Carasco Putin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 10,644
- 32,375
Cc. DullyJr . 🤣🤣🤣[emoji41][emoji16][emoji3]View attachment 2616991
Hivi na wewe una timu ya kushabikia?????Jamaa msimu huu unatapatapa sio Arsenal wala Thimba kote umepigika unaishia kuandika nyuzi uchwara kujipoza machungu..
Yaap yaap sisi ndo watu wengine waduduLeo ndo ile siku ya Timu ya Wananchi kuchukua zile points tatu zilizobakia ili kujihakikishia kuwa mabingwa wa nchi.
Twen zetu Chamazi.
Kabisa yaani Mkuu. 😅😅Yaap yaap sisi ndo watu wengine wadudu
Kila lenye kheri Mwananchi!Kikosi kinachoanza leo pale Azam Complex Chamazi! Yanga vs Dodoma Kijiji
Naona Doumbia anaanza leo.Kikosi kinachoanza leo pale Azam Complex Chamazi! Yanga vs Dodoma Kijiji
Bhalabhane bha ntwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]NEXT MATCH
MARUMO 4
YANGA 0
Wapi nimesema mm utopolo ?Hivi na wewe una timu ya kushabikia?????
Mara azam mara utopolo dah,ungebaki tu ktk maDLS huko aisee