Yericko: Makonda Aitwe Bungeni,Tuhuma za Kesi ya Uhaini ya mawaziri, Na Generali Mobeyo Aitwe kueleza Bunge ukweli wa Kesi ya uhaini Uliofanyika 2021

Yericko: Makonda Aitwe Bungeni,Tuhuma za Kesi ya Uhaini ya mawaziri, Na Generali Mobeyo Aitwe kueleza Bunge ukweli wa Kesi ya uhaini Uliofanyika 2021

Mange hayupo serikalini Mkuu.
Ila Makonda ni mserikali na mccm yupo kwenye majukumu yake ya kila siku
Kinachokufanya useme Mange hayupo serikalini Kama Makonda ni hivyo vyeo rasmi vya Makonda.

Lakini tukizijadili siasa za Siasa “kisiasa, tunamkosa vipi Mange kwenye meza moja na Makonda?

Mcheza hizo kete anaweza kuwa tofauti? Na Kama ni yule yule madhumuni yake haswa ni Yapi?
 
Ninavyoona, ili nchi inyooke akina Makonda ndio wanaotakiwa, ni JPM anaekuja kimya kimya. Big up Makonda.
 
kuna rais halafu katiba inafuata,kama huamini utaendelea kusema rais anachezea katiba.

Rais ni mwenyekiti wa chama tawala.
Rais ni amiri jeshi,wa jeshi linalolinda katiba.
Rais ni mteuzi wa wakuu wote wa taasisi serikali kuu.

Unaweza ukaona ni kwa namna gani katiba inapata nguvu kwa hisani tu za rais sio kwa kujisimamia yenyews.
Na hii ndiyo sababu kuu ya mkwamo wa mabadiriko ya Katiba ama upatikanaji wa Katiba mpya ambayo ipo kwa ajili na mujibu wa wananchi wa Tanganyika.
 
Rais Samia, una mtihani mgumu sana mbele yako ambao wewe ndio umeutengeneza bila kujua au kwakujua, Umejizibia njia kwakumletw Makonda ambae 98% ya Wenye CCM hawamtaki kuanzia Kizimkazi hadi Chamwino, Makonda amefanikiwa kukuaminisha kuwa yeye ni turufu kwako ukaondoa ccm nzuri uliyoisuka baada ya kushika urais na sasa unakwenda na ccm ya kimakondamakonda ambayo ushindi wake unategemea zaidi Bunduki, Swali kwako Rais Samia, Uko tayari kuupata ushindi wa damu 2025 chini ya Makonda?
Mambo mazito haya
 
Kinachokufanya useme Mange hayupo serikalini Kama Makonda ni hivyo vyeo rasmi vya Makonda.

Lakini tukizijadili siasa za Siasa “kisiasa, tunamkosa vipi Mange kwenye meza moja na Makonda?

Mcheza hizo kete anaweza kuwa tofauti? Na Kama ni yule yule madhumuni yake haswa ni Yapi?

Move na steps za Mange tsnhu kipindi cha JPM zipo dhahiri kuwa hayupo pamoja na serikali wala chama.

Ni jeshi la kujitegemea, tunaweza its Muasi ambaye yupo kwaajili yake yeye mwenyewe.

Tofauti na Makonda, move na steps za Makonda katika siasa za siasa zipo dhahiri kuwa anafanya majukumu yake ya kiserikali, kisiasa na kichama.

Uhusika aliojipa ndio unafanya chama na serikali kumtumia vile alivyo.

Mange yupo kwaajili yake yeye mwenyewe.

Ingawaje anaweza kukodishwa
 
kuna rais halafu katiba inafuata,kama huamini utaendelea kusema rais anachezea katiba.

Rais ni mwenyekiti wa chama tawala.
Rais ni amiri jeshi,wa jeshi linalolinda katiba.
Rais ni mteuzi wa wakuu wote wa taasisi serikali kuu.

Unaweza ukaona ni kwa namna gani katiba inapata nguvu kwa hisani tu za rais sio kwa kujisimamia yenyews.
Umesema kweli Mkorintho.
 
Move na steps za Mange tsnhu kipindi cha JPM zipo dhahiri kuwa hayupo pamoja na serikali wala chama.

Ni jeshi la kujitegemea, tunaweza its Muasi ambaye yupo kwaajili yake yeye mwenyewe.

Tofauti na Makonda, move na steps za Makonda katika siasa za siasa zipo dhahiri kuwa anafanya majukumu yake ya kiserikali, kisiasa na kichama.

Uhusika aliojipa ndio unafanya chama na serikali kumtumia vile alivyo.

Mange yupo kwaajili yake yeye mwenyewe.

Ingawaje anaweza kukodishwa
Watanzania sisi ni wajinga....tunajadili vitu vya hovyo.

Hivi kuna Rais Nchi hii alitukanwa zaidi ya Magufuli?

Kwanza Ukosoaji tangu lini ukawa matusi?
 
Watawala wamemweka Makonda makusudi ili wawape kazi Watu kama Yericko Nyerere kukosa muda wa kupanga ya kwao.

Makonda yupo kwaajili Political Drama,
Kwa jamii ya kitanzania na nature ya siasa za upinzani hapa nchini, Makonda ni kete muhimu kuitumia ili kuwapoteza maboya mahasimu wa CCM
wewe kwa sasa umeacha kuandika makala za hekaya nini ndugu

naona ni kama umechezwa na machale ivi
 
Uko kwenye kundi la Wajinga Wafrika wasiopenda Kusoma.
Tanzania ina wajinga wengi sana

Hilo jina huwa nasikia ni mwandishi wa vitabu

Nilinunua kitabu chake kimoja niliishia page ya tatu in short ni mweupe sana
 
Move na steps za Mange tsnhu kipindi cha JPM zipo dhahiri kuwa hayupo pamoja na serikali wala chama.

Ni jeshi la kujitegemea, tunaweza its Muasi ambaye yupo kwaajili yake yeye mwenyewe.

Tofauti na Makonda, move na steps za Makonda katika siasa za siasa zipo dhahiri kuwa anafanya majukumu yake ya kiserikali, kisiasa na kichama.

Uhusika aliojipa ndio unafanya chama na serikali kumtumia vile alivyo.

Mange yupo kwaajili yake yeye mwenyewe.

Ingawaje anaweza kukodishwa
Huoni kwamba Hapo ndipo ulipo ufanano wa Mange na Makonda, tofauti ni mmoja ni hadharani wakati mwingine ni mafichoni?

Haiwezekani kwenye awamu ya tano mchezesha kete pia aliwachezesha kwa namna ile ile wanayochezeshwa sasa hivi?

Na master wa awamu ile ndio wa awamu hii?

Mmoja yuko upande wa Rais mwingine yuko dhidi ya Rais, ni Kama marudio ya awamu ya tano?!

Je hakuna pattern hapo ya mchezesha kete?

Anaendelea sasa kwasababu lengo lake halijatimia? Ama ndilo lengo tangu awamu hiyo ila sasa anaendelea na mchezo wake?
 
Watawala wamemweka Makonda makusudi ili wawape kazi Watu kama Yericko Nyerere kukosa muda wa kupanga ya kwao.

Makonda yupo kwaajili Political Drama,
Kwa jamii ya kitanzania na nature ya siasa za upinzani hapa nchini, Makonda ni kete muhimu kuitumia ili kuwapoteza maboya mahasimu wa CCM

Ccm ipi ya kupoteza watu maboya? Magufuli alipiga propaganda mwenyewe miaka mitano, ilipofika wakati wa uchaguzi akaishia kuupora maana aliona alichoshindwa kuamini wakati wa kampeni. Usiwape sifa wasizokuwa nazo boss.
 
Ccm ipi ya kupoteza watu maboya? Magufuli alipiga propaganda mwenyewe miaka mitano, ilipofika wakati wa uchaguzi akaishia kuupora maana aliona alichoshindwa kuamini wakati wa kampeni. Usiwape sifa wasizokuwa nazo boss.
Ile ilikuwa aibu ya Dunia.

Alidhani Watanzania wanadanganyika na vile vifedha alikuwa anamwaga masokoni
 
Watanzania sisi ni wajinga....tunajadili vitu vya hovyo.

Hivi kuna Rais Nchi hii alitukanwa zaidi ya Magufuli?

Kwanza Ukosoaji tangu lini ukawa matusi?

Njia pekee ya kudili na Watu wenye matusi ni kuwapuuza.

Magufuli alipigana hata vita ambavyo hakutakiwa kupambana navyo.

Hakuna jibu shambulio baya kama kukaa kimya.
 
Njia pekee ya kudili na Watu wenye matusi ni kuwapuuza.

Magufuli alipigana hata vita ambavyo hakutakiwa kupambana navyo.

Hakuna jibu shambulio baya kama kukaa kimya.
Mwisho wa siku aka loose focus akaishia kufanya yasiyofaa.....na hayakuwa nna faida kwake na wanaomzunguka.
 
Ccm ipi ya kupoteza watu maboya? Magufuli alipiga propaganda mwenyewe miaka mitano, ilipofika wakati wa uchaguzi akaishia kuupora maana aliona alichoshindwa kuamini wakati wa kampeni. Usiwape sifa wasizokuwa nazo boss.

Magufuli hakuwahi kuwa mwanasiasa.
Kama angekuwa mwanasiasa huenda mpaka leo angekuwepo.

Siasa ndio hizi unazoziona hivi leo.
 
Nchi hii baada ya Mwinyi, Mkapa na Magufuli kuondoka mtu “mkubwa” wakuheshimika anayeijua nchi nje ndani ni Rais Mstaafu Jakaya Kikwete. Sasa alieleze taifa kama ni huyu kiongozi wetu mstaafu anawatuma hao mawaziri au ni porojo zake tu zinazohatarisha taifa.

Makonda, huyu ana kublackmail hadharani na sirini. Alifanikiwa kwa Hayati Magufuli akamtia hofu sana, Magufuli akawa Rais Dikteta asiye na mfano, akaumiza watu wengi sana, Baada alikuja kustuka lakini akiwa ameshachelewa jini likiwa lishatoka katika chupa

Hizi nguvu mbili ndiyo hatari kwa nchi hivi sasa

 
Back
Top Bottom