Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Hakupewa apige bali aliung'ang'ania mpira. Aliniuzi sana tabia aliyoifanya, refa alipofujika tu penati yeye akauwahi mpira kisha akakaa nao. Hakutaka hata kuushusha chini mpira, ana ujinga wa kutafuta ufungaji bora tu
Baada ya jana naona atakuwa hashobokei tena penalty
 
Hakupewa apige bali aliung'ang'ania mpira. Aliniuzi sana tabia aliyoifanya, refa alipofujika tu penati yeye akauwahi mpira kisha akakaa nao. Hakutaka hata kuushusha chini mpira, ana ujinga wa kutafuta ufungaji bora tu
Mayele is not that selfish bro, ile ilitokea tu cz yeye mwenyewe anajijua co mzuri kwenye penalty, ila inaonekana kama alifanya sn mazoezi ya kupiga penalty, so alitaka kuangalia itakuwaje? Kuhusu kuwa mfungaji bora hilo ni kawaida kwa kila forward mwenye njaa ya magoli, hata sisi mashabiki wa Yanga tunatamani hilo litokee na hatujamlaumu kabisa mana baada ya kukosa akapambana akafunga, tatizo liko wapi? Mbona mara kibao tu huwa anaacha penalty hapigi? Nyie Makolo mnaumia sn na wachezaji wetu mnaanza kupandikiza chuki zenu kwa players wetu.

Sasa tunawaambia, Mayele ataendelea kupiga penalties mpk kieleweke msimu huu.
 
Baelezee, baelezee baelezeageee..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…