Wameumia sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ongeza sauti Mkuu. Hapo nje hawajasikia. [emoji28][emoji28][emoji28]
Wajikaze tu sasa. 🤣Wameumia sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mla-mnyama yuko nyuma yakoHapo unavyoongea unaona aibu[emoji23][emoji23][emoji23]
Mchezaji aliyekosa namba azam unafananisha na ukuta wa berlin unaaongozwa na Puttin?
Huyo umfananishe na Mzamiru si unaonekana kichaa....
Hapo mmeongeza watu wa kukaa bench tu
Young African 1 wao 0Tupeni updates?
Mechi moja tu tena kacheza na amateur zaidi kwenye kikosi. Lomalisa ilimchukua muda gani?Unamtoaje Farid kiraka unamuacha kambole ambaye game imemkataa kabisa
Utakua unatania kabisa kwamba kacheza vibaya, sema tu kulikua hamna watengenezaji wa mipira kutoka kwa viungo kilichotusaidia tumeshinda ni timu ilikua ikipoteza mpira wachezaji wote walikua wanakaba haraka dakika zote hawajapumzika.Unamtoaje Farid kiraka unamuacha kambole ambaye game imemkataa kabisa
Muongeze Bryson hapo kwenye wazinguajiUtakua unatania kabisa kwamba kacheza vibaya, sema tu kulikua hamna watengenezaji wa mipira kutoka kwa viungo kilichotusaidia tumeshinda ni timu ilikua ikipoteza mpira wachezaji wote walikua wanakaba haraka dakika zote hawajapumzika.
Pia hii ni mechi yake ya kwanza na kakutana na wajinga wale wanalinda wote nyuma kule wanatufanyia mashambulizi ya kushitukiza, ngoja nikutajie walio kua wanazingua kwa upande wangu
1- mzize
2- ngushi
Hao wawili sio kwamba wamecheza vibaya sana ila waalikua na makosa ya mara kwa mara pia ambundo kazingua sema sija muweka pamoja na hao wa juu sababu ya goal alilofunga ila mbele kule zile nafasi kapoteza kijinga sana.
Haya tumekusikia msemaji wa madunduka f.cReplacement ya mpemba katika eneo la kiungo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Habari za fei kwisha,huyu alimwagwa huko azam alikuwa hana nafasi ktk kikosi nyie mmeokota dah
OKOTA OKOTA FC
GRACE ZOA ZOA FC
UTOPOLO FC
KINYE FC
WEHU FC
WAJINGA FC
VIJORA FC
.
,
.
.
.
.
[emoji3][emoji3] kajitahidi kumwaga maji kama mara mbili sema krosi zake zilikua hazina macho muda mwingine mara ajikanyage.Muongeze Bryson hapo kwenye wazinguaji
Hahahaa! Walitaka wapate faraja kupitia mechi yetu. 😂😂Walidhani Tutafungwa Kama Wao Au Tutatoa Sare Kama Azam…Hii Ni YANGA [emoji172][emoji169][emoji28]
Hahahaa! Walitaka wapate faraja kupitia mechi yetu. [emoji23][emoji23]
Timubovu saaana hii.Haya ndo matokeo ya mechi yetu ya jana huko Mapinduzi Cup.
View attachment 2469365
Toka lini Mbumbumbu akawa na akili Mkuu. Teh teh. 😂😂Af Matokeo Yake Ndo Wamezidi Kuumia [emoji28], Yani Anafungwa KMKM Lkn Wao Ndo Wanaoumia, Hivi Mkuu Hawa Wana Akili Kweli?? [emoji23][emoji23][emoji23]