Pre GE2025 Yericko Nyerere: Lissu akipewa chama kitakufa ndani ya miezi sita, ametumwa na dola kuiua CHADEMA

Pre GE2025 Yericko Nyerere: Lissu akipewa chama kitakufa ndani ya miezi sita, ametumwa na dola kuiua CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Haka kajamaa na ufupi wake sijui huwa kanafikiri kwa kutumia kitu gani, hivi mlionunua vitabu vyake mnajiskiaje?

Ni lini Dora ikawa na urafiki na TAL?

Kama TAL kaweka msimamo mkali juu ya Rushwa ya mtoto pendwa, na akatoka hadharani kuuambia umma, je kama Ana dili na Dora alishindwaje kupiga?

Nawaza tu kuwa, pengine hizo fedha za Abdul zilikuwa ni mtego wa kumnasa lisu ili wamfute chamani kwa kosa la Rushwa ila TAL akawashtukia.

Timu FAM wanapaswa kujenga hoja kwa nini .gombea wao apewe nafasi tena na sio propaganda zinazoletwa na mwizi wa thread za watu na kuzitungia vitatu, na Tahira mwenzie Ntobi, kwa nini hawataki kujibu hoja na badala yake ni propaganda zisizo na mbele wala nyuma?
Alafu vi mtu kama hivi ndo vinapata platform na umaarufu Yani , kaende mbutu kakalime bamia tu.
 
Lissu asiposhinda chadema inaenda kujifia

Na sitaipigia kura maisha yangu yote
 
Kila mkitibuana mnajificha kwenye chaka la dola.
 
Kanaishi Kwa fadhila za mwenyekiti sio kakukasiliza very stupid,hakuna maono yoyote na story za kuokoteleza google,Yani unavaa suti na kusema ooh Mbowe na alafu na Omega ,
😁😁😆😆😆😂🤣🤣🤣🙌
 
Maneno haya akiyasema Lissu, huyo huyo Yericko anasema Lissu hana busara anaropoka hovyo na kutuhumu watu uongo bila ushahidi.
 
Mimi ombi langu kwa Mjomba angu Freeman Mbowe ni moja tu, kilinde kikoba chetu kwa wivu mkubwa, bado ukoo unazihitaji sana fedha za ruzuku na zile za makamanda tuje tuzile kwenye pasaka.
🤣 🤣 🤣
 
Back
Top Bottom