Coach Slamah Hamad
JF-Expert Member
- Nov 12, 2014
- 3,740
- 4,938
Kinachokufanya useme Mange hayupo serikalini Kama Makonda ni hivyo vyeo rasmi vya Makonda.Mange hayupo serikalini Mkuu.
Ila Makonda ni mserikali na mccm yupo kwenye majukumu yake ya kila siku
Lakini tukizijadili siasa za Siasa “kisiasa, tunamkosa vipi Mange kwenye meza moja na Makonda?
Mcheza hizo kete anaweza kuwa tofauti? Na Kama ni yule yule madhumuni yake haswa ni Yapi?