Yesu ni Mungu. Kwanini alijalibiwa na kiumbe alichokiumba (shetani) Huoni kama alionyesha udhaifu wake?

Yesu ni Mungu. Kwanini alijalibiwa na kiumbe alichokiumba (shetani) Huoni kama alionyesha udhaifu wake?

Unaulizwa huko wewe unasoma kutoka chini kwenda....?
Hahahah Iko hivi biblia haisomwi kama gazeti inasomwa unakuja kuunganisha code za msingi unapata maana kamili
Kwa mfano ulisema u some agano la kale lijitegemeee bila kuhusihsa agano jipya utaona dunia chungu ila ukija kuyaunganisha yote utagundua kwamba kuzaliwa kwa YESU kulitabiriwa na manabii kama vile Mika na wenginee na ikaja kutumia kweliii
 
Wewe unasomaga biblia ukiwa wapiii kwanza???

Au unasomaga ukiwa stressed na madeni kama ni hivo huwezi kuelewa mkuu 😅 😅 😅 😅
Mantiki na ushahidi ndio kitu kinachohitajika katika mjadala.hisia hupotosha kwa sehemu kubwa za asilimia! Kama kwenye hili dogo tu umeshaacha kutumia akili umeanza KUHISI kwamba nina stress badala ya kujikita kwenye hoja!
 
Hahahahah daaah,

Yesu alishiriki uumbaji wa viumbe vingine vyoteee ila aliumbwa yeye KWANZA, Sasa YESU mwenyewe alikuwaje anasema Kuna aliye mkuu zaidi yake

Nb; angekuwa mungu angeweza kujiepusha na kifo kile Cha kutundikwa LAKINI aliamua kufanya kwa ajili ya mapenzi ya babake
Wenye dini yao wanasema eti alijibadilisha kwa umbile la binaadamu
 
Hahahah Iko hivi biblia haisomwi kama gazeti inasomwa unakuja kuunganisha code za msingi unapata maana kamili
Kwa mfano ulisema u some agano la kale lijitegemeee bila kuhusihsa agano jipya utaona dunia chungu ila ukija kuyaunganisha yote utagundua kwamba kuzaliwa kwa YESU kulitabiriwa na manabii kama vile Mika na wenginee na ikaja kutumia kweliii
Sasa wewe unayesema yesu si MUNGU bali ni mwana wa mungu unatumia mbinu gani tofauti ya kusoma biblia tofauti na wale wanaosema yesu ni mungu?
 
Mantiki na ushahidi ndio kitu kinachohitajika katika mjadala.hisia hupotosha kwa sehemu kubwa za asilimia! Kama kwenye hili dogo tu umeshaacha kutumia akili umeanza KUHISI kwamba nina stress badala ya kujikita kwenye hoja!
Okay nitakufafanulia kesho vizuri mkuu nimechoka leo
 
1.Kama wewe ni mwana wa Mungu geuza jiwe kuwa mkate
2. Ukinisujudia nitakupa mali zote za ulimwengu

Mali zote ni za Mungu kwani Shetani ampe Mungu ahadi na masharti yote hayo?
Ra re ri ro ru..... La le li lo lu.

Ni kujaribiwa sio kujalibiwa.

Umepigwa fayaaaaa ya mwandiko.
 
Wapi aliposema yesu kuwa yeye ni mungu na mwanadamu kwa wakati mmoja? acheni kumsingizia uongo mtu wa watu
Yesu alikula chakula, alivaa kanzu, sasa ushaona wapi Mungu anakua na njaa au anavaa kanzu?

Yesu alitembea juu ya maji, alifufua watu na alipaa mbele ya wanafunzi wake kwenda mbinguni. Sasa ushaona wapi binadamu anafanya haya?
 
Back
Top Bottom