Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Mkuu wewe ulitamani kocha apangaje kikosi chake? Pacome na Azizi Ki ndio waliopo kwenye kikosi cha kwanza cha Gamondi, Chama kwenye mechi tough huwezi kuta kaanza lazima aanzie sub. Pengine mna muhukumu Pacome kwenye mechi dhidi ya Kagera, lakini mmeshindwa kuona wachezaji wote wa Yanga hawakucheza katika ubora wao. Kipindi cha kwanza Yanga ilipoteza nafasi nyingi sana za wazi. Kipindi cha pili timu ikapoteana kabisa. Binafsi sijaona kama Pacome kashuka kiwango, ndio naona ndiye mchezaji anayeifanya mpinzani aache mianya.
Kwa eneo lote la mbele mchezaji tishio ni Pacome.
 
Mwendo wa kugawa wastani kwa idadi
1726916771998.jpg
 
Kazi kwetu
 

Attachments

  • IMG-20241014-WA0068.jpg
    IMG-20241014-WA0068.jpg
    43.4 KB · Views: 4
  • IMG-20241014-WA0070.jpg
    IMG-20241014-WA0070.jpg
    43.6 KB · Views: 4
  • IMG-20241014-WA0066.jpg
    IMG-20241014-WA0066.jpg
    62.8 KB · Views: 4
Ihefu ni moja ya timu chache sana Africa zinazotutoa kamasi. Tunawaweka kundi moja na Al Ahly, Mamelodi, n.k. Usilinganishe kabisa Ihefu na Koloz
Uzuri wee u amubali ukweli wa mambo.
Haya nimewapa ushindi na goli mbili juu msiniangushe jame i ajira zenyewe magumashi tumejiajiri kwenye betting
 
Back
Top Bottom