Yaani kiwaume kwa mtu waliyemuacha?Nasemaajeee nasemaajee. Kimewauumaaa. [emoji23]
View attachment 2686370
Kwa hiyo hata na wewe umeumia Mtani. 🤣Yaani kiwaume kwa mtu waliyemuacha?
Hivi kuna mahusiano gani ya kuwa shabiki wa yanga na uwezo mdogo wa kupambanua mambo?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Kuumia lazima ila atafanya nini [emoji16][emoji16]Kwa hiyo hata na wewe umeumia Mtani. [emoji1787]
Ajikaze tu sasa. 🤣Kuumia lazima ila atafanya nini [emoji16][emoji16]
Pamoja na hayo mahitaji mengine tukimuacha Mayele ninlazima tutafute striker mwingine wa kiwango Cha juuYanga iachane na MAYELE, itafute winga ya kushoto hata Diakite ya Real Bamako na itafute Kiungo mwenye ufanano wa kiumbo na Aucho.
Mayele alikuja Yanga akiwa Straika wa Kawaida kaclick kaja kuclick Yanga. Ligi yetu ina Limit ya wachezaji wa Kigeni so acha aje mgeni, kiwango hakiwezi kufanana kutegemeana na nani anakuzunguka.Pamoja na hayo mahitaji mengine tukimuacha Mayele ninlazima tutafute striker mwingine wa kiwango Cha juu
Mayele hajaja ku click Yanga ashakuwa mzuri Toka huko kwao,kama sikosei alikuja akiwa mfungaji namba 2 kwenye ligi Yao Kwa tofauti ya goli 2 au Moja nadhani. Any ways jamaa akiondoka(Inasemekana maongezi yamekamilika mchana huu na Fiston ameomba aondoke kwenda Pyramid) tulete mshambuliaji mwingine waliopo hawatoshi. Djuma Inasemekana keshasaini TP Mazembe,japo kwake hakuna shida hata kidogo mana beki tuliyemleta Toka Asec ni Bora kuliko yeye.Mayele alikuja Yanga akiwa Straika wa Kawaida kaclick kaja kuclick Yanga. Ligi yetu ina Limit ya wachezaji wa Kigeni so acha aje mgeni, kiwango hakiwezi kufanana kutegemeana na nani anakuzunguka.
Sioni shida akisepa, tupate Winga za Maana tu. Namba 9 asimame MUSONDA anatosha kabisa.Mayele hajaja ku click Yanga ashakuwa mzuri Toka huko kwao,kama sikosei alikuja akiwa mfungaji namba 2 kwenye ligi Yao Kwa tofauti ya goli 2 au Moja nadhani. Any ways jamaa akiondoka(Inasemekana maongezi yamekamilika mchana huu na Fiston ameomba aondoke kwenda Pyramid) tulete mshambuliaji mwingine waliopo hawatoshi. Djuma Inasemekana keshasaini TP Mazembe,japo kwake hakuna shida hata kidogo mana beki tuliyemleta Toka Asec ni Bora kuliko yeye.
Naskia Anakuja Mtu Wa Kuitwa Sudi Abdallah Kuchukua Nafasi Yake.Sioni shida akisepa, tupate Winga za Maana tu. Namba 9 asimame MUSONDA anatosha kabisa.
Huyo anaecheza huko Malaysia sijui IraqNaskia Anakuja Mtu Wa Kuitwa Sudi Abdallah Kuchukua Nafasi Yake.
Raia wa wapi na anacheza wapi?Naskia Anakuja Mtu Wa Kuitwa Sudi Abdallah Kuchukua Nafasi Yake.
Ngoja Tumuone Labda Anaweza Kufanya Vizuri Ndani Ya Yanga.Huyo anaecheza huko Malaysia sijui Iraq
Labda
Lakini sidhani kama ataziba pengo aliloacha Mayele
Ni Burundian Alikuwa Anacheza Malaysia.Raia wa wapi na anacheza wapi?
Hawa kina Ablazak wa nini Yanga bhana?.Ni Burundian Alikuwa Anacheza Malaysia.
Sijui Nn Kilichowashawishi Yanga Kwa Huyu Mtu Maana Stats Zake Zinatia Mashaka, Sijui Cedric Kaze Ndo Kawaambia Anyway Ngoja Tumuone Kama Deal Ikiwa Done.Hawa kina Ablazak wa nini Yanga bhana?.
[emoji1787][emoji1787]Leo siyo Jana mkuuHawa kina Ablazak wa nini Yanga bhana?.
Kwa sasa timu haihitaji wachezaji wa majaribio ujue!?.[emoji1787][emoji1787]Leo siyo Jana mkuu