Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Hamis TambweNani kafunga?
Sio la mkono Mtani. 😀Hongereni Mtani, natumai siyo goli la mkono.
Cheka tu
Ulitafuta pa kujibanza hatimaye umepapata. Haya tulia mtani.MOBILE BANKING katika ubora wake
Kama kawaida. Kawanyanyua WananchiTambweeeeeeeeee
TambweNani kafunga?
Sio la mkono Mtani. 😀
Kwa sasa tunauwaza Ubingwa Mtani. Hayo ya namba mbili mpaka ligi iishe.Sawa, naona mnaihitaji sana namba mbili.
Ubingwa wa nini,Kwa sasa tunauwaza Ubingwa Mtani. Hayo ya namba mbili mpaka ligi iishe.
Kwa sasa tunauwaza Ubingwa Mtani. Hayo ya namba mbili mpaka ligi iishe.
Hahahaa. Tuwache na Zahera wetu Mtani.Bora leo mpate ushindi, kocha wenu asilie.