Cha ajabu wenyewe wanaona sawa tu. [emoji1787][emoji1787]
Ila hizi timu bana kila tunayecheza naye anakimbilia kuvaa jezi nyeusi. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Points zingine tatu kibindoni Wananchi tukiendelea kujikita kileleni.
Nyie wengine endeleeni kushangilia goli saba. [emoji28][emoji28][emoji28]
Wameaminishwa hivyo na yale mapopoma ya Kariakoo!πππIla hizi timu bana kila tunayecheza naye anakimbilia kuvaa jezi nyeusi. π€£π€£π€£
Wacha tusubiri tuone Mkuu.Eti Wanakwambia Tutaona Umuhimu Wa Goli Saba Mwisho Wa Ligiβ¦Hawa Jamaa Ni Viazi Pori Kweli [emoji23]
Nadhani wameshaanza kujijengea kitu kichwani tangia ile mechi na Azam.Wanafikiri Rangi Ya Jezi Ndio Inatupa Matokeo Ya Ushindiβ¦.Wakati Quality Yetu Ndo Inaamua [emoji28][emoji28]
Ndo mana wakijitutumua kuongea huwa tunawaangalia halafu tunasema. Hihihihiiiii.Wao Goli 7 Points 44, Sisi Goli 1 Tu Points 50 [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Imani mbaya sana Mkuu.Wameaminishwa hivyo na yale mapopoma ya Kariakoo!πππ
Watajua hawajui hawa kengeeHiyo tarehe 16 ndo ile tarehe yetu ya kisasi kwa hao Ihefu.
#DaimaMbeleNyumaMwiko.
Yaani. Wasubiri tu aisee.Watajua hawajui hawa kengee
Ongeza sauti Mkuu. Hapo nje hawajasikia. π π π