Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Ha ha ha Power bank
 
Ndio mana huwa nasema Simba ni timu inayopambwa Mitandaoni na ndio sababu hamna kipya walionyesha dhidi ya Azam na pale waliweka full mkoko.

Yap. Kutolewa hatua ya nusu imetusaidia kwenye kujiandaa kwa mechi ya jumatano.
 

KUHUSU MAVAZI MAZURI NA MPANGILIO WA MAVAZI KWA WACHEZAJI YANGA SASA NI KIBOKO YAO, GSM AMEAMUA.
.
Uongozi wa Yanga kwa kushirikiana na wadhamini wao kampuni ya GSM, wamewekea mkazo utaratibu wa mavazi ya wachezaji na benchi la ufundi.

Utaratibu mpya ni kuwa wachezaji wanapokuwa safarini au nje ya majukumu ya dimbani watavaa mavazi yanayofanana kuanzia juu mpaka chini.

Utaratibu huo pia utalihusu benchi la ufundi.

GSM inaendelea kushusha aina tofauti za mavazi ambayo yatapatikana kwenye maduka yao kwa ajili ya mashabiki pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…