Shukran Mkuu. Nikawa nawaza labda yale mambo yetu tunayopitia mara kwa mara ndio yamemfanya asiwe sehemu ya kikosi na kaamua kugoma kimya kimya.Alipewa ruhusa mazoezi kaanza Jana jmos atakuepo uwanjani.at least beki ya kushoto kumeanza kukaa sawa sasa hivi .
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana,nilimsikiliza afisa habari wa klabu akitoa hiyo statement ,alafu kuelekea hii Derby hata kuwe na mgomo wachezaji wanapozwa sana kuwa na amani,pia alisema Niyonzima angewasili jpili sijafuatilia updates zake ila namini jmos atakuepoShukran Mkuu. Nikawa nawaza labda yale mambo yetu tunayopitia mara kwa mara ndio yamemfanya asiwe sehemu ya kikosi na kaamua kugoma kimya kimya.
Haya Bina nisamehe😋😋Binamu 😳😳
Bina nakutakia kheri ya number 2020.Nipo binamu. Umejua kuadimika sana yaani.
Najua wajua kwamba siku zote kila jambo huwa lina wakati wake binamu.
Ooh. Sawa Mkuu.Hapana,nilimsikiliza afisa habari wa klabu akitoa hiyo statement ,alafu kuelekea hii Derby hata kuwe na mgomo wachezaji wanapozwa sana kuwa na amani,pia alisema Niyonzima angewasili jpili sijafuatilia updates zake ila namini jmos atakuepo
Sent using Jamii Forums mobile app
Thanks binamu na kwako pia.Bina nakutakia kheri ya number 2020.
Hapo sawa. Nlitamani sana boxer angekuwa fiti 100% siku ya hyo mechi ila naamini haiko na haitakuwa hivyo.Alipewa ruhusa mazoezi kaanza Jana jmos atakuepo uwanjani.at least beki ya kushoto kumeanza kukaa sawa sasa hivi .
Sent using Jamii Forums mobile app
Kesho nadhani ndo atafika. Halafu sijapenda jinsi wanavyohendo ujio Wa Haruna. Naamini alipaswa kuwa ameshafika siku nyingi kidogo ili akae na wenzie kwa muda japo hata wiki moja na nusu hivi ili watengeneze muunganiko mzuri. Sasa tunamfanya kama yeye ni special sana kiasi kwamba hata akifika ijumaa jumamosi atapaswa kucheza. Hii ni kuifanya timu kama underdog flani ilihali haruna siyo sura ngeni na ni mtu tulomzoea kabisa.Hapana,nilimsikiliza afisa habari wa klabu akitoa hiyo statement ,alafu kuelekea hii Derby hata kuwe na mgomo wachezaji wanapozwa sana kuwa na amani,pia alisema Niyonzima angewasili jpili sijafuatilia updates zake ila namini jmos atakuepo
Sent using Jamii Forums mobile app
Umenena mkuuKesho nadhani ndo atafika. Halafu sijapenda jinsi wanavyohendo ujio Wa Haruna. Naamini alipaswa kuwa ameshafika siku nyingi kidogo ili akae na wenzie kwa muda japo hata wiki moja na nusu hivi ili watengeneze muunganiko mzuri. Sasa tunamfanya kama yeye ni special sana kiasi kwamba hata akifika ijumaa jumamosi atapaswa kucheza. Hii ni kuifanya timu kama underdog flani ilihali haruna siyo sura ngeni na ni mtu tulomzoea kabisa.
Halafu nimeona Nugaz anasema washabiki watapewa taarifa rasmi ya namna ya kwenda kumpokea uwanja Wa ndege kwa shamrashamra,nadhani hii si sahihi haruna tunamfahamu na wachezaji wengi wanamfahamu,ni mwaka huu huu tu alikuwepo hapa na simba kwa hiyo tusimkuze saaanaaa hadi wachezaji wengine wakaingiwa na vinyongo
Hapana,nilimsikiliza afisa habari wa klabu akitoa hiyo statement ,alafu kuelekea hii Derby hata kuwe na mgomo wachezaji wanapozwa sana kuwa na amani,pia alisema Niyonzima angewasili jpili sijafuatilia updates zake ila namini jmos atakuepo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtani una maneno. Lol.
Kwani ulikuwa unamaanisha nini hapa? [emoji41][emoji41]
Uliyapata Mtani hayo matokeo au nikupatie? [emoji41][emoji41]
Zimebakia siku 2 nakukumbusha Pia Mtani. 😎Leo tarehe 1 nakukumbusha
Niliyapata nashukuru[emoji16]
Basi heri. Molinga itabidi aanze benchiPOLISI TANZANIA, AZAM FC WAMALIZA SAKATA LA NCHIMBI
Baada ya wadau wa soka kupaza sauti kufuatia uamuzi wa TFF kumnyima leseni mshambuliaji Ditam Nchimbi kuitumikia Yanga kufuatia kuwekewa pingamizi na Polisi Tanzania, viongozi wa klabu ya Azam Fc na wale wa Polisi Tanzania pamoja na TFF wamekutana leo kumaliza sakata la mchezaji huyo
Habari njema ni kuwa mwafaka umefikiwa baada ya pande zote kukubaliana hivyo TFF itatoa leseni ya Nchimbi
Polisi Tanzania imeridhia Nchimbi aitumikie Yanga
Hivyo atakuwa sehemu ya kikosi kitakachoikabili Simba kwenye mchezo wa ligi kuu utakaopigwa Jumamosi, Januari 04 2020 kwenye uwanja wa Taifa.
@Yangadaima
Halafu nasikia eti juzi baada ya kutolewa akaingizwa Tarik Seif nasikia Molinga aliliamsha sana dude kwa Kocha. Hivi ni ukweli au ndio stori za Mitandaoni?Basi heri. Molinga itabidi aanze benchi
Halafu nasikia eti juzi baada ya kutolewa akaingizwa Tarik Seif nasikia Molinga aliliamsha sana dude kwa Kocha. Hivi ni ukweli au ndio stori za Mitandaoni?