Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haka ni kajinga na chawa wa Mbowe, na vitabu vyake vya ku google , copy & paste.Yericko Nyerere ameonyesha kukerwa na kauli za Lissu na kusema kuwa akipewa chama basi kitakufa ndani ya miezi sita na kuwa historia.
View attachment 3194480
Kanaishi Kwa fadhila za mwenyekiti sio kakukasiliza very stupid,hakuna maono yoyote na story za kuokoteleza google,Yani unavaa suti na kusema ooh Mbowe na alafu na Omega ,Kuna mtu anaweza kuolewa huko.
Keep your believe to urself na uncle wako Mbowe,Lissu hawezi ongoza chama kikuu cha upinzani
Ombi murua kabisa😁Mimi ombi langu kwa Mjomba angu Freeman Mbowe ni moja tu, kilinde kikoba chetu kwa wivu mkubwa, bado ukoo unazihitaji sana fedha za ruzuku na zile za makamanda tuje tuzile kwenye pasaka.
Mbona Yerriko na Clone wake wanakataana.Yericko Nyerere anachangamoto ya apedomiaView attachment 3194485
Yericko hawezi kuwa na mtazamo chanya manake ni under shoes wa Mbowe upandeMbowe ndiye katumwa kuwahadaa Watz, leo hii press zake ni za kuwa covered na TBC kweli?
Hizi siyo nyakati za ujima ndugu Yericko Nyerere , everything is on the plain site!
Yaani kuna viongozi wanamzushia uongo Lissu (wakitumia neno vikao vya ndani, ambazo ni siri za chama), Lissu akijibu mapigo dhidi yao kwa kusema ukweli wa hivyo vikao wanasema anaropoka siri za Chama!Yericko Nyerere ameonyesha kukerwa na kauli za Lissu na kusema kuwa akipewa chama basi kitakufa ndani ya miezi sita na kuwa historia.
View attachment 3194480
Kwenye heading naomba isomeke kuiua sio kuiia
Itakuwa huyo Yericko Nyerere kapofushwa na mshiko wa Abdul.Yericko Nyerere ameonyesha kukerwa na kauli za Lissu na kusema kuwa akipewa chama basi kitakufa ndani ya miezi sita na kuwa historia.
View attachment 3194480
Kwenye heading naomba isomeke kuiua sio kuiia
Haka kajamaa na ufupi wake sijui huwa kanafikiri kwa kutumia kitu gani, hivi mlionunua vitabu vyake mnajiskiaje?Yericko Nyerere ameonyesha kukerwa na kauli za Lissu na kusema kuwa akipewa chama basi kitakufa ndani ya miezi sita na kuwa historia.
View attachment 3194480