Yesu alikuwa mfanyabiashara, Mohammed alikuwa mfanyabiashara: Kwanini wafanyabiashara wakristo na waislam wengi sio waaminifu?

Yesu alikuwa mfanyabiashara, Mohammed alikuwa mfanyabiashara: Kwanini wafanyabiashara wakristo na waislam wengi sio waaminifu?

Unaelezea u-Marioo wa kwa big momma?Yesu anatajwa tu kuwa alikuwa mwana wa seremala.Sijaona sehemu kama alimchongea mtu sofa au kudhulumu chaga za Wayunani.
Mathayo ndio inasema ni Mwana wa Selemala.

Ila Marko hapo juu inamaliza kwa kusema alikuwa ni selemala. Yawezekana Baba yake alipokufa alimuachia umiliki wa kampuni yao ya uselemala.

Alilishafamilia yao na wadogo zake wale. Na baadae atakuwa alipata kianzio cha kuwalisha wakina Mathayo. Maana aliwaambia waachane na Biashara zao katika industry ya fishing
 
Nimetoka hapo juu alikuwa katika industry ya uselemala au furniture

Alikuwa hachongi vigoda na mabenchi ya kupelekwa sinagogi bure.

Alikuwa anafanya bizness mkuu. Unafeli wapi
Mstari ulionukuu unasema kuwa ni seremala. Wewe ndio umeongeza hayo mengine. Si kila daktari anaendesha hospitali. Si kila mhasibu ana Accounting/Audit firm. Sasa wewe tuleteee mstari unaoonesha Yesu alifanya biashara. kama upo kwa nini unapata taabu kuungaunga?
 
Mathayo ndio inasema ni Mwana wa selemala.

Ila Marko hapo juu inamaliza kwa kusema alikuwa ni selemala. Yawezekana Baba yake alipokufa alimuachia umiliki wa kampuni yao ya uselemala.

Alilishafamilia yao na wadogo zake wale. Na baadae atakuwa alipata kianzio cha kuwalisha wakina Mathayo. Maana aliwaambia waachane na Biashara zao katika industry ya fishing
Jose alikufa baada ya Yesu
 
Onesha sehemu alifanya biashara. Hilo tu!
Kama ni la kuitwa hivyo ni kwa sababu ilikuwa kazi ya baba yake mlezi
"Is not this the carpenter’s son? Is not his mother called Mary? And are not his brothers James and Joseph and Simon and Judas?" Matt 13:55

Lete mstari unaoonesha kuwa alifanya biashara. sio maneno yako binafsi.
Soma Marko bhana. Sipotezi muda hapa naongea namaanisha Ila kwa lugha nyepesi.

Nimeweka mstari. Sio Mwana wa selemala. Ni selemala mwenyewe full. Labda Kama uniambie aliajiri watu wa marketing na sales yeye akabaki katika kufyatua products.
 
Soma Marko bhana. Sipotezi muda hapa naongea namaanisha Ila kwa lugha nyepesi.

Nimeweka mstari. Sio Mwana wa selemala. Ni selemala mwenyewe full. Labda Kama uniambie aliajiri watu wa marketing na sales yeye akabaki katika kufyatua products.
Kwani akiwa selemala automatically anakuwa mfanyabiashara?
mbona unashinda kuelewa vitu rahisi? Kama umeweza kirahisi kuleta mstari wa kuonesha alikuwa selemala, kipi kinakushinda kuonesha sehemu ambayo alikuwa mfanyabiashara?
 
Jose alikufa baada ya Yesu
Hapana. Yesu asingemkabidhi mama yake kwa jirani yake Familia ya Yohana wakati mume wake alikuwepo.

Inaonekana yeye ndiye alikuwa analisha na kuendesha familia.

Soma kabla hajafa. Mama yake alimtafutia pa kumuacha.
 
Kwani akiwa selemala automatically anakuwa mfanyabiashara?
mbona unashinda kuelewa vitu rahisi? Kama umeweza kirahisi kuleta mstari wa kuonesha alikuwa selemala, kipi kinakushinda kuonesha sehemu ambayo alikuwa mfanyabiashara?
Unataka kusema alikuwa ni employee au.

Kwanza history ya wayahudi lazima mtoto ajifunze Biashara tangu kwao.
Selemala huwa anafanya nini?
Biashara au mazoezi ya viungo?
 
Tujadili kidogo.

Wafanyabiashara wengi Kama sio waislam ni wakristo.

Lakini wengi sio waaminifu. Wanatumia juju na uchawi, wanaforce kupata faida isivyo halali,kukwepa Kodi na kukwepa taratibu rasmi

TATIZO linatoka wapi ikiwa Yesu alikuwa mfanyabiashara wa samani(furniture)lakini hakutenda dhambi?

Mtume Mohammad SAW alikuwa mfanyabiashara muaminifu Sana chini ya Khadija. Akifanya Biashara Kati ya saudia na Syria. Alikuwa amenyooka.

Tunafeli wapi wakuu.

Karibuni
Mtume alikuwa amenyooka?una uhakika?Yesu pekee ndo alikuwa mkamilifu mwanakondoo wa Mungu azichukuae dhambi za ulimwengu
 
Mtume alikuwa amenyooka?una uhakika?Yesu pekee ndo alikuwa mkamilifu mwanakondoo wa Mungu azichukuae dhambi za ulimwengu
Alikuwa amenyooka kwenye Biashara zake mkuu.mada ni Biashara sio dhambi. Yesu yeye Imeandikwa alikuwa kanyooka katika kila kitu.

Soma history zake wakati Mtume akiwa katikaroute zake za Biashara alikuwa kijana mdogo lakini muadilifu Sana katika miamala ya Biashara.

Tusimuonee.
 
Umeanza kufeli kwa kututapeli Yesu alikuwa mfanyabiashara. Utakuwa mfanyabiashara mmojawapo kati ya wanaolalamikiwa na wewe. Anza kwanza kuwa mwaminifu na unayosema na kuandika kwanza...

Mathayo 8:18-20
"Naye Yesu alipoona makutano mengi wakimzunguka, aliamuru kuvuka kwenda ng’ambo. Mwandishi mmoja akamwendea, akamwambia, Mwalimu, nitakufuata ko kote uendako. Yesu akamwambia, Mbweha wana pango, na ndege wa angani wana viota; lakini Mwana wa Adamu hana pa kulaza kichwa chake"
Unakoswa kuchukua mafungu ya wakati Yesu kaacha active business kahamia kwenye ualimu kada tofauti. Kabadilisha taaluma na hii kaifanya sio zaidi ya miaka mitatu ya maisha yake.
 
Kwani akiwa selemala automatically anakuwa mfanyabiashara?
mbona unashinda kuelewa vitu rahisi? Kama umeweza kirahisi kuleta mstari wa kuonesha alikuwa selemala, kipi kinakushinda kuonesha sehemu ambayo alikuwa mfanyabiashara?
We kilaza sana si kaquote hapo soma so sema kama Kuna tatizo kweny maandiko unajibi ujinga akili hamna kitu
 
Mleta uzi alitaka kutumia mifano iyo miwili ila kuonyesha kwa nn hao mitume tunaowafuata walikuwa waaminifu ila sisi tunaendekeza utapeli kwa sana

Je kwa huu mwenendo wetu wa utapeli ,ufisadi, uwizi ni dhahiri hatuwafuati tumebaki maneno tu

Ila vijana wa ovyo wala nguruwe ,wezi, madhulumatii ,walevi , wazinzi wanaleta point hazipo
 
Mleta uzi alitaka kitumia mifano iyo miwili ila kuonyesha kwa nn hao mitume tunaowafuata walikuwa waaminifu ila sisi tunaendekeza utapeli kwa sana

Je kwa huu nwenendo wetu wa utapeli ,ufisadi, uwizi ni dhahiri hatuwafuati tumebako maneno tu

Ila vijana wa ovyo wala nguruwe ,wezi, madhulumatii ,walevi , wazinzi wanaleta point hazipo
Wengi wameathilia na dini wanadhani wanamtetea Yesu.

Wakati Yesu alikuwa na ufahamu kubwa sana wa Biashara na practice za industry karibu zote. Mfuatilie kibiashara utagundua mifano yake karibu yote ilikuwa ni ya kibiashara.


Sasa watu wengi wanafikiri Biashara na dini ni vitu tofauti. Wananyooka Kanisani kwenye Biashara wanaona ni kaisali
 
Yesu kafanya Sana Biashara ya furniture. Maana hata kazi za kiroho alianza akiwa na takribani miaka27.

Nazareti nzima walimjua Kama fundi. Alikuwa atengenezi vya kutumia. Alikuwa anauza.

Kwa sasa tuseme angekuwa ni wamiliki maduka makubwa ya furniture.
Hujielewi wewe pole ni vema ukae kimya ujifunze. Yosef ndio alikua fundi seremala. Usichanganye mafail
 
Unataka kusema alikuwa ni employee au.

Kwanza history ya wayahudi lazima mtoto ajifunze Biashara tangu kwao.
Selemala huwa anafanya nini?
Biashara au mazoezi ya viungo?
Ninachotaka kusema ni kuwa alikuwa selemala mtoto wa selemala. Hayo mengine siyajui ndio naomba uniletee mstari unaosema alifanya biashara. Sasa kwa mfano kama alichonga kumsaidia baba yake anakuwaje mfanyabiashara?

Kumbuka akiwa mdogo alikutwa hekaluni. So unaona interest yake haikuwa biashara unayodai. Na hili linathibitishwa na Yeye tena akiwa mtu mzima.

Luke 2:41-49
Now his parents went to Jerusalem every year at the feast of the passover. And when he was twelve years old, they went up to Jerusalem after the custom of the feast. And when they had fulfilled the days, as they returned, the child Jesus tarried behind in Jerusalem; and Joseph and his mother knew not of it.

But they, supposing him to have been in the company, went a day's journey; and they sought him among their kinsfolk and acquaintance. And when they found him not, they turned back again to Jerusalem, seeking him.
And it came to pass, that after three days they found him in the temple, sitting in the midst of the doctors, both hearing them, and asking them questions. And all that heard him were astonished at his understanding and answers.

And when they saw him, they were amazed: and his mother said unto him, Son, why hast thou thus dealt with us? behold, thy father and I have sought thee sorrowing. And he said unto them, How is it that ye sought me? wist ye not that I must be about my Father's business?

John 4:34 "Jesus saith unto them, My meat is to do the will of him that sent me, and to finish his work."

Sasa hiyo ndiyo biashara ya Bwana Yesu. Sasa na wewe leta verse za kupiga biashara ya samani na ma marketingi, nini sijui?
 
Hata wakati wao kulikuwa na walaghai na walikuwa wanaktazwa kufanya dhuluma kwenye mizani maana wengine walikuwa wanamwagia maji chini ili nafaka iwe nzito

Hii tumekatazwa na pia mizani iwe haki bila kuwa na utapeli
Sio wafanyabiashara wote washirikina au waizi
Mimi nimeuza bidhaa sana na nimeisharudisha hela za ziada mara kibao kwa wateja wangu

Kuna siku niliuza vocha za jumla za 1.5m kwa mteja wangu akanipigia simu na kusema pitia hela zako
Alipotoa hela tu nikajua ni nyingi sana nikamuambia hizi sio 1.5m ni zaidi ya hizo

Kuja kuzingalia zilikuwa 3M
Akanishukuru nikasepa
Siku nyingine kaja mtu na hela zake kununua aliponipa hela nilizomtajia akawa kaongeza Laki nikamrudishia daa jamaa hakuamini kuwa nimerudisha laki alibaki kaduwaa kama dakika nzima ameshangaa

Sio wote waizi
 
Hata hakuna haja ya kumjadili YESU. Kwani ametenda maajabu mengi sana. Tumwabudu, na kumpenda tu kwa wale tunaomwamini. Msikilize Ananias Ediga kama unapenda kufahamu habari zake zaidi.
 
Back
Top Bottom