Kanali G
JF-Expert Member
- Oct 21, 2013
- 9,898
- 14,413
Hii ni habari mbaya kwa viluilui vya Kilomoni fc
Ngasaaaaa wananchi tumeinuka huku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngasaaaaa wananchi tumeinuka huku
Hii ni habari mbaya kwa viluilui vya Kilomoni fc
Yanga haina ukuta
Mtani ujue kila sehemu hakukosagi wachawi. 😎😎Ahsanteni KMC.
Na kweli kabisa Shadeeya kama hawa KMC wanga wakubwa kabisa wale🤣🤣🤣🤣Mtani ujue kila sehemu hakukosagi wachawi. 😎😎
Siyo mbaya sana hatujafungwa bado hatuko pabaya!
Siyo mbaya sana hatujafungwa bado hatuko pabaya!
Wanaanza kulima mpunga msimu huu wa mvua😎😎😎hizi
Yah! Ni kweli kabisa Mkuu.Siyo mbaya sana hatujafungwa bado hatuko pabaya!
Huu ni zaidi ya uchokozi Ses. Mana hadi sarakasi. 🤣🤣Na kweli kabisa Shadeeya kama hawa KMC wanga wakubwa kabisa wale🤣🤣🤣🤣
Yaani wanadiriki kutoa sare na Chura FC!!!🤣🤣🤣🤸♂️🤸♀️🤸♂️😀😀😀
Si mumrudishe tu Papaa msijisikie vibaya Shadeeya, muombeni radhi arudi kilimo cha nyanya na mpunga kiendelee kwenye bonde la Jangwani🤪🤪🤪Kabisaa haukuwa mchezo rahisi ule. Ila bado nakuwa na mashaka juu ya kocha jamaani au nyie munamuona anafit pale?
kidunula1