Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Kwetu ni ushindi tuí ½í¸í ½í¸ Usijali Mtani.
Japo na kwako iwe vivyo hivyo mana hamukawii kuzimia zimia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwetu ni ushindi tuí ½í¸í ½í¸ Usijali Mtani.
Japo na kwako iwe vivyo hivyo mana hamukawii kuzimia zimia.
Sawa Mtani. Nasikia mnamtaka Lamine Moro eti?Kwetu ni ushindi tu
Wewe wasemaSawa Mtani. Nasikia mnamtaka Lamine Moro eti?
Ndio Mtani!! Inasemekana ndio sababu ya kuandika barua ya alichokiandika mtani lengo mumchukue dirisha dogo. Lol.Wewe wasema
Wasiwasi wenu tuNdio Mtani!! Inasemekana ndio sababu ya kuandika barua ya alichokiandika mtani lengo mumchukue dirisha dogo. Lol.
Wabaya sana nyie wakati mwanzo mlisema tumepata garasa kisa nyie hamkuona kiwango chake.
Wasiwasi wetu wapi Mtani wakati mmeamua kutuvurugia.Wasiwasi wenu tu
Tuupe sapoti uongozi wetu,unahangaika sana na unapitia ktk kipindi kigumu sana,tutapita tuMCHAKATO WA MABILIKO YA UENDESHAJI WA CLUB YANGA KUKAMILIKA MAY 2020
Mwenyekiti wa Yanga Dk Mshindo Msolla amesema hadi kufikia mwezi May 2020 Yanga itakuwa imebadili mfumo wake wa uendeshaji kutoka wa sasa (mfumo wa wanachama) kuwa mfumo wa hisa
Dk Msolla aliyasema hayo jana wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu changamoto mbalimbali zinazoikabili timu hiyo "Nawapa ahadi wanachama, ifikapo mwezi Mei 2020 tutabadili mfumo wa klabu kuwa wa uwekezaji. Tukishirikiana vyema na wanachama tutalifanikisha hili katika muda huo"
Mapema Dk Msolla alibainisha changamoto za kiuchumi zinazoikabili Yanga huku akitaja timu hiyo kuwa na madeni yanayozidi Tsh Bilioni mbili huku mapato yakiwa hayatoshi
Yanga inakabiliwa na malimbikizo ya madeni ya mishahara ya wachezaji na makocha hadi miaka mitatu nyuma
Mabadiliko ya mfumo wa uendeshaji ndio hitaji la wengi wanaoamini Yanga itaweza kusimama.
Hakika Mkuu.Tuupe sapoti uongozi wetu,unahangaika sana na unapitia ktk kipindi kigumu sana,tutapita tu
Nashukuru wewe unatupatia sana updates za timu. ThanxHakika Mkuu.
Japo kama ujuavyo si ajabu akiliweka mezani hilo wazi baadhi ya watu wakaweka ngumu.