Baada ya jana naona atakuwa hashobokei tena penaltyHakupewa apige bali aliung'ang'ania mpira. Aliniuzi sana tabia aliyoifanya, refa alipofujika tu penati yeye akauwahi mpira kisha akakaa nao. Hakutaka hata kuushusha chini mpira, ana ujinga wa kutafuta ufungaji bora tu
Mayele is not that selfish bro, ile ilitokea tu cz yeye mwenyewe anajijua co mzuri kwenye penalty, ila inaonekana kama alifanya sn mazoezi ya kupiga penalty, so alitaka kuangalia itakuwaje? Kuhusu kuwa mfungaji bora hilo ni kawaida kwa kila forward mwenye njaa ya magoli, hata sisi mashabiki wa Yanga tunatamani hilo litokee na hatujamlaumu kabisa mana baada ya kukosa akapambana akafunga, tatizo liko wapi? Mbona mara kibao tu huwa anaacha penalty hapigi? Nyie Makolo mnaumia sn na wachezaji wetu mnaanza kupandikiza chuki zenu kwa players wetu.Hakupewa apige bali aliung'ang'ania mpira. Aliniuzi sana tabia aliyoifanya, refa alipofujika tu penati yeye akauwahi mpira kisha akakaa nao. Hakutaka hata kuushusha chini mpira, ana ujinga wa kutafuta ufungaji bora tu
Atapiga, sisi wananchi tumemruhusu as long as akikosa la penalty anafunga la kawaida.Baada ya jana naona atakuwa hashobokei tena penalty
Baelezee, baelezee baelezeageee..Mayele is not that selfish bro, ile ilitokea tu cz yeye mwenyewe anajijua co mzuri kwenye penalty, ila inaonekana kama alifanya sn mazoezi ya kupiga penalty, so alitaka kuangalia itakuwaje? Kuhusu kuwa mfungaji bora hilo ni kawaida kwa kila forward mwenye njaa ya magoli, hata sisi mashabiki wa Yanga tunatamani hilo litokee na hatujamlaumu kabisa mana baada ya kukosa akapambana akafunga, tatizo liko wapi? Mbona mara kibao tu huwa anaacha penalty hapigi? Nyie Makolo mnaumia sn na wachezaji wetu mnaanza kupandikiza chuki zenu kwa players wetu.
Sasa tunawaambia, Mayele ataendelea kupiga penalties mpk kieleweke msimu huu.
Hivyo hivyo hivyooo tu.Atapiga, sisi wananchi tumemruhusu as long as akikosa la penalty anafunga la kawaida.
Na kweli....Hao wachezaji wanaowaumiza ama kusababisha rafu za kutaka kuwaumiza wachezaji tunaishi nao mitaani, watafutwe washughulikiwe ndio wataacha kufanya maagizo wanayopewa kutoka kwa Msomali.
Kabisa...Hatimae zimetimia
Ngoma ngumu hatupumui
Isije kua yule wa China
Sasa nani anatoka kumpisha tuisila?
Moloko
Kambole
Makambo
???????????
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app