Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Screenshot_20241018_134509_Instagram.jpg
 
Chama tu umemsahau Dube, Mzize, Maxi na wengineo.
Ndio wafanya kazi sio majina tuu.. wakaze pumbuz kweli kweli.
Sasa Moja tuu jioni watu tuanzie kuruka na mishangazi ya green and yellow

Tukutane kesho taifa mama yanga
 
Hivi wakuu kwenye kosi letu,injury list ikoje??maana odds za betting companies zinampa favour zaidi mtani,sijui wameona nini!?
 
Ila we Mzab lol.

Hiyo mishangazi ya kuandika tu au ya ukweli ukwelii? 🤣
Ndio wafanya kazi sio majina tuu.. wakaze pumbuz kweli kweli.
Sasa Moja tuu jioni watu tuanzie kuruka na mishangazi ya green and yellow

Tukutane kesho taifa mama yanga
 
Back
Top Bottom