Yesu ni Mungu. Kwanini alijalibiwa na kiumbe alichokiumba (shetani) Huoni kama alionyesha udhaifu wake?

Yesu ni Mungu. Kwanini alijalibiwa na kiumbe alichokiumba (shetani) Huoni kama alionyesha udhaifu wake?

1.Kama wewe ni mwana wa Mungu geuza jiwe kuwa mkate
2. Ukinisujudia nitakupa mali zote za ulimwengu

Mali zote ni za Mungu kwani Shetani ampe Mungu ahadi na masharti yote hayo?
Shetani mwenyewe anasema kama wewe ni mwana wa MUNGU geuza Hilo jiwe liwe mkate ila hakusema kama wewe ni mungu!!!

Hilo linamaanisha KWAMBA YESU SIO MUNGU...
 
Shetani mwenyewe anasema kama wewe ni mwana wa MUNGU geuza Hilo jiwe liwe mkate ila hakusema kama wewe ni mungu!!!

Hilo linamaanisha KWAMBA YESU SIO MUNGU...
Mkuu unaikosoa biblia inayosema Yesu ni Mungu?
 
Basi miungu itakuwa mingi sana 😃
Ndo maana wahindi wanao ya kwao kama hii
Screenshot_20250309-235212.png
Screenshot_20250309-235206.png
 
Back
Top Bottom