Yeyote mwenye mwaliko wa Sikukuu ya Christmas afunguke, nakuja na vitendea kazi vyangu

Nasikia magogoni Mama ana karamu ya krismasi kiingilio ni nida tu unaweza ukajongea mitaa hiyo🐼
Aaaah mkuu mbona hatareee hyoo
Mama kwanza ni muisilamu yule ujue πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Nipo hapa free park Ila ntasepa muda wa saa 9 karibu sanaa
Daaah mkuu hapo karibu tuu ka nachukua gari basi nashuka zangu kiponza hapo....
Daah mkuu ngoja nicheki mazingira ya kuja if possible maana safar ya gongo la mboto mpaka huku ni sawa na dar to moro
 
Daaah mkuu hapo karibu tuu ka nachukua gari basi nashuka zangu kiponza hapo....
Daah mkuu ngoja nicheki mazingira ya kuja if possible maana safar ya gongo la mboto mpaka huku ni sawa na dar to moro
Mzee,
Mpaka kiponza unapajua haaahaa😊☺️☺️ karibu bwanaa..
 
kwann wasienjoi?ila wakileta ujinga wananijua
Sasa mkuu mbona unafanya maisha yawe magumu hapo kwenu sasa..

Naona watoto wanainjoi ukiwa haupo maana ndo wewe wale wazee wa kuweka TBC 1
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…