Nilimsikia ila nikaona kama nae ana porojo tu(sijui kwanini) mie huwa naona binadamu yeyote hatulizwi bali anaamua kutulia mwenyewe.eti jaman ! kuna DK aliwah semaga mwanamume akitulizwa HUTULIA !ila mwanamke hatulizwi had atulie mwenyew !huo msemo huwa una ukweli sana san !huwez mtuliza mwanamke aliyejichokea ! ila mwanaume anaweza tulizwa
Wewe omba tu upate mke mwema mkuu,jirani yangu alojiua mkewe ni darasa la saba B kabisa.
Anapost nini???Namuonyesha kabisa kuwa simpendi maana niliwahi ku sex naye mara moja tu.. Ni mwanamke mzuri ila kusema kweli mwanamke mweupe simpendiiii maana dada zangu ni weupe so nahisi kama tu nipo na dada yangu. Namuonyesha kuwa simpendi na anajua kabisa na aliwahi kuniambia kuwa ataniendea sijui kunisomea ibada. Muda mwingine ananiambia kabisa ni bora nisikuone duniani ili nijue kuwa haupo.
Juzi hapa kaniambia anapeleka sadaka ya mshahara wake wote wa mwezi kwa mchungaji kwa ajili yangu ila hakuniambia anaenda kunifanyia nini! Tatizo ni huko kwenye mitandao nikisoma anavyo post hadi naingiwa woga. Najuta kwanini nilimu approach nilipokuwa mbali na mpenzi wangu wa kweli ambaye anarejea karibuni! Najuta sana sana.
Tena mizigo ya wanawake naona kama imezidi zaidi jamani.Hata wanawake wanamizigo!l
Mme anadeti na house girl live!
Anakutukana mbele yake!
Anakwambia kama kuondoka ondoka wewe huyu haondoki!
Au anachiti na mdogo wako!
Au Rafiki yako kipenzi!
Mwingine hadi picha ya michepuko anakuonyesha ilivyo bomba ili utilize mzuka maani huenei,hufikii
Yaaani tunavumilia mengiiii
Sote tuache uzinzi!
Nilimsikia ila nikaona kama nae ana porojo tu(sijui kwanini) mie huwa naona binadamu yeyote hatulizwi bali anaamua kutulia mwenyewe.
Tena mizigo ya wanawake naona kama imezidi zaidi jamani.
Yaani ni kuomba tu kupata mume/mke mwema haya mambo mengine hayatabiriki kabisa.hakunaga cha darasa la 7 A au B !Nina jiran std 6 jaman utacheka tu ,mume phd!
Hivi mtu unajiuaje?nashangaa wanalia lia hapa wanawake pasua kichwa !hakuna mtu mwenye majonzi km mwanamke !
Kafa kwa ujinga wake bwanaYaani ni kuomba tu kupata mume/mke mwema haya mambo mengine hayatabiriki kabisa.
Hivi mtu unajiuaje?
R.IP
Yona Mark
Kuna Kitu Najiuliza
Huwa Ana Mtandao Wake unaitwa Wanabidii Huko watu Hujimwaga wazi wazi especially Mambo Ya Siasa!
Ni Balaa Hakuna MTU Maaefu Unaweza Kumkosa Huko!
Sasa Sijui Bado Huo Mtandao Una Exist?
Sijui Kifo Chake Kimetokana Na Nini Na Kwa Nini Aliwahi Fungwa Miezi 2 jela!
Ni Maswali MTU Unajiuliza!
Kuna mwanaume aliwahi sema kuwa upuuzi anaofanya has nothing to do with his wife kabisaaa tena akasema ana mke mwema mpaka wakati mwingine anajisikia vibaya ila ndio hivyo tena. Nafikiri huwa tunajiaminisha na kujipa matumaini yasiyo ya kweli. Unamtuliza vipi mtu asotaka kutulia!!!hamna espy !mwanaume unaweza mtuliza shoga tena kiwepesi tu !mwanamke ngumu sana
when a' woman is fed up' unaukumbuka huu wimbo
Washukuru tu yetu huwa tunayaropoka na kuyatoa hivyo maisha yanasonga. Japo wapo wanawake pia ambao hujiua yakiwafika shingoni.nashangaa wanalia lia hapa wanawake pasua kichwa !hakuna mtu mwenye majonzi km mwanamke !
Kuna mwanaume aliwahi sema kuwa upuuzi anaofanya has nothing to do with his wife kabisaaa tena akasema ana mke mwema mpaka wakati mwingine anajisikia vibaya ila ndio hivyo tena. Nafikiri huwa tunajiaminisha na kujipa matumaini yasiyo ya kweli. Unamtuliza vipi mtu asotaka kutulia!!!
Atahangaika siku akiamua atatulia mwenyewe. Hapo unajikuta kujipa moyo unadai umemtuliza wewe!! Umemtulizaje wakati kahangaika kaja kutulia at his 60's!!!
Mfano mzuri ni watu ea pwani, wao ndio makungwi na hujitanabaisha kuwa wanajua kutuliza waume zao. Ila shuhudia ndoa zao zinavyovunjika sasa!!!
No nazungumzia pale ambapo roho ilikuwa inachomoka hatua za mwishoHivi ukiungama alafu ukajitoa roho ndio umefuta dhambi au umejiongezea dhambi?
Washukuru tu yetu huwa tunayaropoka na kuyatoa hivyo maisha yanasonga. Japo wapo wanawake pia ambao hujiua yakiwafika shingoni.