Amemfunga nani?????huyu kwa wydad hapigi hata off target moja
Dooh! Umeshajisahaulisha kuwa hizo goli 50 zipo na alizowafunga na nyie. π€£π€£Amemfunga nani?????huyu kwa wydad hapigi hata off target moja
Anaza levo katka kutingisha manyonyo labda ila ....Afrika nzima wiki hii mshambuliaji bora ni JEAN OTHOS BALEKEDooh! Umeshajisahaulisha kuwa hizo goli 50 zipo na alizowafunga na nyie. [emoji1787][emoji1787]
Wee naae ifikie hatua ukubali tu kuwa Mayele ni another level kwenye kuscore.
Badili jina lako la jf. Labia majora ni sehemu ya viungo vya mwanamkeUtopolo anatolewa shirikisho sebuleni kwake mapema sana yaani kwa mkapa yanga anakufa mapema
Wakati sisi tunasafiri kwenda kucheza kombe letu la loser nyie mtakua mnafanya nini? tuwapangie kazi?Anaza levo katka kutingisha manyonyo labda ila ....Afrika nzima wiki hii mshambuliaji bora ni JEAN OTHOS BALEKE
Watakua wanatafuta nafasi ya pili kwenye ligiWakati sisi tunasafiri kwenda kucheza kombe letu la loser nyie mtakua mnafanya nini? tuwapangie kazi?
HIvi jana ndo mlipata shot on target ngapi huko klabu bingwa Dulla ili nipige mahesabu? π€£π€£π€£π€£Goli mbili za kombe la shirikisho au luzaz
Ni sawa na shot on target 1 ya klabu bingwa CAFCL[emoji1787][emoji1787]
Kwenye hesabu zako usisahau kutumia four figure graph paper nakuongezea na AtlasHIvi jana ndo mlipata shot on target ngapi huko klabu bingwa Dulla ili nipige mahesabu? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]