Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Dooh hili pengo la Lamine Moro ni Kubwa japo naamini Ally Mtoni anaweza kuziba vema tu hyo nafasi. Na sijajua Yirpe kibali kimefika au la! Mana kwa mujibu Wa kocha Tariq nae ni majeruhi
 
Nimekumisi Kuona Hii Alert Mpaka Nimehisi Furaha Moyoni,

Wewe Tu Mie Kesho Naingia Kati Ya 6 Mpaka Saba.
Halafu nimekubahatisha tu kumbe uko hewani Mtani.

Nipo Mtani mi mwenyewe Mmekumiss sana, kwani siku hizi sikuoni oni humu. Shukrani jamani. 🙏🙏🙏

Oukey!! Ntakucheck baadae Mtani.
 
Mtani game saa 11 lakini. Kwenda saa sita sio utakuwa umewahi sana hapo?
Yaani Uo Ni Mzuka Na Jukwaa Ntakaloenda Kukaa Nahisi Ntakosa Siti Kuna Siku Nilienda Kilichonikuta Hatari Ndomana Nataka Kuwahi Na Zile Fujo Za Mlangoni Mi Hua Sizifurahii Kiukweli.
 
Dooh hili pengo la Lamine Moro ni Kubwa japo naamini Ally Mtoni anaweza kuziba vema tu hyo nafasi. Na sijajua Yirpe kibali kimefika au la! Mana kwa mujibu Wa kocha Tariq nae ni majeruhi
Duuh!! Huyo Tarik kaumia lini kwani?
 
Lamine ana kadi tatu za njano ambapo mbili ni za kwenye ligi na moja ni kwenye FA, na kwa mujibu Wa sheria zilivyofanyiwa mabadiliko ma TFF adhabu za kwenye FA na ligi vinafuata mkondo mmoja.
Ila benchi letu la ufundi ni la ajabu kweli sasa waliwapangia nini wakati tuna big match mbele. 😔😔

Nasikia na Tshishimbi pia eti naye si sehemu ya mchezo wa kesho kwani ana kadi tatu za njano. Sijui ni kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…