli hiyo naomba niwarejeshe kwenye kauli ya Mkuu wa Majeshi Mstaafu General Mabeyo kwamba kuna watu walitaka Makamu Rais asiapishwe, Kauli hii hadi leo haijajibiwa ni akina nani hao walioleta mabishano ya kikatiba hadi Jeshi likasimamia Katiba? Kimantiki na ushahidi wa mazingira ni wale waliokuwa mdarakani baada ya Hayati Magufuli kufariki, sasa ukimtoa makamu Rais, anayefuatia ni Waziri Mkuu, Spika wa Bunge na Jaji Mkuu, hawa ndio viongozi waliokuwa katika madaraka kikatiba na kisheria baada ya Rais kufariki.

Swali halijajibiwa nani alipinga Katiba kutekelezwa ili makamu rais asiapishwe? Lakini swali lingine muhimu linaibuka, Nani alikuwa nyuma ya Mabeyo akaamrisha katiba ifuatwe na kwamba Makamu Rais aapishwe amalizie muhula wake wa 5? Tukimjua huyu basi tuhoji muhula wa 5 upo au Samia amebadilisha na sasa anajiita wa muhula wa 6 ambapo anataka akaumalize 2030 kama nyimbo zinavyoimbwa? Tukijua hapa huu ndio mzizi wa ugomvi mkubwa wa kisiasa ndani ya CCM. Ifahamike huu ni ugomvi wa ccm sasa wanaoshindwa vita wanauleta nje uwe ugomvi wa Taifa. Tukatae! Kwanza Binafsi sioni logic ya Rais kutukanwa ikawa agenda ya kitaifa ikaandaliwa jukwaa lililosahaulika 40yrs, Waseme vizuri kuna makubwa zaidi ya hilo.

Majibu ya hapo juu ndio yanatupa fursa ya kujua mengi zaidi baada ya kauli ya Makonda, Swali moja tu jiulize kwa miaka 40 hatujawahi kuwa na siku ya maadhimisho ya kifo cha Sokoine, lakini ghafla bin vuu, Serikali nzima na vyombo vya ulinzi wamebuni tukio hili ambalo msingi wake umekuwa kujibu mapigo na kuwatishia wanaotishia nafasi zao. Rejea taarifa ya ikulu iliyotolewa mapema yaani saa moja kabla hata shughuli ya maadhimisho hayo haijaanza. Hii inatafsiri kwamba Maadhimisho ya kifo cha Sokoine ilikuwa kusaka jukwaa tu la kujibu vita vikali ndani ya ccm kuelekea 2025 ambayo kikatiba ndani yw ccm watu watu wote wanaruhusiwa kugombea, yaani hakuna kitu kinaitwa awamu, Awamu ya Tano ya Rais hayati Magufuli, Rais Samia anaimaliza October 2025.

Sasa turudi kwenye uhalisia ingekuwa kweli ni ugomvi wa kiinch kama Makonda anavyotaka umma ujue, Basi Makonda leo angekuwa kizuizini kwa kesi ya UHAINI, yes unaweza usinielewe, lakini Kauli ya Makonda inaangukia kwenye kuunda kosa la uhaini kwamjibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ibara ya 54 (3). Ibara hii inatamka wazi kwamba chombo KIKUU cha Kumshauri rais ni Baraza la Mawaziri, Sasa Baraza la Mawaziri linatuhumiwa kumtukana Rais na anayewatuhumu ni mteule wa Rais mbele ya Rais, Huo ni Uhaini. IGP yupo, DGIS yupo, CDF yupo, wanataka hadi rais wetu adhuriwe ndio wanze kuunda tume za uchunguzi?

Kwanini Vyombo hivi havijamuita CDF mstaafu aseme watu waliokuwa wakigoma Makamu Rais asiapishwe kuwa Rais baada ya Rais kufariki Dunia? Hawa tukiwapata ndio mzizi wa haya yote. Kwanini hata Bunge liko Kimya halijamwita CDF Mstaafu limhoji ikiwa Bunge ndio chombo kikuu cha kuisimamia Serikali? Tutegemee Bunge litamwita Makonda limhoji? Lakini swali lingine kwa Rais Samia, wewe si mgeni kwa Makonda, amekuwa ni mtu wa kutuhumu na kuchafua viongozi wa kisiasa na wafanyabiashara wakubwa tangu akiwa mtoto huko UVCCM, na tuhuma zake hazijawahi kuthibitishwa popote, kitendo cha kumrejesha katika mfumo mtu ambae ana rekodi mbaya ya kidunia haya ndio matunda unayovuna, Atakugombanisha na Wanaccm wenzako hadi utajikuta 2025 unaenda jumba la wastasfu kule Kizimkazi bila kuamini.

Rais Samia, una mtihani mgumu sana mbele yako ambao wewe ndio umeutengeneza bila kujua au kwakujua, Umejizibia njia kwakumletw Makonda ambae 98% ya Wenye CCM hawamtaki kuanzia Kizimkazi hadi Chamwino, Makonda amefanikiwa kukuaminisha kuwa yeye ni turufu kwako ukaondoa ccm nzuri uliyoisuka baada ya kushika urais na sasa unakwenda na ccm ya kimakondamakonda ambayo ushindi wake unategemea zaidi Bunduki, Swali kwako Rais Samia, Uko tayari kuupata ushindi wa damu 2025 chini ya Makonda?

Mwambie Makonda aseme hao watu wanaoheshimika nchini ambao wapo nyuma ya mawaziri ni akina nani? Nchi hii baada ya Mwinyi, Mkapa na Magufuli kuondoka mtu “mkubwa” wakuheshimika anayeijua nchi nje ndani ni Rais Mstaafu Jakaya Kikwete. Sasa alieleze taifa kama ni huyu kiongozi wetu mstaafu anawatuma hao mawaziri au ni porojo zake tu zinazohatarisha taifa.

Mimi nakutahadharisha Mheshimiwa Rais dhidi ya Makonda, huyu ana kublackmail hadharani na sirini. Alifanikiwa kwa Hayati Magufuli akamtia hofu sana, Magufuli akawa Rais Dikteta asiye na mfano, akaumiza watu wengi sana, Baada alikuja kustuka lakini akiwa ameshachelewa jini likiwa lishatoka katika chupa likizagaa Kigamboni likitaka ubunge ndipo akambwaga mazima! Leo umemuokota umemrudisha kwenye mfumo, Tabia haibadili ni kama ngozi! Watch it! narudia Watch it!
Yericko ana akili sana.
Hoja naiunga mkono
 
Mbona hapo anazungumzia mjadala kuhusu either kuapishwa kwa gwaride ama sivyo kwa sababu ya msiba kulikua na opinion mbili tofauti? (Sherehe msibani)

Halafu mjadala mwingine ukawa wa aapishwe kabla ama baada ya msiba nako kukawa na opinio mbili?

Ni wapi katika hayo mazungumzo amenena kwa kinywa chake General Mobeyo ya kwamba kuna “kundi lililokua linaweka mgomo Rais Samia hasiapishwe na kuwa Rais wa JMT no matter what?
 
Anaandika Yericko Nyerere

Wengi mmeomba nitoe maoni yangu kuhusu kauli za mtu anayejiita Paulo Makonda kwamba kuna mawazi wanawalipa watu ili kumtuna Rais na kwamba mawaziri hao wana wawatu nyuma ambao ni watu wa kuheshimika katika nchi.

Kabla sijazungumzia kauli hiyo naomba niwarejeshe kwenye kauli ya Mkuu wa Majeshi Mstaafu General Mabeyo kwamba kuna watu walitaka Makamu Rais asiapishwe, Kauli hii hadi leo haijajibiwa ni akina nani hao walioleta mabishano ya kikatiba hadi Jeshi likasimamia Katiba? Kimantiki na ushahidi wa mazingira ni wale waliokuwa mdarakani baada ya Hayati Magufuli kufariki, sasa ukimtoa makamu Rais, anayefuatia ni Waziri Mkuu, Spika wa Bunge na Jaji Mkuu, hawa ndio viongozi waliokuwa katika madaraka kikatiba na kisheria baada ya Rais kufariki.

Swali halijajibiwa nani alipinga Katiba kutekelezwa ili makamu rais asiapishwe? Lakini swali lingine muhimu linaibuka, Nani alikuwa nyuma ya Mabeyo akaamrisha katiba ifuatwe na kwamba Makamu Rais aapishwe amalizie muhula wake wa 5? Tukimjua huyu basi tuhoji muhula wa 5 upo au Samia amebadilisha na sasa anajiita wa muhula wa 6 ambapo anataka akaumalize 2030 kama nyimbo zinavyoimbwa? Tukijua hapa huu ndio mzizi wa ugomvi mkubwa wa kisiasa ndani ya CCM. Ifahamike huu ni ugomvi wa ccm sasa wanaoshindwa vita wanauleta nje uwe ugomvi wa Taifa. Tukatae! Kwanza Binafsi sioni logic ya Rais kutukanwa ikawa agenda ya kitaifa ikaandaliwa jukwaa lililosahaulika 40yrs, Waseme vizuri kuna makubwa zaidi ya hilo.

Majibu ya hapo juu ndio yanatupa fursa ya kujua mengi zaidi baada ya kauli ya Makonda, Swali moja tu jiulize kwa miaka 40 hatujawahi kuwa na siku ya maadhimisho ya kifo cha Sokoine, lakini ghafla bin vuu, Serikali nzima na vyombo vya ulinzi wamebuni tukio hili ambalo msingi wake umekuwa kujibu mapigo na kuwatishia wanaotishia nafasi zao. Rejea taarifa ya ikulu iliyotolewa mapema yaani saa moja kabla hata shughuli ya maadhimisho hayo haijaanza. Hii inatafsiri kwamba Maadhimisho ya kifo cha Sokoine ilikuwa kusaka jukwaa tu la kujibu vita vikali ndani ya ccm kuelekea 2025 ambayo kikatiba ndani yw ccm watu watu wote wanaruhusiwa kugombea, yaani hakuna kitu kinaitwa awamu, Awamu ya Tano ya Rais hayati Magufuli, Rais Samia anaimaliza October 2025.

Sasa turudi kwenye uhalisia ingekuwa kweli ni ugomvi wa kiinch kama Makonda anavyotaka umma ujue, Basi Makonda leo angekuwa kizuizini kwa kesi ya UHAINI, yes unaweza usinielewe, lakini Kauli ya Makonda inaangukia kwenye kuunda kosa la uhaini kwamjibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ibara ya 54 (3). Ibara hii inatamka wazi kwamba chombo KIKUU cha Kumshauri rais ni Baraza la Mawaziri, Sasa Baraza la Mawaziri linatuhumiwa kumtukana Rais na anayewatuhumu ni mteule wa Rais mbele ya Rais, Huo ni Uhaini. IGP yupo, DGIS yupo, CDF yupo, wanataka hadi rais wetu adhuriwe ndio wanze kuunda tume za uchunguzi?

Kwanini Vyombo hivi havijamuita CDF mstaafu aseme watu waliokuwa wakigoma Makamu Rais asiapishwe kuwa Rais baada ya Rais kufariki Dunia? Hawa tukiwapata ndio mzizi wa haya yote. Kwanini hata Bunge liko Kimya halijamwita CDF Mstaafu limhoji ikiwa Bunge ndio chombo kikuu cha kuisimamia Serikali? Tutegemee Bunge litamwita Makonda limhoji? Lakini swali lingine kwa Rais Samia, wewe si mgeni kwa Makonda, amekuwa ni mtu wa kutuhumu na kuchafua viongozi wa kisiasa na wafanyabiashara wakubwa tangu akiwa mtoto huko UVCCM, na tuhuma zake hazijawahi kuthibitishwa popote, kitendo cha kumrejesha katika mfumo mtu ambae ana rekodi mbaya ya kidunia haya ndio matunda unayovuna, Atakugombanisha na Wanaccm wenzako hadi utajikuta 2025 unaenda jumba la wastasfu kule Kizimkazi bila kuamini.

Rais Samia, una mtihani mgumu sana mbele yako ambao wewe ndio umeutengeneza bila kujua au kwakujua, Umejizibia njia kwakumletw Makonda ambae 98% ya Wenye CCM hawamtaki kuanzia Kizimkazi hadi Chamwino, Makonda amefanikiwa kukuaminisha kuwa yeye ni turufu kwako ukaondoa ccm nzuri uliyoisuka baada ya kushika urais na sasa unakwenda na ccm ya kimakondamakonda ambayo ushindi wake unategemea zaidi Bunduki, Swali kwako Rais Samia, Uko tayari kuupata ushindi wa damu 2025 chini ya Makonda?

Mwambie Makonda aseme hao watu wanaoheshimika nchini ambao wapo nyuma ya mawaziri ni akina nani? Nchi hii baada ya Mwinyi, Mkapa na Magufuli kuondoka mtu “mkubwa” wakuheshimika anayeijua nchi nje ndani ni Rais Mstaafu Jakaya Kikwete. Sasa alieleze taifa kama ni huyu kiongozi wetu mstaafu anawatuma hao mawaziri au ni porojo zake tu zinazohatarisha taifa.

Mimi nakutahadharisha Mheshimiwa Rais dhidi ya Makonda, huyu ana kublackmail hadharani na sirini. Alifanikiwa kwa Hayati Magufuli akamtia hofu sana, Magufuli akawa Rais Dikteta asiye na mfano, akaumiza watu wengi sana, Baada alikuja kustuka lakini akiwa ameshachelewa jini likiwa lishatoka katika chupa likizagaa Kigamboni likitaka ubunge ndipo akambwaga mazima! Leo umemuokota umemrudisha kwenye mfumo, Tabia haibadili ni kama ngozi! Watch it! narudia Watch it!
Huyu yeriko Nyerere ni mjukuu wa Nyerere au ni mjukuu wa Nyerere rapa?
 
Hayo yalikua enzi za ujima,kipindi hicho watanzania wengi ni mbumbumbu.ccm wanatumia mabavu kutawala na kuweka wajinga wenzao kama makonda.mtu kazuiwa kwenda UK/USA kisa uuaji, Bado anarudishiwa vyeo.ni akili iyo??katiba mpya hawataki,why???
Kwaiyo kuzuiwa tu kwenda USA ndo ushahidi wa mauaji?
 
Makonda ndiye mtu pekee anayeweza msaidia Samia , ambaye amezungukwa na genge la Msoga ambalo halimtaki kwa Sasa

Samia awarudie kundi la Magufuli na kuachana na Msoga hili kundi la Magufuli ndilo la kumvusha
Avushwe ili akafanye nini? Wananchi tunataka mtu mwenye uwezo wa kukuza uchumi, kuwajibisha mafisadi, kulinda rasilimali zetu. Huyu tuliyenaye ameshindwa yote. Kwà maana hiyo,
hakuna haja ya kuendelea naye tena.
 
Anaandika Yericko Nyerere

Wengi mmeomba nitoe maoni yangu kuhusu kauli za mtu anayejiita Paulo Makonda kwamba kuna mawazi wanawalipa watu ili kumtuna Rais na kwamba mawaziri hao wana wawatu nyuma ambao ni watu wa kuheshimika katika nchi.

Kabla sijazungumzia kauli hiyo naomba niwarejeshe kwenye kauli ya Mkuu wa Majeshi Mstaafu General Mabeyo kwamba kuna watu walitaka Makamu Rais asiapishwe, Kauli hii hadi leo haijajibiwa ni akina nani hao walioleta mabishano ya kikatiba hadi Jeshi likasimamia Katiba? Kimantiki na ushahidi wa mazingira ni wale waliokuwa mdarakani baada ya Hayati Magufuli kufariki, sasa ukimtoa makamu Rais, anayefuatia ni Waziri Mkuu, Spika wa Bunge na Jaji Mkuu, hawa ndio viongozi waliokuwa katika madaraka kikatiba na kisheria baada ya Rais kufariki.

Swali halijajibiwa nani alipinga Katiba kutekelezwa ili makamu rais asiapishwe? Lakini swali lingine muhimu linaibuka, Nani alikuwa nyuma ya Mabeyo akaamrisha katiba ifuatwe na kwamba Makamu Rais aapishwe amalizie muhula wake wa 5? Tukimjua huyu basi tuhoji muhula wa 5 upo au Samia amebadilisha na sasa anajiita wa muhula wa 6 ambapo anataka akaumalize 2030 kama nyimbo zinavyoimbwa? Tukijua hapa huu ndio mzizi wa ugomvi mkubwa wa kisiasa ndani ya CCM. Ifahamike huu ni ugomvi wa ccm sasa wanaoshindwa vita wanauleta nje uwe ugomvi wa Taifa. Tukatae! Kwanza Binafsi sioni logic ya Rais kutukanwa ikawa agenda ya kitaifa ikaandaliwa jukwaa lililosahaulika 40yrs, Waseme vizuri kuna makubwa zaidi ya hilo.

Majibu ya hapo juu ndio yanatupa fursa ya kujua mengi zaidi baada ya kauli ya Makonda, Swali moja tu jiulize kwa miaka 40 hatujawahi kuwa na siku ya maadhimisho ya kifo cha Sokoine, lakini ghafla bin vuu, Serikali nzima na vyombo vya ulinzi wamebuni tukio hili ambalo msingi wake umekuwa kujibu mapigo na kuwatishia wanaotishia nafasi zao. Rejea taarifa ya ikulu iliyotolewa mapema yaani saa moja kabla hata shughuli ya maadhimisho hayo haijaanza. Hii inatafsiri kwamba Maadhimisho ya kifo cha Sokoine ilikuwa kusaka jukwaa tu la kujibu vita vikali ndani ya ccm kuelekea 2025 ambayo kikatiba ndani yw ccm watu watu wote wanaruhusiwa kugombea, yaani hakuna kitu kinaitwa awamu, Awamu ya Tano ya Rais hayati Magufuli, Rais Samia anaimaliza October 2025.

Sasa turudi kwenye uhalisia ingekuwa kweli ni ugomvi wa kiinch kama Makonda anavyotaka umma ujue, Basi Makonda leo angekuwa kizuizini kwa kesi ya UHAINI, yes unaweza usinielewe, lakini Kauli ya Makonda inaangukia kwenye kuunda kosa la uhaini kwamjibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ibara ya 54 (3). Ibara hii inatamka wazi kwamba chombo KIKUU cha Kumshauri rais ni Baraza la Mawaziri, Sasa Baraza la Mawaziri linatuhumiwa kumtukana Rais na anayewatuhumu ni mteule wa Rais mbele ya Rais, Huo ni Uhaini. IGP yupo, DGIS yupo, CDF yupo, wanataka hadi rais wetu adhuriwe ndio wanze kuunda tume za uchunguzi?

Kwanini Vyombo hivi havijamuita CDF mstaafu aseme watu waliokuwa wakigoma Makamu Rais asiapishwe kuwa Rais baada ya Rais kufariki Dunia? Hawa tukiwapata ndio mzizi wa haya yote. Kwanini hata Bunge liko Kimya halijamwita CDF Mstaafu limhoji ikiwa Bunge ndio chombo kikuu cha kuisimamia Serikali? Tutegemee Bunge litamwita Makonda limhoji? Lakini swali lingine kwa Rais Samia, wewe si mgeni kwa Makonda, amekuwa ni mtu wa kutuhumu na kuchafua viongozi wa kisiasa na wafanyabiashara wakubwa tangu akiwa mtoto huko UVCCM, na tuhuma zake hazijawahi kuthibitishwa popote, kitendo cha kumrejesha katika mfumo mtu ambae ana rekodi mbaya ya kidunia haya ndio matunda unayovuna, Atakugombanisha na Wanaccm wenzako hadi utajikuta 2025 unaenda jumba la wastasfu kule Kizimkazi bila kuamini.

Rais Samia, una mtihani mgumu sana mbele yako ambao wewe ndio umeutengeneza bila kujua au kwakujua, Umejizibia njia kwakumletw Makonda ambae 98% ya Wenye CCM hawamtaki kuanzia Kizimkazi hadi Chamwino, Makonda amefanikiwa kukuaminisha kuwa yeye ni turufu kwako ukaondoa ccm nzuri uliyoisuka baada ya kushika urais na sasa unakwenda na ccm ya kimakondamakonda ambayo ushindi wake unategemea zaidi Bunduki, Swali kwako Rais Samia, Uko tayari kuupata ushindi wa damu 2025 chini ya Makonda?

Mwambie Makonda aseme hao watu wanaoheshimika nchini ambao wapo nyuma ya mawaziri ni akina nani? Nchi hii baada ya Mwinyi, Mkapa na Magufuli kuondoka mtu “mkubwa” wakuheshimika anayeijua nchi nje ndani ni Rais Mstaafu Jakaya Kikwete. Sasa alieleze taifa kama ni huyu kiongozi wetu mstaafu anawatuma hao mawaziri au ni porojo zake tu zinazohatarisha taifa.

Mimi nakutahadharisha Mheshimiwa Rais dhidi ya Makonda, huyu ana kublackmail hadharani na sirini. Alifanikiwa kwa Hayati Magufuli akamtia hofu sana, Magufuli akawa Rais Dikteta asiye na mfano, akaumiza watu wengi sana, Baada alikuja kustuka lakini akiwa ameshachelewa jini likiwa lishatoka katika chupa likizagaa Kigamboni likitaka ubunge ndipo akambwaga mazima! Leo umemuokota umemrudisha kwenye mfumo, Tabia haibadili ni kama ngozi! Watch it! narudia Watch it!
Mbona Chalamila ndiyo alitoka tuhuma nzito kuwa Kuna mawaziri wanasafiri kwenda ughaibuni kutafuta fedha za kugombea urais lakini hajaitwa na kamati ya Bunge,Why Makonda?
Chuki tu!
 
Anaandika Yericko Nyerere

Wengi mmeomba nitoe maoni yangu kuhusu kauli za mtu anayejiita Paulo Makonda kwamba kuna mawazi wanawalipa watu ili kumtuna Rais na kwamba mawaziri hao wana wawatu nyuma ambao ni watu wa kuheshimika katika nchi.

Kabla sijazungumzia kauli hiyo naomba niwarejeshe kwenye kauli ya Mkuu wa Majeshi Mstaafu General Mabeyo kwamba kuna watu walitaka Makamu Rais asiapishwe, Kauli hii hadi leo haijajibiwa ni akina nani hao walioleta mabishano ya kikatiba hadi Jeshi likasimamia Katiba? Kimantiki na ushahidi wa mazingira ni wale waliokuwa mdarakani baada ya Hayati Magufuli kufariki, sasa ukimtoa makamu Rais, anayefuatia ni Waziri Mkuu, Spika wa Bunge na Jaji Mkuu, hawa ndio viongozi waliokuwa katika madaraka kikatiba na kisheria baada ya Rais kufariki.

Swali halijajibiwa nani alipinga Katiba kutekelezwa ili makamu rais asiapishwe? Lakini swali lingine muhimu linaibuka, Nani alikuwa nyuma ya Mabeyo akaamrisha katiba ifuatwe na kwamba Makamu Rais aapishwe amalizie muhula wake wa 5? Tukimjua huyu basi tuhoji muhula wa 5 upo au Samia amebadilisha na sasa anajiita wa muhula wa 6 ambapo anataka akaumalize 2030 kama nyimbo zinavyoimbwa? Tukijua hapa huu ndio mzizi wa ugomvi mkubwa wa kisiasa ndani ya CCM. Ifahamike huu ni ugomvi wa ccm sasa wanaoshindwa vita wanauleta nje uwe ugomvi wa Taifa. Tukatae! Kwanza Binafsi sioni logic ya Rais kutukanwa ikawa agenda ya kitaifa ikaandaliwa jukwaa lililosahaulika 40yrs, Waseme vizuri kuna makubwa zaidi ya hilo.

Majibu ya hapo juu ndio yanatupa fursa ya kujua mengi zaidi baada ya kauli ya Makonda, Swali moja tu jiulize kwa miaka 40 hatujawahi kuwa na siku ya maadhimisho ya kifo cha Sokoine, lakini ghafla bin vuu, Serikali nzima na vyombo vya ulinzi wamebuni tukio hili ambalo msingi wake umekuwa kujibu mapigo na kuwatishia wanaotishia nafasi zao. Rejea taarifa ya ikulu iliyotolewa mapema yaani saa moja kabla hata shughuli ya maadhimisho hayo haijaanza. Hii inatafsiri kwamba Maadhimisho ya kifo cha Sokoine ilikuwa kusaka jukwaa tu la kujibu vita vikali ndani ya ccm kuelekea 2025 ambayo kikatiba ndani yw ccm watu watu wote wanaruhusiwa kugombea, yaani hakuna kitu kinaitwa awamu, Awamu ya Tano ya Rais hayati Magufuli, Rais Samia anaimaliza October 2025.

Sasa turudi kwenye uhalisia ingekuwa kweli ni ugomvi wa kiinch kama Makonda anavyotaka umma ujue, Basi Makonda leo angekuwa kizuizini kwa kesi ya UHAINI, yes unaweza usinielewe, lakini Kauli ya Makonda inaangukia kwenye kuunda kosa la uhaini kwamjibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ibara ya 54 (3). Ibara hii inatamka wazi kwamba chombo KIKUU cha Kumshauri rais ni Baraza la Mawaziri, Sasa Baraza la Mawaziri linatuhumiwa kumtukana Rais na anayewatuhumu ni mteule wa Rais mbele ya Rais, Huo ni Uhaini. IGP yupo, DGIS yupo, CDF yupo, wanataka hadi rais wetu adhuriwe ndio wanze kuunda tume za uchunguzi?

Kwanini Vyombo hivi havijamuita CDF mstaafu aseme watu waliokuwa wakigoma Makamu Rais asiapishwe kuwa Rais baada ya Rais kufariki Dunia? Hawa tukiwapata ndio mzizi wa haya yote. Kwanini hata Bunge liko Kimya halijamwita CDF Mstaafu limhoji ikiwa Bunge ndio chombo kikuu cha kuisimamia Serikali? Tutegemee Bunge litamwita Makonda limhoji? Lakini swali lingine kwa Rais Samia, wewe si mgeni kwa Makonda, amekuwa ni mtu wa kutuhumu na kuchafua viongozi wa kisiasa na wafanyabiashara wakubwa tangu akiwa mtoto huko UVCCM, na tuhuma zake hazijawahi kuthibitishwa popote, kitendo cha kumrejesha katika mfumo mtu ambae ana rekodi mbaya ya kidunia haya ndio matunda unayovuna, Atakugombanisha na Wanaccm wenzako hadi utajikuta 2025 unaenda jumba la wastasfu kule Kizimkazi bila kuamini.

Rais Samia, una mtihani mgumu sana mbele yako ambao wewe ndio umeutengeneza bila kujua au kwakujua, Umejizibia njia kwakumletw Makonda ambae 98% ya Wenye CCM hawamtaki kuanzia Kizimkazi hadi Chamwino, Makonda amefanikiwa kukuaminisha kuwa yeye ni turufu kwako ukaondoa ccm nzuri uliyoisuka baada ya kushika urais na sasa unakwenda na ccm ya kimakondamakonda ambayo ushindi wake unategemea zaidi Bunduki, Swali kwako Rais Samia, Uko tayari kuupata ushindi wa damu 2025 chini ya Makonda?

Mwambie Makonda aseme hao watu wanaoheshimika nchini ambao wapo nyuma ya mawaziri ni akina nani? Nchi hii baada ya Mwinyi, Mkapa na Magufuli kuondoka mtu “mkubwa” wakuheshimika anayeijua nchi nje ndani ni Rais Mstaafu Jakaya Kikwete. Sasa alieleze taifa kama ni huyu kiongozi wetu mstaafu anawatuma hao mawaziri au ni porojo zake tu zinazohatarisha taifa.

Mimi nakutahadharisha Mheshimiwa Rais dhidi ya Makonda, huyu ana kublackmail hadharani na sirini. Alifanikiwa kwa Hayati Magufuli akamtia hofu sana, Magufuli akawa Rais Dikteta asiye na mfano, akaumiza watu wengi sana, Baada alikuja kustuka lakini akiwa ameshachelewa jini likiwa lishatoka katika chupa likizagaa Kigamboni likitaka ubunge ndipo akambwaga mazima! Leo umemuokota umemrudisha kwenye mfumo, Tabia haibadili ni kama ngozi! Watch it! narudia Watch it!
Sijui kati ya Yericko Nyerere na Lucas Mwashambwa nani anamuiga mwenzake kwa kuandika maelezo mareeeeefu!!!
 
Back
Top Bottom