ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Tunalifanyia kazi asante kwa ushauriMuache kuvaa jezi za misukule nyeusi
Au ile kauli ya kila mmmoja ashinde mechi zake haipo tena siku hizi. 😂Ile misemo pendwa imepotea mithili ya mdudu dinosaur
1.[emoji2788] Ukiona Yanga anaongoza ligi ujue Simba hajacheza [emoji777]
2. [emoji2788]Hao kawaida yao hua wanatangulia na basikeli ya miti [emoji777]
3.[emoji2788]Hao kawaida yao kuongoza round ya kwanza round ya pili tunakuja wenye nasafi yetu [emoji777]
N.b sasa hivi wamekuja na habari ya Jezi nyeusi wakati wao tumewapapasa bila jezi nyeusi
Tahadhari ni kwamba wanawazidi Singida points 4 tu wasije kusema hawakuambiwaAu ile kauli ya kila mmmoja ashinde mechi zake haipo tena siku hizi. [emoji23]
Kwanini mechi tisa tu?Zimebaki mechi 9 tukishinda hizi basi wengine watajua nani awe mke wa kwanza au wapilk
Nakazia Mkuu.
Wakirudi kileleni mi mniite Koku Kipanga nimekaa pale. [emoji1787][emoji1787]
Hahahaaa. Ila nimecheka sana lol.Aisee! Wakikaa Hapo Juu Nami Mniite Ashura Miuno Nimekaa Hukuu.. [emoji28]
Best ndo umepokea simu toka kwa Mayele ama? 🤣🤣🤣Kocha Papaa Zahera [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].,...nchi hii
Over 1.5 maana ake mechi nzima zipatikane angalao goli mbili mfano 2-0, 1-1, 3-0 n.k na under 1.5 maanake mpaka mechi inaisha zisifike goli mbili yaani iishie 0-0 au 1-0Hivi hiyo 1.5+ au 1.5 under huwa inamaanisha nini? Naonaga sana kwenye page za michezo, naomba kujuzwa
sawa tuma salamu kwa makolo watatu [emoji441]Hata atangulie goli 10 hachukui ufungaji bora [emoji23][emoji23][emoji23][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]