The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 41,015
- 93,277
Alafu mpira wake ni wa kizamani sana wa kucheza na mashabiki wkt watu wanahitaji matokeo.Kiukweli huu usajili wa huyu jamaa mi sijaufurahia. Tabia huwa haibadiliki ni bora tungeendelea kumbakiza Saido kuliko huyu kachero. Perfomance yake ni ya mechi moja moja tu hawezi kuwa na mfululizo wa perfomance nzuri.
.Yanga to the World again [emoji1241][emoji1241][emoji91][emoji7][emoji7]View attachment 2280879
Yan sijuiwameona nini mpaka wamemsajiliAlafu mpira wake ni wa kizamani sana wa kucheza na mashabiki wkt watu wanahitaji matokeo.
Hakika japo sioni hata dalili Mkuu.Dah Sema Beki Wa Kati Wa Kimataifa Muhimu Usajili Huu.
Wafanye ivo aisee kwani siku nazo zinakimbia wasije kushituka siku zimeisha.Kwa sasa iko jitihada ya kutafuta kiongo mkabaji ambaye atasaidia eneo la LITOMBO.
Then Litombo atashuka chini kwakina Bakari na Dickson katika mitanange ya kimataifa.
Ni mchezaji mzuri sawa na anaeza isaidia timu ila kwa alikotupitisha sikuona kama kulikuwa na haja ya kumrudisha huku wachezaji kibao type yake wapo.πHE'S BACK [emoji91]View attachment 2280363
Ofisho ndio. πHii ni official au?
Kweli kabisa nadhani ni vile wanaona hatuna nafasi katika wanachokifanya sio bure aisee.Yanga naipenda ila huu ni uamuzi wa kijinga kuwahi kufanywa,GSM wanaisaidia team ila inatakiwa wawe na heshima Kwa mashabiki na Brand ya Yanga
View attachment 2280495
Ni kweli anajua boli ila kwa alichotufanyia sikuona haja ya kumrudisha.Pamoja Na Yote Ayo Lakini Jamaa Boli Anajua..Atasaidia Sana ile Wing Ya Kushoto We Utaona.
Hebu tuachie GSM yetu na wewe. ππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwahiyo kashapona?
Washabiki wa utopolo,viongozi wa utopolo kuna vitu havijakaa sawa kichwani......
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Mnoo!!Morrison anaweza kucheza msimu mzima mechi 2 za headline basi.......ni msumbufu,sema Tz tumezidi ujinga sana
Sioni kama anajipya tena kwenye soka la Tz
Nakazia.Morrison hana jipya huu usajili umekaa kisiasa zaidi
Hizi ni dharau kubwa sana wametufanyia.Huyu mpumbavu mm nmemkataa kabisa sema Tz bado siasa nyingi na ulimbukeni, hakukuwa na sababu yoyote ya Yanga kusaini takataka kama Morison, mm najua hapa kocha kalazimishwa na kina Manara kuuchukua huo mzoga. Mchezaji hata awe mzuri kiasi gani lkn nidhamu kwanza.
Nilipita huko jana Wananchi walisumbua sana kwenye comments. LolYanga to the World again [emoji1241][emoji1241][emoji91][emoji7][emoji7]View attachment 2280879
Ungeweka na Translation Mkuu. ππKi Ameagwa Rasmi Leo Na Asec Mimosas.View attachment 2281047
Tusubiri Tu Mkuu....Tutapata Majibu Zaidi Huko Mbele, Mimi Naamini Bodi Nzima Ya Timu Washazungumza Nae Kuhusu Masuala Yake Ya Kinidhamu Kabla Hajasaini Ule Mkataba Na Huenda Akaja Kuwa Msaada Mkubwa Kwenye Timu, Kwa Ule Uchezaji Wa Jesus Moloko Wa Siku Hizi Ni Heri Tuwe Na Morrison Kwenye Nafasi Yake, Tutapate Matokeo Kwanza Ayo Mambo Mengine Baadae. [emoji1]Ni mchezaji mzuri sawa na anaeza isaidia timu ila kwa alikotupitisha sikuona kama kulikuwa na haja ya kumrudisha huku wachezaji kibao type yake wapo.[emoji854]
Hapa ni kama uongozi unatuvuruga tu.
Pale Chini Mwishoni Kwenye Iyo paragraph Kuna Statement inasema "Ki Stephane Aziz Quitte Le Club" Hujaipata Hata Iyo? [emoji1]Ungeweka na Translation Mkuu. [emoji23][emoji23]
Mimi wa Nakapanya nimeielewa hiyo Aziz tu. [emoji28]
Tutaingia kwenye majuto makubwa sana. Uongozi umetukosea mnooNakazia.
Na si ajabu akatuletea sana maringo huko mbeleni kama kawaida yake.
Bora wewe Nakapanya, mimi wa Nyalikungu ndio naona giza kabisa[emoji23][emoji23]Ungeweka na Translation Mkuu. [emoji23][emoji23]
Mimi wa Nakapanya nimeielewa hiyo Aziz tu. [emoji28]