Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,559
- 19,101
Mmemuongezea kilo ngapi huyu?😀😀Hiviii kama nikicheza na wewe nakulaza na viatu nini cha kukosa kujiamini? 😎
View attachment 1471685
Chukua hiyoo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmemuongezea kilo ngapi huyu?😀😀Hiviii kama nikicheza na wewe nakulaza na viatu nini cha kukosa kujiamini? 😎
View attachment 1471685
Chukua hiyoo.
Walijisemea Wahenga "............... ya kale hayanuki" hiyo imeshakua historia kama vile zile hamsa tulizowapiga mwaka uleeee, si unakumbuka vuzuri eeh Shadeeya?🤪🤪🤪🤪🤪🤪Wino upi huo. 🤣🤣🤣 Wamoja bila au?
Ndio museme nyie.Mmemuongezea kilo ngapi huyu?😀😀
Uwiiii!! Kwenye hili hamna cha kunidanganya.Walijisemea Wahenga "............... ya kale hayanuki" hiyo imeshakua historia kama vile zile hamsa tulizowapiga mwaka uleeee, si unakumbuka vuzuri eeh Shadeeya?🤪🤪🤪🤪🤪🤪
Hebu tugange yajayo. Tuangalie mechi inayokuja baina yetu. Ndio mtuletee kama hiyo timu ya jana! Mbona tutawafurahisha😀😀😀
Sio wa bao moja bila jana goli zilikua tatu Shadeeya au hukuziona?Wino upi huo. 🤣🤣🤣 Wamoja bila au?
Pole sana Shadeeya yatakwisha tu.Hahahaaa. Mtani hii post naiona saa hasira ishaisha. Lol.
Kiukweli wamenikosesha amani.
Mtani nimecheka kuna uzi mmoja umejifanya umepinda kama sio wewe vile. 🤣🤣🤣Pole sana Shadeeya yatakwisha tu.
Simba nguvu moja
Jana Dante katumia masaa 2 kugeuka alipokuwa akimkaba Charles Ilanfya. Charles Ilanfya alidondoka chini wakati anakwenda kufunga mpaka kaamka Dante bado hajageuka na ni beki huyo, aisee kocha wenu ana kazi kubwa sana.Wachezaji wengi wameongezeka uzito sema tu ni vile tumetangaza basi mnaona kama ni wachezaji wa Yanga pekee ndio wameongezeka. Lol
Hebu waacheni wachezaji wetu. 😔
Kiukweli kocha kazi anayo Mtani.Jana Dante katumia masaa 2 kugeuka alipokuwa akimkaba Charles Ilanfya. Charles Ilanfya alidondoka chini wakati anakwenda kufunga mpaka kaamka Dante bado hajageuka na ni beki huyo, aisee kocha wenu ana kazi kubwa sana.
Tipwa Tipwa fc
Hahaha mambo yanabadilika Shadeeya.Mtani nimecheka kuna uzi mmoja umejifanya umepinda kama sio wewe vile. 🤣🤣🤣
Kweli aisee na uigizaji wako sio wa kiwango cha kawaida. 😅😅Hahaha mambo yanabadilika Shadeeya.
Simba nguvu moja
Hii ndio mnadanganyana kule vijiweni eee?
Kuna mdau humu alisema wakati ligi imesimama Chura FC ilikua inanenepesha wachezaji wake kama wale wafugaji wanavyofanya kwa mifugo iendayo mnadani, sasa sijui kuna ukweli wowote? Kwani Nugaz anasemaje?
Na Mimi za kwangu naunganisha hapa hapaHappy Belated Birthday Mtani.
Jana salamu zangu ulizipata?
Thanks a lot Mtani. Nazidi kuzeeka sasa. 🙈Happy Belated Birthday Mtani.
Jana salamu zangu ulizipata?
Hahahahaaa. Za juu kwa juu hizi. Lol.
Niwe mkweli Mtani hadi na mie nilishangaa ujue yaani mtu anaongezeka kilo 10 ndani ya miezi miwili sijui mitatu si hatari hiyo.Aisee, hawa jamaa walikuwa wanakula nini?
Niwe mkweli Mtani hadi na mie nilishangaa ujue yaani mtu anaongezeka kilo 10 ndani ya miezi miwili sijui mitatu si hatari hiyo.
Nadhani ulaji wao ulikuwa mbaya mnoo.
Hahahaha, sasa wewe km una UTANI na Mfano wangu ShadeeyaSafi mzee mwenzangu, zako pia zinaungana na za KMC kama zangu?