Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo Me mshindwe wenyewe.Pamba za wananchi ziko mtaani tayari. Kazi kwetu kupendeza tu sasa🫶
Kwani hauwekeki zaidi ya mara moja Mzab.Oyaaa nyie wananchi nilishaweka mzigo jmosi mnaua thimbaaa sasa ole wenu msikaze mbupuz zenu
Nakazia.Sisi tunauhitaji huo ushindi kuliko nyie wakamaria mnavozitaka hizo pesa....😀😀😀
Haya bana chama afanye yake basi mapema tuu nikaenjoy na mishangazi ya yangaKwani hauwekeki zaidi ya mara moja Mzab.
Kama inawezekana fanya hivyo hebu. Hatuezi kuangusha. 😃
Chama tu umemsahau Dube, Mzize, Maxi na wengineo.Haya bana chama afanye yake basi mapema tuu nikaenjoy na mishangazi ya yanga
Mkuu nayaona mauaji mengine kesho.Kila kheri Yanga
Ndio wafanya kazi sio majina tuu.. wakaze pumbuz kweli kweli.Chama tu umemsahau Dube, Mzize, Maxi na wengineo.
Wakina nani Tena haoMkuu nayaona mauaji mengine kesho.
Ndio wafanya kazi sio majina tuu.. wakaze pumbuz kweli kweli.
Sasa Moja tuu jioni watu tuanzie kuruka na mishangazi ya green and yellow
Tukutane kesho taifa mama yanga
🤣🤣🤣🤣 Wee sii unanijua lakini...maneno mengi utendaji zero kama anavyosema JoannahIla we Mzab lol.
Hiyo mishangazi ya kuandika tu au ya ukweli ukwelii? 🤣
Kesho ni ushindi tu swahibaMkuu nayaona mauaji mengine kesho.
Hakika swahiba.Kesho ni ushindi tu swahiba
Msije mkaangukia pua tuuHakika swahiba.
Sikioni cha kutuzuia aisee.