Yesu ni Mungu. Kwanini alijalibiwa na kiumbe alichokiumba (shetani) Huoni kama alionyesha udhaifu wake?

Yesu ni Mungu. Kwanini alijalibiwa na kiumbe alichokiumba (shetani) Huoni kama alionyesha udhaifu wake?

Kwani kuna utofauti wa usomaji?
Au biblia unageuza juu chini
Biblia haisomwi kama post za jf mkuu, inatakiwa utilize akili na uwe na maji safi,salama ya baridi pembeni then unasoma huku unatafakari
 
Hata wewe kama ni Mzazi lazima Kuna mtoto ambaye unamkubali zaidiiii ya woteeee mkuu lakini haimaanishi kwamba wengine huwapendi NO, ndo Iko hivo hata kwa mungu pia yesu ni mtoto pekee aliyeumbwa kwanza yeye kabla ya vitu vingine na viumbe wengine kwahiyo akasaidiaa uumbaji wa viumbe vingine na vitu vingine kwahiyo lazima apewe kipaumbele
Yesu alimsaidia mungu kuumba kiumbe gani? Wapi mungu alihitaji msaada wakati anaumba dunia na vilivyomo? Tutumie mantiki(akili) tukishindwa kutumia maandiko.tukitumia hisia na matamanio yetu tutakua wazushi,waongo na wapotoshaji tu!
 
Nasema hivi hapo yesu alijaribiwa ni kama vile binadamu atengeneze robot alafu kimgeuke
Hahahahah daaah,

Yesu alishiriki uumbaji wa viumbe vingine vyoteee ila aliumbwa yeye KWANZA, Sasa YESU mwenyewe alikuwaje anasema Kuna aliye mkuu zaidi yake

Nb; angekuwa mungu angeweza kujiepusha na kifo kile Cha kutundikwa LAKINI aliamua kufanya kwa ajili ya mapenzi ya babake
 
Yesu alimsaidia mungu kuumba kiumbe gani? Wapi mungu alihitaji msaada wakati anaumba dunia na vilivyomo? Tutumie mantiki(akili) tukishindwa kutumia maandiko.tukitumia hisia na matamanio yetu tutakua wazushi,waongo na wapotoshaji tu!
Unasomaga biblia au ndo msoma fb posts??
 
Hapo katoka kula tena,ameshiba anataka pa kupumgzia shibe ili saa 10 ale tena..

Mtu gani mwezi wa mfungo Ndio ananenepa
Afu huenda akawa anapiga na hii kitu
pig-fence_square.jpg
pig-fence_square.jpg
pig-fence_square.jpg
pig-fence_square.jpg
 
Unasomaga biblia au ndo msoma fb posts??
Kwani we biblia huwa unasoma kutoka chini kwenda,kwamba wewe mwenzetu unaisomaje ili kujitofautiasha na wanavosoma wengine?
Je,una uhakika kuwa huo usomaji wako ndio sahihi kuliko usomaji wa wengine?
 
Kwani we biblia huwa unasoma kutoka chini kwenda,kwamba wewe mwenzetu unaisomaje ili kujitofautiasha na wanavosoma wengine?
Je,una uhakika kuwa huo usomaji wako ndio sahihi kuliko usomaji wa wengine?
Wewe unasomaga biblia ukiwa wapiii kwanza???

Au unasomaga ukiwa stressed na madeni kama ni hivo huwezi kuelewa mkuu 😅 😅 😅 😅
 
Back
Top Bottom