Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi aliposema yesu kuwa yeye ni mungu na mwanadamu kwa wakati mmoja? acheni kumsingizia uongo mtu wa watuYesu alikua ni Mungu na mwanadamu kwa wakati mmoja, so shetani alikua anaijaribu ile part ya mwanadamu ila sio ya Mungu
Duh! Noma sanaNdo maana wahindi wanao ya kwao kama hiiView attachment 3265158View attachment 3265159
Mkuu kujaribu (test) maana yake hakuna uhakika na wewe au watu hawana uhakika na wewe kwahyo wanakutest kuona kama uko vizuri? Yesu alikua haaminini hadi wamjaribu?Majaribu yaliwekwa ili kuona kama mwana wa MUNGU (YESU) Imani yake Iko thabiti akiwa katika umbile la kibinadamu na ili kuwatengenezea wanadamu namna wanatakiwa wawe kiimani
Una ushahidi ganiYesu ni binadamu kama binadamu wengine
Mkuu kama hutojali pitia hii link👇1.Kama wewe ni mwana wa Mungu geuza jiwe kuwa mkate
2. Ukinisujudia nitakupa mali zote za ulimwengu
Mali zote ni za Mungu kwani Shetani ampe Mungu ahadi na masharti yote hayo?
HeheheWapi aliposema yesu kuwa yeye ni mungu na mwanadamu kwa wakati mmoja? acheni kumsingizia uongo mtu wa watu
Labda alikuwa hajiaminiMkuu kujaribu (test) maana yake hakuna uhakika na wewe au watu hawana uhakika na wewe kwahyo wanakutest kuona kama uko vizuri? Yesu alikua haaminini hadi wamjaribu?
YESU alikuwa Bado mbichi kiimani akiwa katika umbile la kibinadamu ndo maana shetani akamjaribuMkuu kujaribu (test) maana yake hakuna uhakika na wewe au watu hawana uhakika na wewe kwahyo wanakutest kuona kama uko vizuri? Yesu alikua haaminini hadi wamjaribu?
Kuna watu Gani hao mkuu kama sio wamesoma kwenye vitabu vitakatifuMkuu mbona kuna watu wanasema alikufa na akafufuka then akaenda mbinguni?
YESU hakuwa mungu ila alikuwa mwana wa MUNGUSiku zote huwa najiuliza mkristo mwenye imani anamshawishi vipi mtu wa imani nyingine au mtu asiye na imani
Kwa hoja za yesu alikua ni mungu kwa 100% pia ni mtu kwa 100% na akakubaliana na hiyo imani.
Kwa maana hilo jambo haliingii akilini kwa mtu yeyote mwenye akili timamu.
Majaribu yapo kwa ajili ya wanadamu ili kuwapima imani,Mungu hajaribiwi.kama alikubali kujaribiwa na shetani basi yeye ni mwanadamu!Aliruhusu ajaribiwe au unasoma maandiko yapi?
Mungu alikubali ajaribiwe full stop .
Mtu ukae mbinguni miaka yote then uje duniani usema bado mchanga kiimani kweli? Kwani huko mbinguni alikua bize na biashara gani hadi asiwe na imani kubwaYESU alikuwa Bado mbichi kiimani akiwa katika umbile la kibinadamu ndo maana shetani akamjaribu
We ndo unaleta mapyaaaaaaaaa!YESU hakuwa mungu ila alikuwa mwana wa MUNGU
Soma maandiko kijanaMajaribu yapo kwa ajili ya wanadamu ili kuwapima imani,Mungu hajaribiwi.kama alikubali kujaribiwa na shetani basi yeye ni mwanadamu!
Hivi we unaweza kukubali mtoto wako akujaribu?
Labda 50% kwa 50%Siku zote huwa najiuliza mkristo mwenye imani anamshawishi vipi mtu wa imani nyingine au mtu asiye na imani
Kwa hoja za yesu alikua ni mungu kwa 100% pia ni mtu kwa 100% na akakubaliana na hiyo imani.
Kwa maana hilo jambo haliingii akilini kwa mtu yeyote mwenye akili timamu.
Kwani wewe sio mwana wa mungu? Kama wewe sio mwana wa mungu kwanini unavosali unasema,"baba yangu wa mbinguni...., au kwanini huwa unasema mungu baba?YESU hakuwa mungu ila alikuwa mwana wa MUNGU