Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

TUNA TOA DRAW NA LITIMU LINACHEZA SHIRIKISHO DAHH UTOPOLO NI UTOPOLO TU [emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
 
Ni kweli usemalo Mkuu kocha aijaribu hii huenda ikaleta mabadiliko pale nyuma aisee.
Wanayanga wameshatoa sana maoni yao kuwa Bangala acheze katikati no.6 badala ya kuwekwa kama beki wa nyuma STILL ni kama Nabbi haelewi
 
Brazil???
 
UKWELI NI KWAMBA MCHEZO WA JANA NDIYO MCHEZO ULIOKUWA RAISI ZAIDI KWA SIMBA KUSHINDA KUTOKANA NA YANGA KUELEKEZA NGUVU NA AKILI ZAO KWA CLUB AFRICA.
JAN A YANGA HAWAKUCHEZA KABISA MPIRA WAO ULE WA PASI NYINGI,KASI YA 5G NA MBINU ZA MAANGAMIZI.

YOTE KWA YOTE,YANGA INAPOTEA SANA KWENYE COUNTER ATTACK.MECHI YA 3 MFULULIZO ANAFUNGWA KWA COUNTER ATTACK.
 

Msimu Huu Timu Yetu Ikiwa Haina Mpira Wachezaji Wetu Hawajipangi Vizuri Kwenye Kuzuia….Sijui Shida Nn Au Ndio Kukosekana Kwa Bangala Kwenye Midfield Ndio Kirusi Chenyewe Sijui!
 
GEITA GOLD LEO TUNAJAMBO LETU
TUTAPIGA PALE AL HILAL ALIPOPIGA[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…