Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Dah! Afadhali maana kuna watu humu pressure iliku 200![emoji3][emoji3][emoji3]
Huu ndio wakati wa washabiki na wapenzi wa Yanga kudhihirisha kuwa kweli Yanga ni timu ya wananchi kweli kweli. Inatakiwa kufukuza viongozi wote wa Yanga kisha timu ikabidhiwe GSM. Timu ya wananchi waamuzi ni wananchi wenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na hii ndio itakuwa suluhisho aisee. Tuachage zile mambo za zamani na sisi tuendeshwe kisasa.
 
Hili ni jambo tofauti na lile alilofanya Mo. Mo aliamua tu kwa utashi wake hapo ndipo naweza sema ilifanyika jeuri ya pesa. GSM wameshurutishwa na uongozi usio na busara na wao wakatii. Na kama kuna watu wenye busara zao wamekaa nao na kukubali kurudi ni heri tu.
 
Oooh. Ila kama usemavyo ikiwa karudi ni kheri pia.
 
Barua ya GSM Ina eleweka vizuri tu.
HAWATAFANYA NJE YA MKATABA WENU.
zile milioni 10 za ushindi byee byeee.
Na mengine meeeengi kadhalikaaa
Wamesema STOOOOOP.
na sisi tuna watoto kama nyie yanga wanatutegemea nyumbani..
mpunga UMEKATA GSM.[emoji16][emoji16][emoji16]
Hivyo mumefurahi wenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…