ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Tunalifanyia kazi asante kwa ushauriMuache kuvaa jezi za misukule nyeusi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunalifanyia kazi asante kwa ushauriMuache kuvaa jezi za misukule nyeusi
Au ile kauli ya kila mmmoja ashinde mechi zake haipo tena siku hizi. 😂Ile misemo pendwa imepotea mithili ya mdudu dinosaur
1.[emoji2788] Ukiona Yanga anaongoza ligi ujue Simba hajacheza [emoji777]
2. [emoji2788]Hao kawaida yao hua wanatangulia na basikeli ya miti [emoji777]
3.[emoji2788]Hao kawaida yao kuongoza round ya kwanza round ya pili tunakuja wenye nasafi yetu [emoji777]
N.b sasa hivi wamekuja na habari ya Jezi nyeusi wakati wao tumewapapasa bila jezi nyeusi
Tahadhari ni kwamba wanawazidi Singida points 4 tu wasije kusema hawakuambiwaAu ile kauli ya kila mmmoja ashinde mechi zake haipo tena siku hizi. [emoji23]
Kwanini mechi tisa tu?Zimebaki mechi 9 tukishinda hizi basi wengine watajua nani awe mke wa kwanza au wapilk
Nakazia Mkuu.
Wakirudi kileleni mi mniite Koku Kipanga nimekaa pale. [emoji1787][emoji1787]
Hahahaaa. Ila nimecheka sana lol.Aisee! Wakikaa Hapo Juu Nami Mniite Ashura Miuno Nimekaa Hukuu.. [emoji28]
Best ndo umepokea simu toka kwa Mayele ama? 🤣🤣🤣Kocha Papaa Zahera [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].,...nchi hii
Over 1.5 maana ake mechi nzima zipatikane angalao goli mbili mfano 2-0, 1-1, 3-0 n.k na under 1.5 maanake mpaka mechi inaisha zisifike goli mbili yaani iishie 0-0 au 1-0Hivi hiyo 1.5+ au 1.5 under huwa inamaanisha nini? Naonaga sana kwenye page za michezo, naomba kujuzwa
sawa tuma salamu kwa makolo watatu [emoji441]Hata atangulie goli 10 hachukui ufungaji bora [emoji23][emoji23][emoji23][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]