Al-mukheef
JF-Expert Member
- Feb 2, 2025
- 3,727
- 3,777
Mkuu naniMuulize mkuu hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu naniMuulize mkuu hapo
Hahahah Iko hivi biblia haisomwi kama gazeti inasomwa unakuja kuunganisha code za msingi unapata maana kamiliUnaulizwa huko wewe unasoma kutoka chini kwenda....?
Mantiki na ushahidi ndio kitu kinachohitajika katika mjadala.hisia hupotosha kwa sehemu kubwa za asilimia! Kama kwenye hili dogo tu umeshaacha kutumia akili umeanza KUHISI kwamba nina stress badala ya kujikita kwenye hoja!Wewe unasomaga biblia ukiwa wapiii kwanza???
Au unasomaga ukiwa stressed na madeni kama ni hivo huwezi kuelewa mkuu 😅 😅 😅 😅
Wenye dini yao wanasema eti alijibadilisha kwa umbile la binaadamuHahahahah daaah,
Yesu alishiriki uumbaji wa viumbe vingine vyoteee ila aliumbwa yeye KWANZA, Sasa YESU mwenyewe alikuwaje anasema Kuna aliye mkuu zaidi yake
Nb; angekuwa mungu angeweza kujiepusha na kifo kile Cha kutundikwa LAKINI aliamua kufanya kwa ajili ya mapenzi ya babake
Sasa wewe unayesema yesu si MUNGU bali ni mwana wa mungu unatumia mbinu gani tofauti ya kusoma biblia tofauti na wale wanaosema yesu ni mungu?Hahahah Iko hivi biblia haisomwi kama gazeti inasomwa unakuja kuunganisha code za msingi unapata maana kamili
Kwa mfano ulisema u some agano la kale lijitegemeee bila kuhusihsa agano jipya utaona dunia chungu ila ukija kuyaunganisha yote utagundua kwamba kuzaliwa kwa YESU kulitabiriwa na manabii kama vile Mika na wenginee na ikaja kutumia kweliii
Kwamba mtoto wa kenge ni mamba..?! Au ile neno mtoto wa chatu ni swira sio kweli!?YESU hakuwa mungu ila alikuwa mwana wa MUNGU
Soma Luka 1;30-32
Mathayo 3;16,17
Yohana 14;28
Yatakusaidia kuelewa concept HIYO
Okay nitakufafanulia kesho vizuri mkuu nimechoka leoMantiki na ushahidi ndio kitu kinachohitajika katika mjadala.hisia hupotosha kwa sehemu kubwa za asilimia! Kama kwenye hili dogo tu umeshaacha kutumia akili umeanza KUHISI kwamba nina stress badala ya kujikita kwenye hoja!
Sorry what is swiraKw
Kwamba mtoto wa kenge ni mamba..?! Au ile neno mtoto wa chatu ni swira sio kweli!?
Nitaeleza kesho ueleweSasa wewe unayesema yesu si MUNGU bali ni mwana wa mungu unatumia mbinu gani tofauti ya kusoma biblia tofauti na wale wanaosema yesu ni mungu?
OkayNitaeleza kesho uelewe
NguruweKwani mnamzungumzia nani
Pig???Nguruwe
YesPig???
Swira is Swira shekhe..... Sameleku👋Sorry what is swira
Karibu tule kitimoto
Now what is "sameleku" sheikhSwira is Swira shekhe..... Sameleku👋
Mimi huwa nakula kitimaji na mezamoto tu!Karibu tule kitimoto
Ra re ri ro ru..... La le li lo lu.1.Kama wewe ni mwana wa Mungu geuza jiwe kuwa mkate
2. Ukinisujudia nitakupa mali zote za ulimwengu
Mali zote ni za Mungu kwani Shetani ampe Mungu ahadi na masharti yote hayo?
Yesu alikula chakula, alivaa kanzu, sasa ushaona wapi Mungu anakua na njaa au anavaa kanzu?Wapi aliposema yesu kuwa yeye ni mungu na mwanadamu kwa wakati mmoja? acheni kumsingizia uongo mtu wa watu