DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
- Thread starter
-
- #101
Anawajua wateule wake lakini baada ya makonda kumwambia kuna Mawaziri wanamtukana Akaandika barua ya Onyo kwa Mawaziri na Viongozi!Unataka kusema Rais hawajui wateule wake
Hell No anawajua vizuri sana
Rais hajaingia siasa leo wala jana na anawajua wote kwa tabia zao
Kuna watu unaweza kumuona ana biashara zake ila kuna mmoja ni mwizi sana na anamuibia tajiri na kila wakishtaki tajiri anamuacha tu
Kumbe kuna maslahi makubwa au siri kubwa nyuma yake
Tuwaache wao ndio wanajuana
Mama kakataa aitwe mama ila jamaa anamuita tena mara mbili
Siasa za nchi masikini zinaenda kwa matukio lakini maendeleo hakuna zaidi kumalizana tu na majungu
Watu wanatafuta mali nothing else
Ila kashinda tuzo ya uandishi Bora wa vitabu ,Sasa amepataje tuzo kwa uandishi huuhuyu sijui labda ana hoja lakini uandishi wake hauna taste nzuri,kuna jamaa yangu alinunua kitabu chake niligusa page moja tu nikaishia hapo hapo,hili andiko nimesoma mpaka kati,hoja unaiona,ila taste ya uandishi kukuvutia uendelee kusoma hamna.
Tafuta Video Iliyo ndefu kaisikilize Bila kuwa na Bias..Mbona hapo anazungumzia mjadala kuhusu either kuapishwa kwa gwaride ama sivyo kwa sababu ya msiba kulikua na opinion mbili tofauti? (Sherehe msibani)
Halafu mjadala mwingine ukawa wa aapishwe kabla ama baada ya msiba nako kukawa na opinio mbili?
Ni wapi katika hayo mazungumzo amenena kwa kinywa chake General Mobeyo ya kwamba kuna “kundi lililokua linaweka mgomo Rais Samia hasiapishwe na kuwa Rais wa JMT no matter what?
Wewe ni mchonganishi na hayo ni mawazo yako! Makonda ni kiongozi sahihi kwa wakati sahihi! Katika mabadiliko lazima pawepo na wapiga filimbi "whistle blower". Kama SSH kazungukwa na genge la mafisadi, wala rushwa, makuhadi wa mabeberu, n.k nani atathubutu kuwafunga mdomo na kuwakemea. JK ndo walewale wahujumu uchumi! Gesi ya Mtwara aliwauzia wachina 75% na taifa tunafaidi 25%. Hata usafiri wa umma "mwendokasi wa Dar" ni jina tu lakini uhalisia ni mradi wa JK! Mleta mada usitake kujifanya unajua wakati hujui au na wewe umetumwa!Anaandika Yericko Nyerere
Wengi mmeomba nitoe maoni yangu kuhusu kauli za mtu anayejiita Paulo Makonda kwamba kuna mawazi wanawalipa watu ili kumtuna Rais na kwamba mawaziri hao wana wawatu nyuma ambao ni watu wa kuheshimika katika nchi.
Kabla sijazungumzia kauli hiyo naomba niwarejeshe kwenye kauli ya Mkuu wa Majeshi Mstaafu General Mabeyo kwamba kuna watu walitaka Makamu Rais asiapishwe, Kauli hii hadi leo haijajibiwa ni akina nani hao walioleta mabishano ya kikatiba hadi Jeshi likasimamia Katiba? Kimantiki na ushahidi wa mazingira ni wale waliokuwa mdarakani baada ya Hayati Magufuli kufariki, sasa ukimtoa makamu Rais, anayefuatia ni Waziri Mkuu, Spika wa Bunge na Jaji Mkuu, hawa ndio viongozi waliokuwa katika madaraka kikatiba na kisheria baada ya Rais kufariki.
Swali halijajibiwa nani alipinga Katiba kutekelezwa ili makamu rais asiapishwe? Lakini swali lingine muhimu linaibuka, Nani alikuwa nyuma ya Mabeyo akaamrisha katiba ifuatwe na kwamba Makamu Rais aapishwe amalizie muhula wake wa 5? Tukimjua huyu basi tuhoji muhula wa 5 upo au Samia amebadilisha na sasa anajiita wa muhula wa 6 ambapo anataka akaumalize 2030 kama nyimbo zinavyoimbwa? Tukijua hapa huu ndio mzizi wa ugomvi mkubwa wa kisiasa ndani ya CCM. Ifahamike huu ni ugomvi wa ccm sasa wanaoshindwa vita wanauleta nje uwe ugomvi wa Taifa. Tukatae! Kwanza Binafsi sioni logic ya Rais kutukanwa ikawa agenda ya kitaifa ikaandaliwa jukwaa lililosahaulika 40yrs, Waseme vizuri kuna makubwa zaidi ya hilo.
Majibu ya hapo juu ndio yanatupa fursa ya kujua mengi zaidi baada ya kauli ya Makonda, Swali moja tu jiulize kwa miaka 40 hatujawahi kuwa na siku ya maadhimisho ya kifo cha Sokoine, lakini ghafla bin vuu, Serikali nzima na vyombo vya ulinzi wamebuni tukio hili ambalo msingi wake umekuwa kujibu mapigo na kuwatishia wanaotishia nafasi zao. Rejea taarifa ya ikulu iliyotolewa mapema yaani saa moja kabla hata shughuli ya maadhimisho hayo haijaanza. Hii inatafsiri kwamba Maadhimisho ya kifo cha Sokoine ilikuwa kusaka jukwaa tu la kujibu vita vikali ndani ya ccm kuelekea 2025 ambayo kikatiba ndani yw ccm watu watu wote wanaruhusiwa kugombea, yaani hakuna kitu kinaitwa awamu, Awamu ya Tano ya Rais hayati Magufuli, Rais Samia anaimaliza October 2025.
Sasa turudi kwenye uhalisia ingekuwa kweli ni ugomvi wa kiinch kama Makonda anavyotaka umma ujue, Basi Makonda leo angekuwa kizuizini kwa kesi ya UHAINI, yes unaweza usinielewe, lakini Kauli ya Makonda inaangukia kwenye kuunda kosa la uhaini kwamjibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ibara ya 54 (3). Ibara hii inatamka wazi kwamba chombo KIKUU cha Kumshauri rais ni Baraza la Mawaziri, Sasa Baraza la Mawaziri linatuhumiwa kumtukana Rais na anayewatuhumu ni mteule wa Rais mbele ya Rais, Huo ni Uhaini. IGP yupo, DGIS yupo, CDF yupo, wanataka hadi rais wetu adhuriwe ndio wanze kuunda tume za uchunguzi?
Kwanini Vyombo hivi havijamuita CDF mstaafu aseme watu waliokuwa wakigoma Makamu Rais asiapishwe kuwa Rais baada ya Rais kufariki Dunia? Hawa tukiwapata ndio mzizi wa haya yote. Kwanini hata Bunge liko Kimya halijamwita CDF Mstaafu limhoji ikiwa Bunge ndio chombo kikuu cha kuisimamia Serikali? Tutegemee Bunge litamwita Makonda limhoji? Lakini swali lingine kwa Rais Samia, wewe si mgeni kwa Makonda, amekuwa ni mtu wa kutuhumu na kuchafua viongozi wa kisiasa na wafanyabiashara wakubwa tangu akiwa mtoto huko UVCCM, na tuhuma zake hazijawahi kuthibitishwa popote, kitendo cha kumrejesha katika mfumo mtu ambae ana rekodi mbaya ya kidunia haya ndio matunda unayovuna, Atakugombanisha na Wanaccm wenzako hadi utajikuta 2025 unaenda jumba la wastasfu kule Kizimkazi bila kuamini.
Rais Samia, una mtihani mgumu sana mbele yako ambao wewe ndio umeutengeneza bila kujua au kwakujua, Umejizibia njia kwakumletw Makonda ambae 98% ya Wenye CCM hawamtaki kuanzia Kizimkazi hadi Chamwino, Makonda amefanikiwa kukuaminisha kuwa yeye ni turufu kwako ukaondoa ccm nzuri uliyoisuka baada ya kushika urais na sasa unakwenda na ccm ya kimakondamakonda ambayo ushindi wake unategemea zaidi Bunduki, Swali kwako Rais Samia, Uko tayari kuupata ushindi wa damu 2025 chini ya Makonda?
Mwambie Makonda aseme hao watu wanaoheshimika nchini ambao wapo nyuma ya mawaziri ni akina nani? Nchi hii baada ya Mwinyi, Mkapa na Magufuli kuondoka mtu “mkubwa” wakuheshimika anayeijua nchi nje ndani ni Rais Mstaafu Jakaya Kikwete. Sasa alieleze taifa kama ni huyu kiongozi wetu mstaafu anawatuma hao mawaziri au ni porojo zake tu zinazohatarisha taifa.
Mimi nakutahadharisha Mheshimiwa Rais dhidi ya Makonda, huyu ana kublackmail hadharani na sirini. Alifanikiwa kwa Hayati Magufuli akamtia hofu sana, Magufuli akawa Rais Dikteta asiye na mfano, akaumiza watu wengi sana, Baada alikuja kustuka lakini akiwa ameshachelewa jini likiwa lishatoka katika chupa likizagaa Kigamboni likitaka ubunge ndipo akambwaga mazima! Leo umemuokota umemrudisha kwenye mfumo, Tabia haibadili ni kama ngozi! Watch it! narudia Watch it!
Mmmmh !Anaandika Yericko Nyerere
Wengi mmeomba nitoe maoni yangu kuhusu kauli za mtu anayejiita Paulo Makonda kwamba kuna mawazi wanawalipa watu ili kumtuna Rais na kwamba mawaziri hao wana wawatu nyuma ambao ni watu wa kuheshimika katika nchi.
Kabla sijazungumzia kauli hiyo naomba niwarejeshe kwenye kauli ya Mkuu wa Majeshi Mstaafu General Mabeyo kwamba kuna watu walitaka Makamu Rais asiapishwe, Kauli hii hadi leo haijajibiwa ni akina nani hao walioleta mabishano ya kikatiba hadi Jeshi likasimamia Katiba? Kimantiki na ushahidi wa mazingira ni wale waliokuwa mdarakani baada ya Hayati Magufuli kufariki, sasa ukimtoa makamu Rais, anayefuatia ni Waziri Mkuu, Spika wa Bunge na Jaji Mkuu, hawa ndio viongozi waliokuwa katika madaraka kikatiba na kisheria baada ya Rais kufariki.
Swali halijajibiwa nani alipinga Katiba kutekelezwa ili makamu rais asiapishwe? Lakini swali lingine muhimu linaibuka, Nani alikuwa nyuma ya Mabeyo akaamrisha katiba ifuatwe na kwamba Makamu Rais aapishwe amalizie muhula wake wa 5? Tukimjua huyu basi tuhoji muhula wa 5 upo au Samia amebadilisha na sasa anajiita wa muhula wa 6 ambapo anataka akaumalize 2030 kama nyimbo zinavyoimbwa? Tukijua hapa huu ndio mzizi wa ugomvi mkubwa wa kisiasa ndani ya CCM. Ifahamike huu ni ugomvi wa ccm sasa wanaoshindwa vita wanauleta nje uwe ugomvi wa Taifa. Tukatae! Kwanza Binafsi sioni logic ya Rais kutukanwa ikawa agenda ya kitaifa ikaandaliwa jukwaa lililosahaulika 40yrs, Waseme vizuri kuna makubwa zaidi ya hilo.
Majibu ya hapo juu ndio yanatupa fursa ya kujua mengi zaidi baada ya kauli ya Makonda, Swali moja tu jiulize kwa miaka 40 hatujawahi kuwa na siku ya maadhimisho ya kifo cha Sokoine, lakini ghafla bin vuu, Serikali nzima na vyombo vya ulinzi wamebuni tukio hili ambalo msingi wake umekuwa kujibu mapigo na kuwatishia wanaotishia nafasi zao. Rejea taarifa ya ikulu iliyotolewa mapema yaani saa moja kabla hata shughuli ya maadhimisho hayo haijaanza. Hii inatafsiri kwamba Maadhimisho ya kifo cha Sokoine ilikuwa kusaka jukwaa tu la kujibu vita vikali ndani ya ccm kuelekea 2025 ambayo kikatiba ndani yw ccm watu watu wote wanaruhusiwa kugombea, yaani hakuna kitu kinaitwa awamu, Awamu ya Tano ya Rais hayati Magufuli, Rais Samia anaimaliza October 2025.
Sasa turudi kwenye uhalisia ingekuwa kweli ni ugomvi wa kiinch kama Makonda anavyotaka umma ujue, Basi Makonda leo angekuwa kizuizini kwa kesi ya UHAINI, yes unaweza usinielewe, lakini Kauli ya Makonda inaangukia kwenye kuunda kosa la uhaini kwamjibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ibara ya 54 (3). Ibara hii inatamka wazi kwamba chombo KIKUU cha Kumshauri rais ni Baraza la Mawaziri, Sasa Baraza la Mawaziri linatuhumiwa kumtukana Rais na anayewatuhumu ni mteule wa Rais mbele ya Rais, Huo ni Uhaini. IGP yupo, DGIS yupo, CDF yupo, wanataka hadi rais wetu adhuriwe ndio wanze kuunda tume za uchunguzi?
Kwanini Vyombo hivi havijamuita CDF mstaafu aseme watu waliokuwa wakigoma Makamu Rais asiapishwe kuwa Rais baada ya Rais kufariki Dunia? Hawa tukiwapata ndio mzizi wa haya yote. Kwanini hata Bunge liko Kimya halijamwita CDF Mstaafu limhoji ikiwa Bunge ndio chombo kikuu cha kuisimamia Serikali? Tutegemee Bunge litamwita Makonda limhoji? Lakini swali lingine kwa Rais Samia, wewe si mgeni kwa Makonda, amekuwa ni mtu wa kutuhumu na kuchafua viongozi wa kisiasa na wafanyabiashara wakubwa tangu akiwa mtoto huko UVCCM, na tuhuma zake hazijawahi kuthibitishwa popote, kitendo cha kumrejesha katika mfumo mtu ambae ana rekodi mbaya ya kidunia haya ndio matunda unayovuna, Atakugombanisha na Wanaccm wenzako hadi utajikuta 2025 unaenda jumba la wastasfu kule Kizimkazi bila kuamini.
Rais Samia, una mtihani mgumu sana mbele yako ambao wewe ndio umeutengeneza bila kujua au kwakujua, Umejizibia njia kwakumletw Makonda ambae 98% ya Wenye CCM hawamtaki kuanzia Kizimkazi hadi Chamwino, Makonda amefanikiwa kukuaminisha kuwa yeye ni turufu kwako ukaondoa ccm nzuri uliyoisuka baada ya kushika urais na sasa unakwenda na ccm ya kimakondamakonda ambayo ushindi wake unategemea zaidi Bunduki, Swali kwako Rais Samia, Uko tayari kuupata ushindi wa damu 2025 chini ya Makonda?
Mwambie Makonda aseme hao watu wanaoheshimika nchini ambao wapo nyuma ya mawaziri ni akina nani? Nchi hii baada ya Mwinyi, Mkapa na Magufuli kuondoka mtu “mkubwa” wakuheshimika anayeijua nchi nje ndani ni Rais Mstaafu Jakaya Kikwete. Sasa alieleze taifa kama ni huyu kiongozi wetu mstaafu anawatuma hao mawaziri au ni porojo zake tu zinazohatarisha taifa.
Mimi nakutahadharisha Mheshimiwa Rais dhidi ya Makonda, huyu ana kublackmail hadharani na sirini. Alifanikiwa kwa Hayati Magufuli akamtia hofu sana, Magufuli akawa Rais Dikteta asiye na mfano, akaumiza watu wengi sana, Baada alikuja kustuka lakini akiwa ameshachelewa jini likiwa lishatoka katika chupa likizagaa Kigamboni likitaka ubunge ndipo akambwaga mazima! Leo umemuokota umemrudisha kwenye mfumo, Tabia haibadili ni kama ngozi! Watch it! narudia Watch it!
Hoja Hujibiwa na Hoja Ningependa kama ungepinga mambo yaliyoomgelewa kwa kuyajibu kwa hoja na sio Kuleta hoja mpyaWewe ni mchonganishi na hayo mawazo yako! Makonda ni kiongozi sahihi kwa wakati sahihi! Katika mabadiliko lazima pawepo na wapiga filimbi "whistle blower". Kama SSH kaUngukwa na genge la mafisadi, wala rushwa, makuhadi wa mabeberu, n.k nani atathubutu kufungua mdomo kuwakemea. JK ndo walewale wahujumu uchumi! Gesi ya Mtwara aliwauzia wachina 75% na taifa tunafaidi 25%. Hata usafiri wa umma "mwendokasi wa Dar" ni jina tu lakini uhalisia ni mradi wa JK! Mleta mada usitake kujifanya unajua wakati hujui au na wewe umetumwa!
Nimefanya hivyo mara 3.Tafuta Video Iliyo ndefu kaisikilize Bila kuwa na Bias..
hili kundi la kufikirika la magufuri linaongozwa na nani kwa sasa?Makonda ndiye mtu pekee anayeweza msaidia Samia , ambaye amezungukwa na genge la Msoga ambalo halimtaki kwa Sasa
Samia awarudie kundi la Magufuli na kuachana na Msoga hili kundi la Magufuli ndilo la kumvusha
Umeelewa nilichoandika au unakurupuka tu? Unasoma vitabu wewe? Ukiambiwa utaje waandishi mahiri kutoka Tanzania utamtaja huyo bwana? Tuzo ndio kipimo chako cha uandishi mzuri?Ila kashinda tuzo ya uandishi Bora wa vitabu ,Sasa amepataje tuzo kwa uandishi huu
Acha unafiki kjn na wee kuwa mtunzi Kama unaona yeye anakosea kuandika
Makonda katuhumu baadhi ya viongozi wa serikali, hajahutuhumu muhimili wa bunge, acheni ujingaAnaandika Yericko Nyerere
Wengi mmeomba nitoe maoni yangu kuhusu kauli za mtu anayejiita Paulo Makonda kwamba kuna mawazi wanawalipa watu ili kumtuna Rais na kwamba mawaziri hao wana wawatu nyuma ambao ni watu wa kuheshimika katika nchi.
Kabla sijazungumzia kauli hiyo naomba niwarejeshe kwenye kauli ya Mkuu wa Majeshi Mstaafu General Mabeyo kwamba kuna watu walitaka Makamu Rais asiapishwe, Kauli hii hadi leo haijajibiwa ni akina nani hao walioleta mabishano ya kikatiba hadi Jeshi likasimamia Katiba? Kimantiki na ushahidi wa mazingira ni wale waliokuwa mdarakani baada ya Hayati Magufuli kufariki, sasa ukimtoa makamu Rais, anayefuatia ni Waziri Mkuu, Spika wa Bunge na Jaji Mkuu, hawa ndio viongozi waliokuwa katika madaraka kikatiba na kisheria baada ya Rais kufariki.
Swali halijajibiwa nani alipinga Katiba kutekelezwa ili makamu rais asiapishwe? Lakini swali lingine muhimu linaibuka, Nani alikuwa nyuma ya Mabeyo akaamrisha katiba ifuatwe na kwamba Makamu Rais aapishwe amalizie muhula wake wa 5? Tukimjua huyu basi tuhoji muhula wa 5 upo au Samia amebadilisha na sasa anajiita wa muhula wa 6 ambapo anataka akaumalize 2030 kama nyimbo zinavyoimbwa? Tukijua hapa huu ndio mzizi wa ugomvi mkubwa wa kisiasa ndani ya CCM. Ifahamike huu ni ugomvi wa ccm sasa wanaoshindwa vita wanauleta nje uwe ugomvi wa Taifa. Tukatae! Kwanza Binafsi sioni logic ya Rais kutukanwa ikawa agenda ya kitaifa ikaandaliwa jukwaa lililosahaulika 40yrs, Waseme vizuri kuna makubwa zaidi ya hilo.
Majibu ya hapo juu ndio yanatupa fursa ya kujua mengi zaidi baada ya kauli ya Makonda, Swali moja tu jiulize kwa miaka 40 hatujawahi kuwa na siku ya maadhimisho ya kifo cha Sokoine, lakini ghafla bin vuu, Serikali nzima na vyombo vya ulinzi wamebuni tukio hili ambalo msingi wake umekuwa kujibu mapigo na kuwatishia wanaotishia nafasi zao. Rejea taarifa ya ikulu iliyotolewa mapema yaani saa moja kabla hata shughuli ya maadhimisho hayo haijaanza. Hii inatafsiri kwamba Maadhimisho ya kifo cha Sokoine ilikuwa kusaka jukwaa tu la kujibu vita vikali ndani ya ccm kuelekea 2025 ambayo kikatiba ndani yw ccm watu watu wote wanaruhusiwa kugombea, yaani hakuna kitu kinaitwa awamu, Awamu ya Tano ya Rais hayati Magufuli, Rais Samia anaimaliza October 2025.
Sasa turudi kwenye uhalisia ingekuwa kweli ni ugomvi wa kiinch kama Makonda anavyotaka umma ujue, Basi Makonda leo angekuwa kizuizini kwa kesi ya UHAINI, yes unaweza usinielewe, lakini Kauli ya Makonda inaangukia kwenye kuunda kosa la uhaini kwamjibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ibara ya 54 (3). Ibara hii inatamka wazi kwamba chombo KIKUU cha Kumshauri rais ni Baraza la Mawaziri, Sasa Baraza la Mawaziri linatuhumiwa kumtukana Rais na anayewatuhumu ni mteule wa Rais mbele ya Rais, Huo ni Uhaini. IGP yupo, DGIS yupo, CDF yupo, wanataka hadi rais wetu adhuriwe ndio wanze kuunda tume za uchunguzi?
Kwanini Vyombo hivi havijamuita CDF mstaafu aseme watu waliokuwa wakigoma Makamu Rais asiapishwe kuwa Rais baada ya Rais kufariki Dunia? Hawa tukiwapata ndio mzizi wa haya yote. Kwanini hata Bunge liko Kimya halijamwita CDF Mstaafu limhoji ikiwa Bunge ndio chombo kikuu cha kuisimamia Serikali? Tutegemee Bunge litamwita Makonda limhoji? Lakini swali lingine kwa Rais Samia, wewe si mgeni kwa Makonda, amekuwa ni mtu wa kutuhumu na kuchafua viongozi wa kisiasa na wafanyabiashara wakubwa tangu akiwa mtoto huko UVCCM, na tuhuma zake hazijawahi kuthibitishwa popote, kitendo cha kumrejesha katika mfumo mtu ambae ana rekodi mbaya ya kidunia haya ndio matunda unayovuna, Atakugombanisha na Wanaccm wenzako hadi utajikuta 2025 unaenda jumba la wastasfu kule Kizimkazi bila kuamini.
Rais Samia, una mtihani mgumu sana mbele yako ambao wewe ndio umeutengeneza bila kujua au kwakujua, Umejizibia njia kwakumletw Makonda ambae 98% ya Wenye CCM hawamtaki kuanzia Kizimkazi hadi Chamwino, Makonda amefanikiwa kukuaminisha kuwa yeye ni turufu kwako ukaondoa ccm nzuri uliyoisuka baada ya kushika urais na sasa unakwenda na ccm ya kimakondamakonda ambayo ushindi wake unategemea zaidi Bunduki, Swali kwako Rais Samia, Uko tayari kuupata ushindi wa damu 2025 chini ya Makonda?
Mwambie Makonda aseme hao watu wanaoheshimika nchini ambao wapo nyuma ya mawaziri ni akina nani? Nchi hii baada ya Mwinyi, Mkapa na Magufuli kuondoka mtu “mkubwa” wakuheshimika anayeijua nchi nje ndani ni Rais Mstaafu Jakaya Kikwete. Sasa alieleze taifa kama ni huyu kiongozi wetu mstaafu anawatuma hao mawaziri au ni porojo zake tu zinazohatarisha taifa.
Mimi nakutahadharisha Mheshimiwa Rais dhidi ya Makonda, huyu ana kublackmail hadharani na sirini. Alifanikiwa kwa Hayati Magufuli akamtia hofu sana, Magufuli akawa Rais Dikteta asiye na mfano, akaumiza watu wengi sana, Baada alikuja kustuka lakini akiwa ameshachelewa jini likiwa lishatoka katika chupa likizagaa Kigamboni likitaka ubunge ndipo akambwaga mazima! Leo umemuokota umemrudisha kwenye mfumo, Tabia haibadili ni kama ngozi! Watch it! narudia Watch it!
Nyuzi imejaa shambulizi dhidi ya Makonda tu, mtatumika sana tuAnaandika Yericko Nyerere
Wengi mmeomba nitoe maoni yangu kuhusu kauli za mtu anayejiita Paulo Makonda kwamba kuna mawazi wanawalipa watu ili kumtuna Rais na kwamba mawaziri hao wana wawatu nyuma ambao ni watu wa kuheshimika katika nchi.
Kabla sijazungumzia kauli hiyo naomba niwarejeshe kwenye kauli ya Mkuu wa Majeshi Mstaafu General Mabeyo kwamba kuna watu walitaka Makamu Rais asiapishwe, Kauli hii hadi leo haijajibiwa ni akina nani hao walioleta mabishano ya kikatiba hadi Jeshi likasimamia Katiba? Kimantiki na ushahidi wa mazingira ni wale waliokuwa mdarakani baada ya Hayati Magufuli kufariki, sasa ukimtoa makamu Rais, anayefuatia ni Waziri Mkuu, Spika wa Bunge na Jaji Mkuu, hawa ndio viongozi waliokuwa katika madaraka kikatiba na kisheria baada ya Rais kufariki.
Swali halijajibiwa nani alipinga Katiba kutekelezwa ili makamu rais asiapishwe? Lakini swali lingine muhimu linaibuka, Nani alikuwa nyuma ya Mabeyo akaamrisha katiba ifuatwe na kwamba Makamu Rais aapishwe amalizie muhula wake wa 5? Tukimjua huyu basi tuhoji muhula wa 5 upo au Samia amebadilisha na sasa anajiita wa muhula wa 6 ambapo anataka akaumalize 2030 kama nyimbo zinavyoimbwa? Tukijua hapa huu ndio mzizi wa ugomvi mkubwa wa kisiasa ndani ya CCM. Ifahamike huu ni ugomvi wa ccm sasa wanaoshindwa vita wanauleta nje uwe ugomvi wa Taifa. Tukatae! Kwanza Binafsi sioni logic ya Rais kutukanwa ikawa agenda ya kitaifa ikaandaliwa jukwaa lililosahaulika 40yrs, Waseme vizuri kuna makubwa zaidi ya hilo.
Majibu ya hapo juu ndio yanatupa fursa ya kujua mengi zaidi baada ya kauli ya Makonda, Swali moja tu jiulize kwa miaka 40 hatujawahi kuwa na siku ya maadhimisho ya kifo cha Sokoine, lakini ghafla bin vuu, Serikali nzima na vyombo vya ulinzi wamebuni tukio hili ambalo msingi wake umekuwa kujibu mapigo na kuwatishia wanaotishia nafasi zao. Rejea taarifa ya ikulu iliyotolewa mapema yaani saa moja kabla hata shughuli ya maadhimisho hayo haijaanza. Hii inatafsiri kwamba Maadhimisho ya kifo cha Sokoine ilikuwa kusaka jukwaa tu la kujibu vita vikali ndani ya ccm kuelekea 2025 ambayo kikatiba ndani yw ccm watu watu wote wanaruhusiwa kugombea, yaani hakuna kitu kinaitwa awamu, Awamu ya Tano ya Rais hayati Magufuli, Rais Samia anaimaliza October 2025.
Sasa turudi kwenye uhalisia ingekuwa kweli ni ugomvi wa kiinch kama Makonda anavyotaka umma ujue, Basi Makonda leo angekuwa kizuizini kwa kesi ya UHAINI, yes unaweza usinielewe, lakini Kauli ya Makonda inaangukia kwenye kuunda kosa la uhaini kwamjibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ibara ya 54 (3). Ibara hii inatamka wazi kwamba chombo KIKUU cha Kumshauri rais ni Baraza la Mawaziri, Sasa Baraza la Mawaziri linatuhumiwa kumtukana Rais na anayewatuhumu ni mteule wa Rais mbele ya Rais, Huo ni Uhaini. IGP yupo, DGIS yupo, CDF yupo, wanataka hadi rais wetu adhuriwe ndio wanze kuunda tume za uchunguzi?
Kwanini Vyombo hivi havijamuita CDF mstaafu aseme watu waliokuwa wakigoma Makamu Rais asiapishwe kuwa Rais baada ya Rais kufariki Dunia? Hawa tukiwapata ndio mzizi wa haya yote. Kwanini hata Bunge liko Kimya halijamwita CDF Mstaafu limhoji ikiwa Bunge ndio chombo kikuu cha kuisimamia Serikali? Tutegemee Bunge litamwita Makonda limhoji? Lakini swali lingine kwa Rais Samia, wewe si mgeni kwa Makonda, amekuwa ni mtu wa kutuhumu na kuchafua viongozi wa kisiasa na wafanyabiashara wakubwa tangu akiwa mtoto huko UVCCM, na tuhuma zake hazijawahi kuthibitishwa popote, kitendo cha kumrejesha katika mfumo mtu ambae ana rekodi mbaya ya kidunia haya ndio matunda unayovuna, Atakugombanisha na Wanaccm wenzako hadi utajikuta 2025 unaenda jumba la wastasfu kule Kizimkazi bila kuamini.
Rais Samia, una mtihani mgumu sana mbele yako ambao wewe ndio umeutengeneza bila kujua au kwakujua, Umejizibia njia kwakumletw Makonda ambae 98% ya Wenye CCM hawamtaki kuanzia Kizimkazi hadi Chamwino, Makonda amefanikiwa kukuaminisha kuwa yeye ni turufu kwako ukaondoa ccm nzuri uliyoisuka baada ya kushika urais na sasa unakwenda na ccm ya kimakondamakonda ambayo ushindi wake unategemea zaidi Bunduki, Swali kwako Rais Samia, Uko tayari kuupata ushindi wa damu 2025 chini ya Makonda?
Mwambie Makonda aseme hao watu wanaoheshimika nchini ambao wapo nyuma ya mawaziri ni akina nani? Nchi hii baada ya Mwinyi, Mkapa na Magufuli kuondoka mtu “mkubwa” wakuheshimika anayeijua nchi nje ndani ni Rais Mstaafu Jakaya Kikwete. Sasa alieleze taifa kama ni huyu kiongozi wetu mstaafu anawatuma hao mawaziri au ni porojo zake tu zinazohatarisha taifa.
Mimi nakutahadharisha Mheshimiwa Rais dhidi ya Makonda, huyu ana kublackmail hadharani na sirini. Alifanikiwa kwa Hayati Magufuli akamtia hofu sana, Magufuli akawa Rais Dikteta asiye na mfano, akaumiza watu wengi sana, Baada alikuja kustuka lakini akiwa ameshachelewa jini likiwa lishatoka katika chupa likizagaa Kigamboni likitaka ubunge ndipo akambwaga mazima! Leo umemuokota umemrudisha kwenye mfumo, Tabia haibadili ni kama ngozi! Watch it! narudia Watch it!
Maajabu hayaishiAnawajua wateule wake lakini baada ya makonda kumwambia kuna Mawaziri wanamtukana Akaandika barua ya Onyo kwa Mawaziri na Viongozi!
Hiyo Imekaaje
Viongozi wa Serkali ambao Wako Bungeni Malizia hapo..Makonda katuhumu baadhi ya viongozi wa serikali, hajahutuhumu muhimili wa bunge, acheni ujinga
Watuhumiwa mawaziri walitakiwa kutumia njia ya kisiasa kwa kujiuzulu na kuonesha hadharani kisiasa hawamuingi mkono kiongozi wao au kuunda charma kipya kama cha Jacob Zuma kule South Africa au kujiunga na vyama vingine kwa uwazi kisiasa badala za njama za chini kwa chini kumuondoa kiongozi wao mkuu
Anaandika Yericko Nyerere
Wengi mmeomba nitoe maoni yangu kuhusu kauli za mtu anayejiita Paulo Makonda kwamba kuna mawazi wanawalipa watu ili kumtuna Rais na kwamba mawaziri hao wana wawatu nyuma ambao ni watu wa kuheshimika katika nchi.
Kabla sijazungumzia kauli hiyo naomba niwarejeshe kwenye kauli ya Mkuu wa Majeshi Mstaafu General Mabeyo kwamba kuna watu walitaka Makamu Rais asiapishwe, Kauli hii hadi leo haijajibiwa ni akina nani hao walioleta mabishano ya kikatiba hadi Jeshi likasimamia Katiba? Kimantiki na ushahidi wa mazingira ni wale waliokuwa mdarakani baada ya Hayati Magufuli kufariki, sasa ukimtoa makamu Rais, anayefuatia ni Waziri Mkuu, Spika wa Bunge na Jaji Mkuu, hawa ndio viongozi waliokuwa katika madaraka kikatiba na kisheria baada ya Rais kufariki.
Swali halijajibiwa nani alipinga Katiba kutekelezwa ili makamu rais asiapishwe? Lakini swali lingine muhimu linaibuka, Nani alikuwa nyuma ya Mabeyo akaamrisha katiba ifuatwe na kwamba Makamu Rais aapishwe amalizie muhula wake wa 5? Tukimjua huyu basi tuhoji muhula wa 5 upo au Samia amebadilisha na sasa anajiita wa muhula wa 6 ambapo anataka akaumalize 2030 kama nyimbo zinavyoimbwa? Tukijua hapa huu ndio mzizi wa ugomvi mkubwa wa kisiasa ndani ya CCM. Ifahamike huu ni ugomvi wa ccm sasa wanaoshindwa vita wanauleta nje uwe ugomvi wa Taifa. Tukatae! Kwanza Binafsi sioni logic ya Rais kutukanwa ikawa agenda ya kitaifa ikaandaliwa jukwaa lililosahaulika 40yrs, Waseme vizuri kuna makubwa zaidi ya hilo.
Majibu ya hapo juu ndio yanatupa fursa ya kujua mengi zaidi baada ya kauli ya Makonda, Swali moja tu jiulize kwa miaka 40 hatujawahi kuwa na siku ya maadhimisho ya kifo cha Sokoine, lakini ghafla bin vuu, Serikali nzima na vyombo vya ulinzi wamebuni tukio hili ambalo msingi wake umekuwa kujibu mapigo na kuwatishia wanaotishia nafasi zao. Rejea taarifa ya ikulu iliyotolewa mapema yaani saa moja kabla hata shughuli ya maadhimisho hayo haijaanza. Hii inatafsiri kwamba Maadhimisho ya kifo cha Sokoine ilikuwa kusaka jukwaa tu la kujibu vita vikali ndani ya ccm kuelekea 2025 ambayo kikatiba ndani yw ccm watu watu wote wanaruhusiwa kugombea, yaani hakuna kitu kinaitwa awamu, Awamu ya Tano ya Rais hayati Magufuli, Rais Samia anaimaliza October 2025.
Sasa turudi kwenye uhalisia ingekuwa kweli ni ugomvi wa kiinch kama Makonda anavyotaka umma ujue, Basi Makonda leo angekuwa kizuizini kwa kesi ya UHAINI, yes unaweza usinielewe, lakini Kauli ya Makonda inaangukia kwenye kuunda kosa la uhaini kwamjibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ibara ya 54 (3). Ibara hii inatamka wazi kwamba chombo KIKUU cha Kumshauri rais ni Baraza la Mawaziri, Sasa Baraza la Mawaziri linatuhumiwa kumtukana Rais na anayewatuhumu ni mteule wa Rais mbele ya Rais, Huo ni Uhaini. IGP yupo, DGIS yupo, CDF yupo, wanataka hadi rais wetu adhuriwe ndio wanze kuunda tume za uchunguzi?
Kwanini Vyombo hivi havijamuita CDF mstaafu aseme watu waliokuwa wakigoma Makamu Rais asiapishwe kuwa Rais baada ya Rais kufariki Dunia? Hawa tukiwapata ndio mzizi wa haya yote. Kwanini hata Bunge liko Kimya halijamwita CDF Mstaafu limhoji ikiwa Bunge ndio chombo kikuu cha kuisimamia Serikali? Tutegemee Bunge litamwita Makonda limhoji? Lakini swali lingine kwa Rais Samia, wewe si mgeni kwa Makonda, amekuwa ni mtu wa kutuhumu na kuchafua viongozi wa kisiasa na wafanyabiashara wakubwa tangu akiwa mtoto huko UVCCM, na tuhuma zake hazijawahi kuthibitishwa popote, kitendo cha kumrejesha katika mfumo mtu ambae ana rekodi mbaya ya kidunia haya ndio matunda unayovuna, Atakugombanisha na Wanaccm wenzako hadi utajikuta 2025 unaenda jumba la wastasfu kule Kizimkazi bila kuamini.
Rais Samia, una mtihani mgumu sana mbele yako ambao wewe ndio umeutengeneza bila kujua au kwakujua, Umejizibia njia kwakumletw Makonda ambae 98% ya Wenye CCM hawamtaki kuanzia Kizimkazi hadi Chamwino, Makonda amefanikiwa kukuaminisha kuwa yeye ni turufu kwako ukaondoa ccm nzuri uliyoisuka baada ya kushika urais na sasa unakwenda na ccm ya kimakondamakonda ambayo ushindi wake unategemea zaidi Bunduki, Swali kwako Rais Samia, Uko tayari kuupata ushindi wa damu 2025 chini ya Makonda?
Mwambie Makonda aseme hao watu wanaoheshimika nchini ambao wapo nyuma ya mawaziri ni akina nani? Nchi hii baada ya Mwinyi, Mkapa na Magufuli kuondoka mtu “mkubwa” wakuheshimika anayeijua nchi nje ndani ni Rais Mstaafu Jakaya Kikwete. Sasa alieleze taifa kama ni huyu kiongozi wetu mstaafu anawatuma hao mawaziri au ni porojo zake tu zinazohatarisha taifa.
Mimi nakutahadharisha Mheshimiwa Rais dhidi ya Makonda, huyu ana kublackmail hadharani na sirini. Alifanikiwa kwa Hayati Magufuli akamtia hofu sana, Magufuli akawa Rais Dikteta asiye na mfano, akaumiza watu wengi sana, Baada alikuja kustuka lakini akiwa ameshachelewa jini likiwa lishatoka katika chupa likizagaa Kigamboni likitaka ubunge ndipo akambwaga mazima! Leo umemuokota umemrudisha kwenye mfumo, Tabia haibadili ni kama ngozi! Watch it! narudia Watch it!
Nakukubali Sana Jasusi hapa tunasubiri Matokeo Japo wanaweza wasiyatangaze..
Anaandika Yericko Nyerere
Wengi mmeomba nitoe maoni yangu kuhusu kauli za mtu anayejiita Paulo Makonda kwamba kuna mawazi wanawalipa watu ili kumtuna Rais na kwamba mawaziri hao wana wawatu nyuma ambao ni watu wa kuheshimika katika nchi.
Kabla sijazungumzia kauli hiyo naomba niwarejeshe kwenye kauli ya Mkuu wa Majeshi Mstaafu General Mabeyo kwamba kuna watu walitaka Makamu Rais asiapishwe, Kauli hii hadi leo haijajibiwa ni akina nani hao walioleta mabishano ya kikatiba hadi Jeshi likasimamia Katiba? Kimantiki na ushahidi wa mazingira ni wale waliokuwa mdarakani baada ya Hayati Magufuli kufariki, sasa ukimtoa makamu Rais, anayefuatia ni Waziri Mkuu, Spika wa Bunge na Jaji Mkuu, hawa ndio viongozi waliokuwa katika madaraka kikatiba na kisheria baada ya Rais kufariki.
Swali halijajibiwa nani alipinga Katiba kutekelezwa ili makamu rais asiapishwe? Lakini swali lingine muhimu linaibuka, Nani alikuwa nyuma ya Mabeyo akaamrisha katiba ifuatwe na kwamba Makamu Rais aapishwe amalizie muhula wake wa 5? Tukimjua huyu basi tuhoji muhula wa 5 upo au Samia amebadilisha na sasa anajiita wa muhula wa 6 ambapo anataka akaumalize 2030 kama nyimbo zinavyoimbwa? Tukijua hapa huu ndio mzizi wa ugomvi mkubwa wa kisiasa ndani ya CCM. Ifahamike huu ni ugomvi wa ccm sasa wanaoshindwa vita wanauleta nje uwe ugomvi wa Taifa. Tukatae! Kwanza Binafsi sioni logic ya Rais kutukanwa ikawa agenda ya kitaifa ikaandaliwa jukwaa lililosahaulika 40yrs, Waseme vizuri kuna makubwa zaidi ya hilo.
Majibu ya hapo juu ndio yanatupa fursa ya kujua mengi zaidi baada ya kauli ya Makonda, Swali moja tu jiulize kwa miaka 40 hatujawahi kuwa na siku ya maadhimisho ya kifo cha Sokoine, lakini ghafla bin vuu, Serikali nzima na vyombo vya ulinzi wamebuni tukio hili ambalo msingi wake umekuwa kujibu mapigo na kuwatishia wanaotishia nafasi zao. Rejea taarifa ya ikulu iliyotolewa mapema yaani saa moja kabla hata shughuli ya maadhimisho hayo haijaanza. Hii inatafsiri kwamba Maadhimisho ya kifo cha Sokoine ilikuwa kusaka jukwaa tu la kujibu vita vikali ndani ya ccm kuelekea 2025 ambayo kikatiba ndani yw ccm watu watu wote wanaruhusiwa kugombea, yaani hakuna kitu kinaitwa awamu, Awamu ya Tano ya Rais hayati Magufuli, Rais Samia anaimaliza October 2025.
Sasa turudi kwenye uhalisia ingekuwa kweli ni ugomvi wa kiinch kama Makonda anavyotaka umma ujue, Basi Makonda leo angekuwa kizuizini kwa kesi ya UHAINI, yes unaweza usinielewe, lakini Kauli ya Makonda inaangukia kwenye kuunda kosa la uhaini kwamjibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ibara ya 54 (3). Ibara hii inatamka wazi kwamba chombo KIKUU cha Kumshauri rais ni Baraza la Mawaziri, Sasa Baraza la Mawaziri linatuhumiwa kumtukana Rais na anayewatuhumu ni mteule wa Rais mbele ya Rais, Huo ni Uhaini. IGP yupo, DGIS yupo, CDF yupo, wanataka hadi rais wetu adhuriwe ndio wanze kuunda tume za uchunguzi?
Kwanini Vyombo hivi havijamuita CDF mstaafu aseme watu waliokuwa wakigoma Makamu Rais asiapishwe kuwa Rais baada ya Rais kufariki Dunia? Hawa tukiwapata ndio mzizi wa haya yote. Kwanini hata Bunge liko Kimya halijamwita CDF Mstaafu limhoji ikiwa Bunge ndio chombo kikuu cha kuisimamia Serikali? Tutegemee Bunge litamwita Makonda limhoji? Lakini swali lingine kwa Rais Samia, wewe si mgeni kwa Makonda, amekuwa ni mtu wa kutuhumu na kuchafua viongozi wa kisiasa na wafanyabiashara wakubwa tangu akiwa mtoto huko UVCCM, na tuhuma zake hazijawahi kuthibitishwa popote, kitendo cha kumrejesha katika mfumo mtu ambae ana rekodi mbaya ya kidunia haya ndio matunda unayovuna, Atakugombanisha na Wanaccm wenzako hadi utajikuta 2025 unaenda jumba la wastasfu kule Kizimkazi bila kuamini.
Rais Samia, una mtihani mgumu sana mbele yako ambao wewe ndio umeutengeneza bila kujua au kwakujua, Umejizibia njia kwakumletw Makonda ambae 98% ya Wenye CCM hawamtaki kuanzia Kizimkazi hadi Chamwino, Makonda amefanikiwa kukuaminisha kuwa yeye ni turufu kwako ukaondoa ccm nzuri uliyoisuka baada ya kushika urais na sasa unakwenda na ccm ya kimakondamakonda ambayo ushindi wake unategemea zaidi Bunduki, Swali kwako Rais Samia, Uko tayari kuupata ushindi wa damu 2025 chini ya Makonda?
Mwambie Makonda aseme hao watu wanaoheshimika nchini ambao wapo nyuma ya mawaziri ni akina nani? Nchi hii baada ya Mwinyi, Mkapa na Magufuli kuondoka mtu “mkubwa” wakuheshimika anayeijua nchi nje ndani ni Rais Mstaafu Jakaya Kikwete. Sasa alieleze taifa kama ni huyu kiongozi wetu mstaafu anawatuma hao mawaziri au ni porojo zake tu zinazohatarisha taifa.
Mimi nakutahadharisha Mheshimiwa Rais dhidi ya Makonda, huyu ana kublackmail hadharani na sirini. Alifanikiwa kwa Hayati Magufuli akamtia hofu sana, Magufuli akawa Rais Dikteta asiye na mfano, akaumiza watu wengi sana, Baada alikuja kustuka lakini akiwa ameshachelewa jini likiwa lishatoka katika chupa likizagaa Kigamboni likitaka ubunge ndipo akambwaga mazima! Leo umemuokota umemrudisha kwenye mfumo, Tabia haibadili ni kama ngozi! Watch it! narudia Watch it!
Tusubiri Majibu ya Report ya Tume ya maadiliAisee..
Huyu Makonda ana nguvu za giza hatari sana anazotumia kumpa nguvu kufanya afanyayo.
Hivi inawezekanaje mtu aliyekosa uadilifu kwa uthibitisho (ushahidi) wa waziwazi kama huyu Makonda akaweza kum - blackmail kiongozi mkuu wa nchi (Rais) hata kumwamini na kumweka ktk mifumo ya uongozi wa juu wa nchi.?
Bila shaka hata taasisi ya u - Rais nayo tayari inatumia au imeshatekwa na nguvu hizi za giza la shetani na zinakalia kiti cha maamuzi ya Rais kwa Rais Samia kujua au hata hajui masikini mama wa watu.
Tuombeeni nchi yetu, taifa letu