Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
πππHahahaa. Nimeuona mkono Swahiba. π π
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππHahahaa. Nimeuona mkono Swahiba. π π
KomasavaaHahahaa. Nimeuona mkono Swahiba. π π
Hizo ni zile 5 tulizowapokeza tumeziweka kwenye kumbukumbu!Kama hauna D 2huwezi kuelewa ππView attachment 3053960
Mbungi sio muda linaanzaNi siku ingine timu ya Wananchi tunaingia Uwanjani.
View attachment 3055007
Hakika Mkuu kombe lao tunalitaka.Mbungi sio muda linaanza
Wanetu mtuheshimishe
Hawa lazima tuseme nao LeoHakika Mkuu kombe lao tunalitaka.
Mimi tatizo sina kampni ya kwenda. Nayo uwanjani jamaniJaman hali ya ticketi sio nzuri tulioko dar tununue ticket za Siku ya wananchi
Hamasa haijafanyika kabisa! Ila kolo pamoja na kuwa na timu tia maji tia maji huwa yanajaa uwanjani!Jaman hali ya ticketi sio nzuri tulioko dar tununue ticket za Siku ya wananchi