Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Ungewaona walivyofurahia utasema wanawaweza sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wamepanga mabeki watupu
 
Pipa na mfuniko[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Bora nicheki game ya west ham
 
Tunashinda hii game insha'Allah
[emoji172][emoji169]
Ndio ndio Mkuu. Mpaka sasa ni kuzitumia vizuri hizi dakika 10 zilizobakia.

Nadhani wachezaji wakumbuke ila game ya Bamako jinsi ilivyotugharimu dakika za mwisho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…