Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

[emoji471][emoji1628]
Screenshot_20220615-223026.jpg
 
Ilikua back to back? Huioni Azam hapo?
Sisi tulichukua wenyewe tyuuh, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hoja ni kukaa muda mrefu pasipo kuambulia kombe la ligi kuu na sio kuchukua mara ngapi mfululizo. Na ndio maana umeambiwa simba ilikaa miaka mitano bila kuambulia kombe sasa iweje kushangaa yanga aliyesubiri kwa miaka minne tu?
 
Hoja ni kukaa muda mrefu pasipo kuambulia kombe la ligi kuu na sio kuchukua mara ngapi mfululizo. Na ndio maana umeambiwa simba ilikaa miaka mitano bila kuambulia kombe sasa iweje kushangaa yanga aliyesubiri kwa miaka minne tu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa ndo ulie? Khaaaah.
 
Back
Top Bottom