Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Moloko kwenye mechi hizi chache za msimu huu kwanzia ile ya ngao ya jamii kakiwasha mno. Kisinda niliyemuona akiwa Berkane, Sio Kisinda yule aliyekuwa Yanga hapo awali. Naona tunafanya kosa lile lile kama la Makambo kwa kukariri mchezaji atarejea na ubora ule ule aliyoondoka nao
 
Muda ni mwalimu mzuri mkuu na haina haja ya kujudge mapema tusubiri
 
Tulia.
 

Anaweza Akafanya Vizuri Tu Mkuu…Ngoja Tuone Itakuwaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…