Tutumie akili zetu vizuri, kosa kama hilo Yanga analaumiwaje? Halafu tukumbuke huyu mchezaji alikuwa ana-move mpira ameishia akiwa hewani amekuja kutua ardhini anatua ndani ya box sasa maamuzi asemeje? Jaribu ku-replay hiyi clip uone jinsi alivyoukumbatia mpira akapaa nao hewani mpaka anakuja kutua yuko kwenye box! Hivyo kwa tafasiri ya maamuzi ni penalty na mbaya zaidi pointi hazirudi hizo piga ua, galagaza zimeshaenda kwa mwananchi! Na yuko kileleni sasa kwa gap la point 6! Kazi mnayo Mbumbumbu FC
In short Makolokolo FC, Mbumbumbu FC ni mataahira!Mbona hapo karibu msogeze kati kati ya uwanja
Kwa style hii si mtafikisha unbeaten 10000 ila mkienda kimataifa mnapasuka round ya kwanza miaka 25Tutumie akili zetu vizuri, kosa kama hilo Yanga analaumiwaje? Halafu tukumbuke huyu mchezaji alikuwa ana-move mpira ameishia akiwa hewani amekuja kutua ardhini anatua ndani ya box sasa maamuzi asemeje? Jaribu ku-replay hiyi clip uone jinsi alivyoukumbatia mpira akapaa nao hewani mpaka anakuja kutua yuko kwenye box! Hivyo kwa tafasiri ya maamuzi ni penalty na mbaya zaidi pointi hazirudi hizo piga ua, galagaza zimeshaenda kwa mwananchi! Na yuko kileleni sasa kwa gap la point 6! Kazi mnayo Mbumbumbu FC
Kwa kweeli. πππwanangu wa jangwani tule,tunywe,tufanye mapenzi,tulale.Tukiamka turudie hayo...tuwaache makolo wahangaike na suruali la mgundaπ
Hahahaaa!! Lol.Tutumie akili zetu vizuri, kosa kama hilo Yanga analaumiwaje? Halafu tukumbuke huyu mchezaji alikuwa ana-move mpira ameishia akiwa hewani amekuja kutua ardhini anatua ndani ya box sasa maamuzi asemeje? Jaribu ku-replay hiyi clip uone jinsi alivyoukumbatia mpira akapaa nao hewani mpaka anakuja kutua yuko kwenye box! Hivyo kwa tafasiri ya maamuzi ni penalty na mbaya zaidi pointi hazirudi hizo piga ua, galagaza zimeshaenda kwa mwananchi! Na yuko kileleni sasa kwa gap la point 6! Kazi mnayo Mbumbumbu FC
Na kwa sasa tunawaambia kila mtu ashinde mechi zake.In short Makolokolo FC, Mbumbumbu FC ni mataahira!
Hili pambio linawafariji sana wafiwaKwa style hii si mtafikisha unbeaten 10000 ila mkienda kimataifa mnapasuka round ya kwanza miaka 25
Kwan ni wakuilaumu yanga au refa yani makosa ya refa lawama apewe yangaKwa style hii si mtafikisha unbeaten 10000 ila mkienda kimataifa mnapasuka round ya kwanza miaka 25
Hee! Nenda shamba wewee.Siondoki mjini mpaka nishuhudie mnavyosulubiwa[emoji16]
Duh....Tutumie akili zetu vizuri, kosa kama hilo Yanga analaumiwaje? Halafu tukumbuke huyu mchezaji alikuwa ana-move mpira ameishia akiwa hewani amekuja kutua ardhini anatua ndani ya box sasa maamuzi asemeje? Jaribu ku-replay hiyi clip uone jinsi alivyoukumbatia mpira akapaa nao hewani mpaka anakuja kutua yuko kwenye box! Hivyo kwa tafasiri ya maamuzi ni penalty na mbaya zaidi pointi hazirudi hizo piga ua, galagaza zimeshaenda kwa mwananchi! Na yuko kileleni sasa kwa gap la point 6! Kazi mnayo Mbumbumbu FC
Sawa Subiri majuto.Haondoki mtu
Kituo kinachofuata kwetu Timu ya Wananchi.
View attachment 2402415
Duh....
Mandonga fc mnabebwa mpaka bumbuli kanuna ila wewe unakaza shingo....
Kwa hali hii soka lenu litakuwa na Safari ndefu sana ya kwenda na ndiyo sababu mtaishia kujiona miamba wa humu humu nchini ila Kimataifa mtapasikia tu.Tutumie akili zetu vizuri, kosa kama hilo Yanga analaumiwaje? Halafu tukumbuke huyu mchezaji alikuwa ana-move mpira ameishia akiwa hewani amekuja kutua ardhini anatua ndani ya box sasa maamuzi asemeje? Jaribu ku-replay hiyi clip uone jinsi alivyoukumbatia mpira akapaa nao hewani mpaka anakuja kutua yuko kwenye box! Hivyo kwa tafasiri ya maamuzi ni penalty na mbaya zaidi pointi hazirudi hizo piga ua, galagaza zimeshaenda kwa mwananchi! Na yuko kileleni sasa kwa gap la point 6! Kazi mnayo Mbumbumbu FC
Eeeeh, kweli bwana! Kuna mwaka walibeba ubingwa kwa kubebwa mwanzo mwisho eti tukabatizwa Malalamiko FC! Pumbavu kabisa haya majamaa ndiyo maana Ismail Aden Rage aliyaita mambumbumbu!!Wewe Bwege Wakati Yanga Tunalalamikia Makosa Yanayofanywa Na Marefa Nyie Si Mlikuwa Mnafurahia Na Mkawa Mnatuita MALALAMIKO FC Sasa Saiv Mnachoumia Ni Kitu Gani?
Ndio ndio hatutaki mambo ya Kipanga kutoka naye sare.Hiyo Jumatano Huyu Mwarabu Inabidi Apigwe Kama Paka Aliyeiba Mboga Ya Familia. [emoji41]
Heeee!! Haya bana.Huwa nachungulia chungulia
Jitahdin mshinde walau bao 3 sifuriNdio ndio hatutaki mambo ya Kipanga kutoka naye sare.
Japo Mtihani kwetu ni namna ya kupata hizo bao nyingi sasa. πππ