Cassnzoba
JF-Expert Member
- Feb 26, 2022
- 3,661
- 6,913
Shida unasoma kama gazetiHizo Mathayo nimesoma sana nataka nianze Mwanzo na kuendelea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida unasoma kama gazetiHizo Mathayo nimesoma sana nataka nianze Mwanzo na kuendelea
Shida unasoma kama gazetiHizo Mathayo nimesoma sana nataka nianze Mwanzo na kuendelea
Namuona al nani huyo anakaza bichwa TUHao ni waarabu kaka Huwezi kushidana nao wanavuta muda wa kula daku wasije pitiliza ohooo
Bloh sijui nielezaje ila ni kama lirobot unalitengeneza alafu linakugeukaTumbili wa mjini unashangaa nn
Kwani kuna utofauti wa usomaji?Shida unasoma kama gazeti
Lipi hiloBloh sijui nielezaje ila ni kama lirobot unalitengeneza alafu linakugeuka
HeheheHao ni waarabu kaka Huwezi kushidana nao wanavuta muda wa kula daku wasije pitiliza ohooo
Biblia haisomwi kama post za jf mkuu, inatakiwa utilize akili na uwe na maji safi,salama ya baridi pembeni then unasoma huku unatafakariKwani kuna utofauti wa usomaji?
Au biblia unageuza juu chini
Nasema hivi hapo yesu alijaribiwa ni kama vile binadamu atengeneze robot alafu kimgeukeLipi hilo
Sawa nitajaribuBiblia haisomwi kama post za jf mkuu, inatakiwa utilize akili na uwe na maji safi,salama ya baridi pembeni then unasoma huku unatafakari
Yesu alimsaidia mungu kuumba kiumbe gani? Wapi mungu alihitaji msaada wakati anaumba dunia na vilivyomo? Tutumie mantiki(akili) tukishindwa kutumia maandiko.tukitumia hisia na matamanio yetu tutakua wazushi,waongo na wapotoshaji tu!Hata wewe kama ni Mzazi lazima Kuna mtoto ambaye unamkubali zaidiiii ya woteeee mkuu lakini haimaanishi kwamba wengine huwapendi NO, ndo Iko hivo hata kwa mungu pia yesu ni mtoto pekee aliyeumbwa kwanza yeye kabla ya vitu vingine na viumbe wengine kwahiyo akasaidiaa uumbaji wa viumbe vingine na vitu vingine kwahiyo lazima apewe kipaumbele
Hapo katoka kula tena,ameshiba anataka pa kupumgzia shibe ili saa 10 ale tena..Shida unasoma kama gazeti
Namuona al nani huyo anakaza bichwa TU
Hahahahah daaah,Nasema hivi hapo yesu alijaribiwa ni kama vile binadamu atengeneze robot alafu kimgeuke
HeheheHapo katoka kula tena,ameshiba anataka pa kupumgzia shibe ili saa 10 ale tena..
Mtu gani mwezi wa mfungo Ndio ananenepa
Unasomaga biblia au ndo msoma fb posts??Yesu alimsaidia mungu kuumba kiumbe gani? Wapi mungu alihitaji msaada wakati anaumba dunia na vilivyomo? Tutumie mantiki(akili) tukishindwa kutumia maandiko.tukitumia hisia na matamanio yetu tutakua wazushi,waongo na wapotoshaji tu!
Afu huenda akawa anapiga na hii kituHapo katoka kula tena,ameshiba anataka pa kupumgzia shibe ili saa 10 ale tena..
Mtu gani mwezi wa mfungo Ndio ananenepa
Kwani we biblia huwa unasoma kutoka chini kwenda,kwamba wewe mwenzetu unaisomaje ili kujitofautiasha na wanavosoma wengine?Unasomaga biblia au ndo msoma fb posts??
Kwani mnamzungumzia naniAfu huenda akawa anapiga na hii kituView attachment 3265201View attachment 3265201View attachment 3265201View attachment 3265201
Wewe unasomaga biblia ukiwa wapiii kwanza???Kwani we biblia huwa unasoma kutoka chini kwenda,kwamba wewe mwenzetu unaisomaje ili kujitofautiasha na wanavosoma wengine?
Je,una uhakika kuwa huo usomaji wako ndio sahihi kuliko usomaji wa wengine?
Muulize mkuu hapoKwani mnamzungumzia nani
Unaulizwa huko wewe unasoma kutoka chini kwenda....?Afu huenda akawa anapiga na hii kituView attachment 3265201View attachment 3265201View attachment 3265201View attachment 3265201